hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,677
Kiungo mpya inawezekana akasajiliwa. Edu ni shabiki wa Paqueta, lakini bado hajawasilisha ofa.Tielemans yuko kwenye orodha pia lakini vilabu bado havijazungumza.
Arsenal itafuatilia nafasi ya winga ikiwa ni winga sahihi na kwa bei sahihi
(@FabrizioRomano)🔴⚪️
Arsenal itafuatilia nafasi ya winga ikiwa ni winga sahihi na kwa bei sahihi
(@FabrizioRomano)🔴⚪️