Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🏆Pre season friendly
🏴Arsenal vs Everton
⏰kick-off at 12am (BST)
🏟Ground: M&T Bank Stadium in Baltimore
 

Attachments

  • IMG_20220717_073531.jpg
    IMG_20220717_073531.jpg
    93.5 KB · Views: 14
Every word from Mikel Arteta's press conference after #AFC's 2-0 win over Everton ft. quotes on Saka's future, Saliba's display, Jesus' best position, fitness of White, Tomiyasu, Tierney, Smith Rowe and Vieira.

 
His positional play is world class, and the positivity of his passing is a breath of fresh air, rolls royce…..THOMAS PARTEY
Partey akiwa fit almost msimu mzima au tumtumie sana katika tough games (Liverpool, city, spurs)
Man u na Chelsea hawa kiungo ata akiwa xhaka na lokonga huwa tunajipigia tu
Refer games za mwishon kumaliza msimu tulivyo waadhibu

Odegard huyu mtu ni sumu sana
Anapiga pass ambapo hautarajii,
namuona ozil at the best peak kwa kupitia odegard
Na style ya uchezaji wake, majerui sio sana

Saka the star boy,
Ila atafutiwe mtu wa kuzid kumpa ushindani, na pia mwisho wa kumaliza ligi alichoka sana

Martinel

Rowe

Jesus
 
Arteta on #afc injuries.

"We have Kieran [Tierney] with a slight problem, we have Emile [Smith Rowe] with a muscular niggle, Tomiyasu as well and Ben [White]. Vieira has a slight problem in his bone, hopefully he will start to train in the next week or so."
 
Arteta on #afc injuries.

"We have Kieran [Tierney] with a slight problem, we have Emile [Smith Rowe] with a muscular niggle, Tomiyasu as well and Ben [White]. Vieira has a slight problem in his bone, hopefully he will start to train in the next week or so."
Wapone mapema
all out war is about to start

Tierney akiletewa zichenko pale hatatumika sana, na ndio itakua kumuepusha na injuries
 
Kikosi kilichoanza Jana
Leno hakuwa hata sub, Huyu anakaribia kuuzwa Fulham Arsenal wanataka £15m, sio £10m .

Saliba ,Partey , walikichafua Sana

Saka , Odegaard,Jesus wanaelewana


Hawa kina bellerin,Tavares, Nelson, pepe soon watafute timu

Tierney alikuwa na slight injury, So Ndio maana Zinny anakaribia kutua, tutaanza Ligi na Zinny

Upande wa kulia Tomiyasu yupo fit, Akisaidiana na Cedric

Saliba karud kuchukua namba za watu

Tunahitaji backup ya Magalhaes, eneo lake ni muhimu
 

Attachments

  • IMG_20220717_090654.jpg
    IMG_20220717_090654.jpg
    64.2 KB · Views: 16
Hapo kwa Xhaka tukimpata Paqueta au Tieleman ,mmoja Wapo basi Tutakuwa tumebakiza maeneo machache kuwa na watu wawili wawili wa kueleweka

Imagine against United unatoa Xhaka unatia Paqueta au Yuri
 
Kikosi kilichoanza Jana
Leno hakuwa hata sub, Huyu anakaribia kuuzwa Fulham Arsenal wanataka £15m, sio £10m .

Saliba ,Partey , walikichafua Sana

Saka , Odegaard,Jesus wanaelewana


Hawa kina bellerin,Tavares, Nelson, pepe soon watafute timu

Tierney alikuwa na slight injury, So Ndio maana Zinny anakaribia kutua, tutaanza Ligi na Zinny

Upande wa kulia Tomiyasu yupo fit, Akisaidiana na Cedric

Saliba karud kuchukua namba za watu

Tunahitaji backup ya Magalhaes, eneo lake ni muhimu
Unavyosema tunahitaji backup ya mgalhaes
Inamaana white na saliba hawawezi kumaliza pale?
Kuna game nakumbuka tomiyasu alicheza 4/5

Mimi naona pale nyuma tunaweza kuwatumia wale wale, technically zaidi na mambo yakaenda

Akija zinny

Kiungo mkabaji


Kuhusu Winga tunaweza kuvuta January
 
Hapo kwa Xhaka tukimpata Paqueta au Tieleman ,mmoja Wapo basi Tutakuwa tumebakiza maeneo machache kuwa na watu wawili wawili wa kueleweka

Imagine against United unatoa Xhaka unatia Paqueta au Yuri
Kuhusu man u na Chelsea
Hao ata mudy elneny anawafungia booster ya maana pale kati bila shida wanakaa vizuri tu

Game kama za Liverpool na city atakaeweza ku-dominate midfield ndio atakaeondoka na matokeo
 
Saka✅
Xhaka✅
Thomas✅
Ode✅
Gab✅
Gab✅
Gab✅
Saliba✅
Cedric......atasaidia mechi za shambani zile.
Nuno bado ana shida Moja tu hapa nliyoona.
Turner atacheza mechi chache sana msimu ukianza.
Zile sub zilizoingia aisee wengi watafute team nje ya apo wanahitaji kufanya mazoezi mara mbili ya walioanza wakiongozwa na Pepe.

