Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unasema Partey akae na mpira wa nini? Wtf? Unaelewa maana ya holding midfield? Unaelewa maana ya game Control? Unaelewa maana ya possession kwenye Possession based team? Hiyo haya ya kwanza tu inatosha siendelei tena.
Mkuu DM unataka a-hold mpira wa nini? 8 & 10 watafanya kazi gani? A-hold akiwa eneo gani??
 
Kuna wehu wanaamini Spurs Ni title contender,

Anazidiwa vile na Chelsea , Everton alibishana na chelsea mwanzo mwisho

Spurs Ni mviziaji TU

People say Conte likes to control the game off the ball but his team end up conceding chances after chances after chances. That's not control. That's called riding your luck.

True control without the ball limits the opposition capacity to create meaningful scoring opportunities.
Nasubiri ifike zamu yako halafu uje uongee hizi pumba zako hawa Spurs si ndo kakuzuia ww kuingia top 4 hawa Spurs si ndio alimpiga Man city kwake na kudroo na Liverpool pale anfield

Hizo mechi mbili ulizoshinda zisikupe jeuri ukaona mko bora kuliko wengine ligi ndefu hii
 
Mkuu DM unataka a-hold mpira wa nini? 8 & 10 watafanya kazi gani? A-hold akiwa eneo gani??
Nitakubaliana na wewe tu endapo utasema anatakiwa ku-hold mpira pale timu inapokuwa kwenye pressure so anahold ili kuituliza timu vinginevyo binafsi sioni ulazima wa DM kuhold mpira
 
Nasubiri ifike zamu yako halafu uje uongee hizi pumba zako hawa Spurs si ndo kakuzuia ww kuingia top 4 hawa Spurs si ndio alimpiga Man city kwake na kudroo na Liverpool pale anfield

Hizo mechi mbili ulizoshinda zisikupe jeuri ukaona mko bora kuliko wengine ligi ndefu hii
Katika time hatuziwazii ni Chelsea ,huyo Spurs asidhan atapata tena kubebwa kwa red card

Wewe huna timu ,umekutana na Spurs anakaa nyuma ,umepiga pass 1000000 , lkn hujashinda
 
Nitakubaliana na wewe tu endapo utasema anatakiwa ku-hold mpira pale timu inapokuwa kwenye pressure so anahold ili kuituliza timu vinginevyo binafsi sioni ulazima wa DM kuhold mpira
Arsenal ya sasa wanacheza haraka sana ,hakuna Muda wa Partey kukaa na mpira

Partey ni DLP , pass moja unaachia watu wanafanya movement ,
 
Tielemans looking at my Zinchenko comp!! 👀
IMG_20220814_231011.jpg
 
Katika time hatuziwazii ni Chelsea ,huyo Spurs asidhan atapata tena kubebwa kwa red card

Wewe huna timu ,umekutana na Spurs anakaa nyuma ,umepiga pass 1000000 , lkn hujashinda
Mda ukifika utaongea vizuri endelea kujipa matumaini
 
Arsenal tukimlalamikiaga Antony Tailor, Michael Oliver,Mike Dean, wanavyotuua ,hawa hawa chelsea huwa wanatuambia tunadeka, wacha wale jeuri yao

Antony Tylor kila mech yao lazima awavute mkia,
 
Sisi hatulipi hela kwa mafungu ndio maana tunabeba makombe ..ninyi kushinda mechi mbili tu tayari munajiita title Contender 😂😂😂🤣🤣😭😭
Inakuhitaji miaka 50 ufikie idadi ya makombe ya arsenal

Sasa yule fofana kageuzwa uchochoro vile ndio mnataka kupigwa 90?

Naona baada ya kugeuzwa vile hata tetes zake zimefifia😂😂😂
 
Kama GORDON anauzwa £50😂🤣🤣

MARTINELLI NI £100m
SAKA NI £150m
 
Kwa mipira waliocheza spurs na chelshit

Wote hao napiga nje ndani, ata wakiunganisha vikosi vyao

Spurs ataendelea kuwa spurs, sioni jipya
Conte ni wakizamani sana
Mpira umebadilika sana, hasa EPL

Chelshit kama demu wetu tu
 
Kwa mipira waliocheza spurs na chelshit

Wote hao napiga nje ndani, ata wakiunganisha vikosi vyao

Spurs ataendelea kuwa spurs, sioni jipya
Conte ni wakizamani sana
Mpira umebadilika sana, hasa EPL

Chelshit kama demu wetu tu
Nonsense, arsenal Timu ambayo ipoipo Tu usiitaje arsenal kwenye sentesi moja na Chelsea
 
Martinelli has regained his confidence

What he did to Fofana that day was very unfair






Chelsea wants to buy him
 
When naming Odegaard as captain, Arteta also nominated Xhaka & Gabriel Jesus to support him. Trio will form core of leadership group. 🇳🇴🇨🇭🇧🇷

Our story on that, plus club party & player spa day, in @David_Ornstein’s new column ⬇️

@TheAthleticUK 🔴⚪️ #AFC

 
Back
Top Bottom