Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwenye Game ya leo Nilichonote ni kwamba Tumekuwa wakatili sana Kuanzia kati kwa Odegaard kwenda mbele,, Wale Vijana wa4 pale mbele ni wanakimbia Mnoooo,

Wanafanya movement zao kwa kasi,, Gabriel Jesus utamkuta kila Upande, huo wepesi wao zinazalisha vipasi flan vya Fasta fasta ambapo kwa beki Wazito wazito kama Magwaya Lazima wapate kizungu zungu
 
🚨Arteta on more signings: "We are still hoping to do something else in the market. You have seen movement in the other direction (outgoings). We want to get perfect balance and accomplish our plan. Whether we can accomplish that is another story"
 
Yaah anajaribu kuupgrade, anaperform vizuri sana ila position inamtaka kiungo mwenye quick feet , Tielemans/ paqueta

Xhaka akicheza km pivot hana mpinzani ila km #8 wapo viungo wepesi zaidi yake.
Kiukweli kuna mabadiliko nayaona kuanzia kuzuia tokea juu, mchango wa striker, katika kushambulia na kukaba, ila nahofia saana majeruhi ya partey ambae ndio msingi wa timu.
 
Arteta on the injuries of Tomi,ESR,KT and Vieria):

" I think most of them(4 injuries) if they get through what they have to this week,they will be available(for Palace). They are lacking minutes (on the pitch)
 
Martin OJENAMUO/ODESHI/OXYGEN ODEGAAARD

Arsenal NEW club CAPTAIN..

From a Real Madrid outcast to being an Arsenal captain

-May your Captaincy bring PEACE.. Iseeeeeee!!
-May your Captaincy bring a new era of success to Arsenal football club .. Iseeeeeeeeeeee!!
-We will win the champions league and Premier league with you as captain .. Iseeeeeeeeeeee!!!

If Real Madrid attempts to buy you back THUNDER will strike them Iseeeeeeeeeeee!!

I have Anointed you.. GO AND BE SUCCESSFUL!
 
Martin OJENAMUO/ODESHI/OXYGEN ODEGAAARD

Arsenal NEW club CAPTAIN..

From a Real Madrid outcast to being an Arsenal captain

-May your Captaincy bring PEACE.. Iseeeeeee!!
-May your Captaincy bring a new era of success to Arsenal football club .. Iseeeeeeeeeeee!!
-We will win the champions league and Premier league with you as captain .. Iseeeeeeeeeeee!!!

If Real Madrid attempts to buy you back THUNDER will strike them Iseeeeeeeeeeee!!

I have Anointed you.. GO AND BE SUCCESSFUL!

Thank you idibia
 
Kwenye Game ya leo Nilichonote ni kwamba Tumekuwa wakatili sana Kuanzia kati kwa Odegaard kwenda mbele,, Wale Vijana wa4 pale mbele ni wanakimbia Mnoooo,

Wanafanya movement zao kwa kasi,, Gabriel Jesus utamkuta kila Upande, huo wepesi wao zinazalisha vipasi flan vya Fasta fasta ambapo kwa beki Wazito wazito kama Magwaya Lazima wapate kizungu zungu
Kule nyuma una kuonaje na kati je? msimu huu tuko benchi ndo la kuboleshwa
 
2-3-5

Huu ndio mfumo wetu wakushambulia
Nilimuona Zinny saana katikati tukiwa tunashambulia, tofauti na Tieney anavyotumika msimu ulioisha, tinny alikua anaenda pembeni sana kwenye winger na Smith row anaingia ndan kwenye half space/ namba 10, ila naona msimu huu akaja kivingine kabisa Arteta daaah huyu kocha ni hatari
 
Na endapo mtamaliza msimu bila ya kombe lolote itafanya Man City wawadharau mara mbili.
Nakubali anavyoanza kuwa na adabu kama hiz

Kuhusu vikombe ondoa hofu,

mfano mdogo ni FA huwa kinatutaka chenyewe
Huwa atutumii nguvu kubwa kukikamata

Europe bado sijaona wakustahimili fimbo ntakazo tembeza

Ligi ndio kiatu kiatu, mtu kazi, bendera ya kuzimu hadi kieleweke

Mkuu nikupe tu habari, sasa hiv partey anapiga outer(Kofi)
Unaweza ukasema modric amefikaje huku

Bora ukutane na mandonga lakini sio arsenal hii
 

Attachments

  • IMG_20220724_045903.jpg
    IMG_20220724_045903.jpg
    108.3 KB · Views: 26
Back
Top Bottom