hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,686
Heri nyie mliyesajiri Ten Hagg mwenye DNA ya Epl na uefaNyie usajili wenu wa maana ilikua ni kusajili kwanza kocha mwenye mentality ya kunyanyua makombe ya Epl na Uefa, kubaki na Arteta hata mkisajili kikosi kizima cha Man City ila mwisho wa msimu hamuambulii hata kombe la FA.
Tutakutana tu epl
Mna kelele Sana nyie, si mlimleta mwalimu wa Tuchel na Klopp ,hamjakoma tu
️
#AFC