mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,225
Ndio maana nilipata kusema inabidi tuwe na defensive midfielder mgumu pale kati ili tuuone ubora wa hali ya juu wa hawaESR ni mchezaji mzuri kweli na ana kipaji cha hal y juu ila naona majukumu ya arteta anay mpa ana pata shida kuyatkeleza ;sio mchezaj ambae anapenda sna kukaba so sitaona ajabu martinelli akiw bdo anaendlea kuanza mbele yake..
Odegard, Rowe, martinel, saka, jesus
Kwa sasa tunae partey, sina wasiwasi na kazi yake pale kati
Shida ni majerui tu
Coz tukiwa na kiungo mkabaji mzuri, hao madogo hawatashuka sana chini, muda mwingi watakua kulekule mbele
Na hapo ndio utaona mtu anakufa 4 alafu bado anatafutwa
Kama unakumbuka kipindi partey alivyoumia, tukajikuta timu nzima imekua defensive,
fluidity ya kushambulia inakua ngumu sana, coz hadi tufike golin kwa wapinzani. Tunajikuta tumechelewa, watu wameshajipanga kitambo tu
Crystal palace yule mshenzi ijumaa ndio tunaanza nae kumalizana zile hasira za msimu uliopita.
Moja kati ya timu zilizofanya tuwe huku Europe

