Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,094
- 7,464
Unasema kweli ila hofu yangu kwake ni kwamba kawauza Jesus na Sterling bila kuwareplace, so kapunguza runners in behind, so either pep asajili natural wide player kurudisha balance or Liverpool washinde Epl nxt season. Sahivi EPL ukikosa balance kumbuka kuna wagumu kama Newcastle, Spurs, pia bado wengine wakubwa wanakungoja, yaani utakubali mwenyewe.pep anajua kureplace wachezaji ,ndio maana anapenda timu zenye pesa
Ameuza ferran tores Lin Kama hakijatokea kitu
Kauza sane ,now Rahim
ni jambo la kujivunia plus replacement ya Partey tutakuwa tunasubiri msimu na Arteta atakuwa hana reasons mpya Arsenal ikishindwa kuperform but kuna tatizo kubwa sana nalo ni DISCIPLINE players wetu hawabadiliki Xhaka Gabriel Partey Holding Ramsdale hawa mara nyingi kutoa boko sio ishu tunaweza tukasajili but tusipoangalia suala hili yale yale tutakuja kuandika kwa hasira I hope management watafanyia kazi suala hili