makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,783
- 103,758
Naona XHAKA kama kabadilika hivi, ngoja muda utaleta majibu.
Yaah anajaribu kuupgrade, anaperform vizuri sana ila position inamtaka kiungo mwenye quick feet , Tielemans/ paquetaNaona XHAKA kama kabadilika hivi, ngoja muda utaleta majibu.
Kiukweli kuna mabadiliko nayaona kuanzia kuzuia tokea juu, mchango wa striker, katika kushambulia na kukaba, ila nahofia saana majeruhi ya partey ambae ndio msingi wa timu.Yaah anajaribu kuupgrade, anaperform vizuri sana ila position inamtaka kiungo mwenye quick feet , Tielemans/ paqueta
Xhaka akicheza km pivot hana mpinzani ila km #8 wapo viungo wepesi zaidi yake.
Martin OJENAMUO/ODESHI/OXYGEN ODEGAAARD
Arsenal NEW club CAPTAIN..
From a Real Madrid outcast to being an Arsenal captain
-May your Captaincy bring PEACE.. Iseeeeeee!!
-May your Captaincy bring a new era of success to Arsenal football club .. Iseeeeeeeeeeee!!
-We will win the champions league and Premier league with you as captain .. Iseeeeeeeeeeee!!!
If Real Madrid attempts to buy you back THUNDER will strike them Iseeeeeeeeeeee!!
I have Anointed you.. GO AND BE SUCCESSFUL!
Kule nyuma una kuonaje na kati je? msimu huu tukoKwenye Game ya leo Nilichonote ni kwamba Tumekuwa wakatili sana Kuanzia kati kwa Odegaard kwenda mbele,, Wale Vijana wa4 pale mbele ni wanakimbia Mnoooo,
Wanafanya movement zao kwa kasi,, Gabriel Jesus utamkuta kila Upande, huo wepesi wao zinazalisha vipasi flan vya Fasta fasta ambapo kwa beki Wazito wazito kama Magwaya Lazima wapate kizungu zungu

benchi ndo la kuboleshwaKule nyuma hakuna shida ,Kule nyuma una kuonaje na kati je? msimu huu tukobenchi ndo la kuboleshwa
Partey ni muhimu for sure, kitachotuzuia msimu huu ni technical depth, not otherwise.Kiukweli kuna mabadiliko nayaona kuanzia kuzuia tokea juu, mchango wa striker, katika kushambulia na kukaba, ila nahofia saana majeruhi ya partey ambae ndio msingi wa timu.
Nilimuona Zinny saana katikati tukiwa tunashambulia, tofauti na Tieney anavyotumika msimu ulioisha, tinny alikua anaenda pembeni sana kwenye winger na Smith row anaingia ndan kwenye half space/ namba 10, ila naona msimu huu akaja kivingine kabisa Arteta daaah huyu kocha ni hatari2-3-5
Huu ndio mfumo wetu wakushambulia
Na endapo mtamaliza msimu bila ya kombe lolote itafanya Man City wawadharau mara mbili.Kwa uwezo wanaonesha Jesus & Zichenko preseason inafanya niwaheshimu Man city mara mbili.
Europa tunachukua, EPL kitachotumaliza ni injury, without injury Liverpool & City wakikaa kizembe tunachukua.Na endapo mtamaliza msimu bila ya kombe lolote itafanya Man City wawadharau mara mbili.
Nakubali anavyoanza kuwa na adabu kama hizNa endapo mtamaliza msimu bila ya kombe lolote itafanya Man City wawadharau mara mbili.



Akili za Arse88 bhana, hahahaha.....Europa tunachukua, EPL kitachotumaliza ni injury, without injury Liverpool & City wakikaa kizembe tunachukua.
Yani arsenane ni chalie chaplin kabisaEuropa tunachukua, EPL kitachotumaliza ni injury, without injury Liverpool & City wakikaa kizembe tunachukua.


! Ubebe ndoo ya Epl kisa kushinda vimechi vya preseasonAkili za Arse88 bhana, hahahaha.....