Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kiungo mpya inawezekana akasajiliwa. Edu ni shabiki wa Paqueta, lakini bado hajawasilisha ofa.Tielemans yuko kwenye orodha pia lakini vilabu bado havijazungumza.

Arsenal itafuatilia nafasi ya winga ikiwa ni winga sahihi na kwa bei sahihi

(@FabrizioRomano)🔴⚪️
 
Jurgen Klopp kuhusu ushindani katika PL:

"Arsenal, niliona matokeo, ya kuvutia sana 6-0 dhidi ya Sevilla.

Sidhani kama hilo liliwahi kutokea kwa Sevilla kusema ukweli." [metro kupitia ITV]
 

Attachments

  • FB_IMG_1659276827525.jpg
    FB_IMG_1659276827525.jpg
    51.6 KB · Views: 14
Leo nilkua nafuatilia podcast ya Fabrizo Romano ..Kasema ARSENAL muda wowote wanaweza wakaanza kutafuta winger.huku akisema kun top winger wapo wanafuatilia stuation yake.
 
Thomas Partey dhidi ya Sevilla;

Ratings 7.6
Minutes Played 79
Total shots 1
Accurate passes 48/56 (86%)
Chances created 3
Shot Accuracy 1/1 (100%)
Touches 63
Successful dribbles 2/3 (67%)
Accurate long balls 4/6 (67%)
Clearance 1
Headed clearance 1

🔥
 
ODEGAARD NAHODHA MDOGO DUNIANI

Klabu ya Arsenal imetangaza rasmi kuwa nahodha wao wa timu kuanzia sasa ni kiungo wao mshambuliaji Martin Odegaard.

Maamuzi hayo yamefanywa na kocha mkuu wa Arsenal Mikel Arteta na yamepokewa vizuri na bodi ya wakurugenzi wa timu pamoja na Wachezaji.

Martin Odegaard amekua na mchango mkubwa sana ndani ya klabu ya Arsenal tangu alipojiunga nayo Arsenal kwa mara ya kwanza kwa mkopo January 2021 akitokea Real Madrid kabla ya kununuliwa rasmi na Arsenal.

Martin Odegaard pia ni nahodha wa timu ya taifa ya Norway.

Odegaard akiwa na umri wa miaka 23 anakua nahodha mwenye umri mdogo
Zaidi duniani kwa sasa kuwa nahodha kwenye timu ya taifa na klabu duniani
Nahodha mdogo na shoga. Chama linaongozwa na Shoga.
 
Msimu mpya ila BUKAYO SAKA ni yule yule.🔥🌶

Msimu huu afunge goli 15 na Assist 10.😊
 
Wewe acha kuzurura kwenye majukwaa ya watu wakati forward line yako Ni Martial na Rashford

Beki magwaya

Watauweza huu mziki?
Sio kuuweza tu bali mtatupiga goli 8 kabisa ili kusawazisha record.
Kikubwa endeleeni kufurahia timu inawachezaji wazuri ila msijisahaulishe kua timu haina kocha.
 
Sio kuuweza tu bali mtatupiga goli 8 kabisa ili kusawazisha record.
Kikubwa endeleeni kufurahia timu inawachezaji wazuri ila msijisahaulishe kua timu haina kocha.
Nikweli nyumbu hamna Kocha

Man Utd's first three friendlies:

𝗪 4-0 vs. Liverpool
𝗪 4-1 vs. Melbourne Victory
𝗪 3-1 vs. Crystal Palace

Man Utd's last three friendlies:

𝗗 2-2 vs. Aston Villa
𝗟 0-1 vs. Atlético Madrid
𝗗 1-1 vs. Rayo Vallecano
 
Tunayo furaha kutangaza kwamba Martin Odegaard ameteuliwa kuwa nahodha wetu mpya wa kikosi cha kwanza cha wanaume.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 amefanya makubwa tangu awasili Uwanja wa Emirates akitokea Real Madrid Januari 2021, awali kwa mkopo, na amecheza mara 60 na kufunga mabao tisa.

Odegaard ana uzoefu wa kuvaa kitambaa hicho, akiwa nahodha wa Norway tangu Machi 2021, ambaye ameshinda mechi 43 kwake.

Tunamtakia Martin mafanikio mema kama nahodha wetu.

Tutakuwa na zaidi juu ya uteuzi hapa baada ya mechi ya leo.
Aendelee kupambana tupo nyuma yake.
 
Bernd Leno will undergo medical tests and sign as new Fulham goalkeeper this week, personal terms are also agreed. Full agreement in place between Fulham and Arsenal, as per @Plettigoal - will be completed soon. ⚪️⚫️ #FulhamFC

Fulham wanted Leno over Neto as new goalkeeper.
 
Full agreement completed between Arsenal and Reims for Folarin Balogun, as reported yesterday. Documents to be signed in the next 24/48h - player will be soon on his way to France in order to undergo medical tests. 🔴🤝 #AFC

It's a loan move valid until June 2023. https://t.co/tMjfYur28n
 
According to @alvaritomfs , Hector Bellerin's agents are in constant contact with Arsenal to allow their client to leave for Betis. A meeting has been set with the club this week.

Agents are also in contact with Betis.. It is possible that the deal will take place in the last days of the market.. Time is running for Betis's favour
 
🚨 || Nicolas Pépé will be moved to the departure lounge if Arteta can sign another winger after missing out on Raphinha [Via - @DeathIrwin].
 
Arsenal were hoping to raise as much as £50million for Hector Bellerin, Pablo Mari, Lucas Torreira, Ainsley Maitland-Niles and Reiss Nelson. Are yet to receive any firm offers for them. [Mark Irwin exc]
 
Back
Top Bottom