Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nooooooo....sasa wataacha nitoroke hapa...!!! Inakuwaje hawa vijana...!!!! This is not the gunners i used to know...🙁

That is very true KH...it is a different team... thanks to management's bad decisions
 
dah! at least Keren Happuch anakuliwazeni hapa. azawaizi hii ni balaa. wakuu mie ningekushaurini mrudi yanga tu.


Kurudi Yanga tena!? Mhhhh! Mimi na kandambili mbali mbali kabisa
 
Almunia baada ya kukaa bench kwa muda mrefu naona ana-revenge ..... .... ... kalipwa mpunga na mafioso huyu!
 
Michezaji mingine ya kuuzwa tu watu hawabebeki.


Kama Wenger hawezi kubadilisha policy yake ya kulea mayai, he should just move on.
 
Duh huu mwaka naona babu Wenger ataukumbuka sana huu
 
Almunia for Engaland....khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!

Naona na jukwaa mmeamua kugeuza la mapenzi....lol
 
kwa jirani pia mambo si shwari maana bado bila bila na John Evans ametolewa kwa red card, tujipange vizuri tushinde game hii.
 
Back
Top Bottom