Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

🚨 Arsenal are confident and optimistic on agreeing a deal for Lucas Paquetá. Reports, @RBairner via @ArsenalFC_fl. https://t.co/LLLMe8boWJ
Baada ya usajili wa Zinchenko kukamilika, nitaomba apatikane CM kwenye nafasi ya Xhaka aidha Serge Milinkovic-Savic au Tielemans na winga mmoja classic ambae mpaka sasa sina recommendation yeyote.
Paqueta ni mzuri sana na namkubali fundi wa kibrazili lakini tayari nafasi yake ina watu japo sio mbaya kama akisainiwa, tutakuwa tumeongeza another classic player.
Beki zipo nyingi labda full back ya kulia iongezewe nguvu.
Kisha tusubiri msimu mpya uanze.
 
Castr mkorea henry

Arsenal imegoma kutoa €55m kwa Lisandro Martinez,

Now inaenda kumpata Zincheko , LB, LCM,AM kwa €30m


Mna maoni gani

Na mnaionaje city ,mbona inauza sana
huyo aje tu tutampokea. Anajua style za pep na arteta. City wanaweza kuuza nadhani kwa sababu ya financial fair play na pia wameshajenga system nzuri ambayo mchezaji wao yeyote anaelewa na ana adapt hivyo hata wakiuzwa baadhi, waliobaki wataziba pengo bila shida, na wachezaji wapya wataadapt chap chap sana maana wanatamani kumuonesha pep uwezo wao
 
Thomas Partey training in America 🇺🇸
 

Attachments

  • IMG_20220714_215331.jpg
    IMG_20220714_215331.jpg
    111.9 KB · Views: 14
  • IMG_20220714_215449.jpg
    IMG_20220714_215449.jpg
    333.6 KB · Views: 12
  • IMG_20220714_215547.jpg
    IMG_20220714_215547.jpg
    79.3 KB · Views: 15
This duo. PL get ready!🔥
 

Attachments

  • IMG_20220714_220615.jpg
    IMG_20220714_220615.jpg
    450.4 KB · Views: 19
  • IMG_20220714_221242.jpg
    IMG_20220714_221242.jpg
    127.8 KB · Views: 18
  • IMG_20220714_220443.jpg
    IMG_20220714_220443.jpg
    134.4 KB · Views: 17
Sevilla and Leeds both interested in signing Nicolas Pepe 🇨🇮 from #Arsenal. Talks ongoing but at the moment main issue are fees and wages 👀 [ @diariodesevilla ]
 
🚨 Arsenal wanaendelea na mpango wa kumsajili Oleksandr Zinchenko kutoka Man City. Man city na arsenal wapo katika mazungumzo, #MCFC iko tayari kumuuza mchezaji iwapo dau litafikiwa. #AFC pia inataka kufanya makubaliano binafsi na mchezaji huyo mwenye Miaka 25 ambaye ni kipaumbele cha Arteta baada ya kumkosa Martinez @TheAthleticUK
 
Manchester City are still working to sign Marc Cucurella from Brighton and Hove Albion according to @FabrizioRomano.

Oleksandr Zinchenko, who plays in the same position as the former Barcelona man, is expected to leave for Arsenal.
 
Manchester City are still targeting Marc Cucurella, no changes - talks will enter into important stages in case Oleksandr Zinchenko joins Arsenal. City are open to let Zinchenko leave this summer. 🚨🔵 #MCFC

Arsenal working on Zinchenko deal. Sergio GĂłmez, back up option. https://t.co/0c0qjVOUmD
 
Back
Top Bottom