mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Partey akiwa fit pale epl game zote tutaangalia vifua waziHi timu akishatoka Xhaka nje Arteta Huwa anacheza kwenye formula tofauti yaani.
Oya wale wajomba walioanza Jana walikuwa wanatega mitego balaa na mingi imenasa.
Walikuwa wanapress kama liver vile na first half ilikuwa high line defending style Everton kakamatwa Offside 2 kama sio 3 huku akiwa kafika golini kwetu mara 3 tu kwa dakika 45muda wote alikuwa anasakwa Partey linameza linatapika madude tu
Game na city partey aliishika ile midfield kama yake
Nyekundu ndio ilitutoa mchezon
Partey na xhaka wakikaa pale kati vizuri ndio utaona ubora wa
Odegard, saka, martinel, Rowe, Jesus, nketiah, Vieira,
Maana itapigwa pressing ya hatari sana
muda wote alikuwa anasakwa Partey linameza linatapika madude tu