Lile kundi lina watu wachache sana wanaoweza cheza game arsenal waliobaki Kasi yetu imeanza kuwaacha aisee.

Hawapress,hawakimbii, transition wapo so slow.
 
Unavyosema tunahitaji backup ya mgalhaes
Inamaana white na saliba hawawezi kumaliza pale?
Kuna game nakumbuka tomiyasu alicheza 4/5

Mimi naona pale nyuma tunaweza kuwatumia wale wale, technically zaidi na mambo yakaenda

Akija zinny

Kiungo mkabaji


Kuhusu Winga tunaweza kuvuta January
Yah ,ila winga Arsenal lazima wamlete wakumsaidia saka,

Dirisha hili lazima wapambane wamlete RW ,

Kule LW Kuna Martinell na Smith Rowe

Kwa Saka Ni Kama yupo peke yake ,Pepe haeleweki kabisa

Hivo Target ya winger Ni RW ,ndio maana tulimtaka Raphina ,Kuna €50m ipo ya winger
 
Pepe narudia.

He is too slow, passing yake haitabiriki kama atakupa mpira mzuri au mbaya atakupa kwenye free space au anakupa mtego yaani haeleweki .

Niles alijaribu kukamua lkn unaona kabisa Kuna vitu vinakataa automatically kwenye system.

Aisee wakibaki wanahitaji kufanya mazoezi mara mbili ya nliowataja juu apo.

Wale walioanza wanacheza mpira mkubwa Kuna muda unaona mpira Kazi simple zinavyoguswa zile triangle,one two
 
Hapo kwa Xhaka tukimpata Paqueta au Tieleman ,mmoja Wapo basi Tutakuwa tumebakiza maeneo machache kuwa na watu wawili wawili wa kueleweka

Imagine against United unatoa Xhaka unatia Paqueta au Yuri
Arsenal inavyocheza kiungo sio priority tena, tunahitaji winger, zinchenko anasolve tatizo la kiungo LCM in short run.
 
Saka
Xhaka
Thomas
Ode
Gab
Gab
Gab
Saliba
Cedric......atasaidia mechi za shambani zile.
Nuno bado ana shida Moja tu hapa nliyoona.
Turner atacheza mechi chache sana msimu ukianza.
Zile sub zilizoingia aisee wengi watafute team nje ya apo wanahitaji kufanya mazoezi mara mbili ya walioanza wakiongozwa na Pepe.

Lile kundi lina watu wachache sana wanaoweza cheza game arsenal waliobaki Kasi yetu imeanza kuwaacha aisee.

Hawapress,hawakimbii, transition wapo so slow.
Kuna muda unaona nuno anakitu ila anakosa utulivu
Physically yupo fit ana mbio, ila mzito kuusoma mchezo na kufanya maamuzi. Huyu mkopo unamuhusu sana

Nelson inatosha kusema hana kipaji, uingereza unambeba

Bellerin arudi alipotoka auzwe jumla

Torreira yupo kwenye uangalizi wa arteta, lakin sioni maisha yake pale arsenal.

Elneny n backup nzuri sana kwa midfield yetu


Msimu huu tutakua moto sana if things goes as planned
 
Hi timu akishatoka Xhaka nje Arteta Huwa anacheza kwenye formula tofauti yaani.

Oya wale wajomba walioanza Jana walikuwa wanatega mitego balaa na mingi imenasa.

Walikuwa wanapress kama liver vile na first half ilikuwa high line defending style Everton kakamatwa Offside 2 kama sio 3 huku akiwa kafika golini kwetu mara 3 tu kwa dakika 45😂 muda wote alikuwa anasakwa Partey linameza linatapika madude tu
 
Pepe narudia.

He is too slow, passing yake haitabiriki kama atakupa mpira mzuri au mbaya atakupa kwenye free space au anakupa mtego yaani haeleweki .

Niles alijaribu kukamua lkn unaona kabisa Kuna vitu vinakataa automatically kwenye system.

Aisee wakibaki wanahitaji kufanya mazoezi mara mbili ya nliowataja juu apo.

Wale walioanza wanacheza mpira mkubwa Kuna muda unaona mpira Kazi simple zinavyoguswa zile triangle,one two
Niles
Pepe
Torreira
Bellerin
Nelson

Hawa wote baba Jane bye bye

Coz tuna arsenal B huko wengi wanahitaji kupandishwa
Lazima waachie nafasi tu
Kuna patino, Walter, salah...
 
Back
Top Bottom