hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,686
🚨 Arsenal are confident and optimistic on agreeing a deal for Lucas Paquetá. Reports, @RBairner via @ArsenalFC_fl. https://t.co/LLLMe8boWJ
Baada ya usajili wa Zinchenko kukamilika, nitaomba apatikane CM kwenye nafasi ya Xhaka aidha Serge Milinkovic-Savic au Tielemans na winga mmoja classic ambae mpaka sasa sina recommendation yeyote.🚨 Arsenal are confident and optimistic on agreeing a deal for Lucas Paquetá. Reports, @RBairner via @ArsenalFC_fl. https://t.co/LLLMe8boWJ
huyo aje tu tutampokea. Anajua style za pep na arteta. City wanaweza kuuza nadhani kwa sababu ya financial fair play na pia wameshajenga system nzuri ambayo mchezaji wao yeyote anaelewa na ana adapt hivyo hata wakiuzwa baadhi, waliobaki wataziba pengo bila shida, na wachezaji wapya wataadapt chap chap sana maana wanatamani kumuonesha pep uwezo wao
huu usajili siuoni kabisa ukifanikiwa🚨 Arsenal are confident and optimistic on agreeing a deal for Lucas Paquetá. Reports, @RBairner via @ArsenalFC_fl. https://t.co/LLLMe8boWJ
Huyu mbakaji wamemuachiaje huru!Thomas Partey training in America 🇺🇸
Kambaka Nani? Kuna ushahidi?Huyu mbakaji wamemuachiaje huru!
Habari za ng'ombe fc za nini humu kwenye group the Gunners.mpaka 2027View attachment 2289074
Shida yenu Arse88 kila msimu huwa manamatarajio makubwa kuliko uwezo wa timu yenu. kabla y msimu kelele nyingiiii, ligi ikishaanza hahahaha...... mnapoteana.This duo. PL get ready!🔥
Kumbe yule yule demu aliyemfanya jamaa abadili dini ndo inasemekana kamfungulia kesi???? DuuuhKambaka Nani? Kuna ushahidi?
Huyu demu wake anataka amuoe ,kabadili had dini
Demu anafos aolewe ,ili aje afilisiwe, kastuka
Demu kamtengenezea kes za ubakaji , kazichomoa zote
Hajamfungulia kesi,ila inasemekana alimuwekea mtego kwa wanawake wengine ,ikaonekana kabaka,Kumbe yule yule demu aliyemfanya jamaa abadili dini ndo inasemekana kamfungulia kesi???? Duuuh
Kakubaka wewe!Huyu mbakaji wamemuachiaje huru!