Zinchenko ni proven EPL
Ngoja nikuambie kitu
Sababu tulipo husishwa Martinez coz ni baller pia anacheza nafasi zaidi ya moja (full back, LCM). ila natural position yake ni hiyo full back
Na Lengo la sisi kutaka kumchukua anaenda kuwa backup ya Tierney. Sio aje kuingia kikosi cha kwanza
100% lilikua parfect deal
Man u wanamchukua Martinez moja moja anaingia katika first eleven yao

Pia wamemuangalia katika nafasi ya kiungo zaidi, kitu ambacho ni hatari sana kwa pande zote mbili
Kwa timu na mchezaji mwenyewe
Backup ya arsenal wao man u wameona ni first eleven ndio maana wanapigwa parefu
Ajax players wengi wana struggle sana, hasa falsafa za man u, sioni maisha mazuri kwa huyu Martinez au De jong kama wakitua pale
Hata kama Martinez atakua mzuri kiasi gani wahuni wataamua kupitia kwa magwaya ili kurahisisha kazi (joking)

