Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

namkubali Kante ingawa sidhani kama anaweza kuja. Nasikia amekuwa anasumbuliwa na majeraha siku hizi. Atafaa kucheza na Partey na pia kama mbadala wake jamaa atakapoumia. Shida wakiumia wote
Habar ya kante imeikanushwa,

Sijui kwann bado inajadiliwa sana
 
Jana nilikuwa nasikiliza kipindi cha wasafi cha sports court. Aisee wale jamaa kwa kweli hawajui wanachoongea na kuna mambo wanaongea kama ingekuwa wenzetu wanasikiliza wangejiingiza matatizoni


Eti ooh Kante ataisaidia sana arsenal kwasababu Partey ana kesi mbili za ubakaji. Nani aliwaambia hicho kitu

Halafu Lewandoski anataka kwenda Chelsea. Nyie nyie.

Hiv wanatuona hatufuatilii au

Na wakasema eti Lisandro amegoma kuhudhuria mazoezi kwasababu anataka klabu yake imuachie kwenda manchester. Huyu Lisandro ambaye kila siku namuona mazoezin na wenzake
Halafu nani aliwaambia partey ana kesi ya ubakaji. Hawaoni vyombo vya wenzao hawajataja mchezaji kwasababu sio maadili ya uandishi hata kama unamjua

Kwasasa Hapa bongo UFM nimeona nakugundua wanajitahidi kwa habari za MICHEZO,

Redio nyingi wapo makanjanja wakutangaza Kamari
 
Lisandro Martinez Ajax walikuwa wanatupambanisha na man u ,haya Sasa Arsenal kafika €40+5add ons ,Man u kafika €50(45+5ads ons)

Bei waliyokuwa wanaitaka ,

Sasa kwakuwa wamekaa kipigaji na man u kazoea kupigwa , Sasa wanagoma kumuachia wanasema wanataka €60m

Kifupi Kwasababu Man u kaingia na anamtaka Anthony wanataka wawapige pia kwa €80m


Now sio Arsenal ikihangaika Tena na Lisandro ,kwa hiyo Bei €60m
 
Lisandro Martinez Ajax walikuwa wanatupambanisha na man u ,haya Sasa Arsenal kafika €40+5add ons ,Man u kafika €50(45+5ads ons)

Bei waliyokuwa wanaitaka ,

Sasa kwakuwa wamekaa kipigaji na man u kazoea kupigwa , Sasa wanagoma kumuachia wanasema wanataka €60m

Kifupi Kwasababu Man u kaingia na anamtaka Anthony wanataka wawapige pia kwa €80m


Now sio Arsenal ikihangaika Tena na Lisandro ,kwa hiyo Bei €60m
Arsenal ni i con,, every touch show effect.
 
Arsenal midfielder Thomas Partey arriving at London Colney this afternoon. [@precbrown95] #afc
 
Jana nilikuwa nasikiliza kipindi cha wasafi cha sports court. Aisee wale jamaa kwa kweli hawajui wanachoongea na kuna mambo wanaongea kama ingekuwa wenzetu wanasikiliza wangejiingiza matatizoni


Eti ooh Kante ataisaidia sana arsenal kwasababu Partey ana kesi mbili za ubakaji. Nani aliwaambia hicho kitu

Halafu Lewandoski anataka kwenda Chelsea. Nyie nyie.

Hiv wanatuona hatufuatilii au

Na wakasema eti Lisandro amegoma kuhudhuria mazoezi kwasababu anataka klabu yake imuachie kwenda manchester. Huyu Lisandro ambaye kila siku namuona mazoezin na wenzake
Halafu nani aliwaambia partey ana kesi ya ubakaji. Hawaoni vyombo vya wenzao hawajataja mchezaji kwasababu sio maadili ya uandishi hata kama unamjua

Kwasasa Hapa bongo UFM nimeona nakugundua wanajitahidi kwa habari za MICHEZO,

Redio nyingi wapo makanjanja wakutangaza Kamari

Jana nilikuwa nasikiliza kipindi cha wasafi cha sports court. Aisee wale jamaa kwa kweli hawajui wanachoongea na kuna mambo wanaongea kama ingekuwa wenzetu wanasikiliza wangejiingiza matatizoni


Eti ooh Kante ataisaidia sana arsenal kwasababu Partey ana kesi mbili za ubakaji. Nani aliwaambia hicho kitu

Halafu Lewandoski anataka kwenda Chelsea. Nyie nyie.

Hiv wanatuona hatufuatilii au

Na wakasema eti Lisandro amegoma kuhudhuria mazoezi kwasababu anataka klabu yake imuachie kwenda manchester. Huyu Lisandro ambaye kila siku namuona mazoezin na wenzake
Halafu nani aliwaambia partey ana kesi ya ubakaji. Hawaoni vyombo vya wenzao hawajataja mchezaji kwasababu sio maadili ya uandishi hata kama unamjua

Kwasasa Hapa bongo UFM nimeona nakugundua wanajitahidi kwa habari za MICHEZO,

Redio nyingi wapo makanjanja wakutangaza Kamari
wengi wanaongea kwa hisia zao tu na si kwamba wamefanya utafiti wowote. Wasikie tetesi kidogo tu wanawahi kutangaza waonekane wako sharp. Suala la maadili ya utoaji habari sijui ni kama hawajui au wanachukulia habari za masuala ya mpira kama habari za udaku za kina wema na kajala kisa tu mpira nao ni burudani
 
Kweli ni muda aisee. Aaron sijui nini kimemkuta. Hamis na Mkorea nafikiri wamehamia kwenye draft kwanza. Wengine wameenda kuwasononesha mashabiki wa nyumbu na chelsea kwa kuwapa habari za kutoswa na wachezaji kwenye majukwa yao
Yaan kumepoa sana aseeee
 
Jesus nae bana Sasa anafiki hii team inadamu ya kushinda kombe lolote kweli ...

Epl

Europa

Fa

Carabao

Hapa hakuna hata kombe arsenal anaweza fika nusu final
IMG-20220712-WA0027.jpg
 
Chelsea want to turn themselves into Reject FC.
If Raphinha wasn't enough, they now want another rejection from Serge Gnabry.
The man is Arsenal inside out, no way he'd even think of joining our rivals.
#Coyg #Arsenal #Afc https://t.co/5ertYFjZeR
 

Attachments

  • IMG_20220712_183032.jpg
    IMG_20220712_183032.jpg
    27 KB · Views: 16
🚨 Arsenal are interested in signing Lucas Paqueta this summer & have already informed the player’s representatives - through Edu Gaspar - that they want to formalise an offer for him. Lyon are asking for €80m. [@GoalBR, @thirfernandes & @simpraisa] #afc
 
🚨 Arsenal ‘appear the main candidate’ to sign Lyon midfielder Lucas Paqueta, with conversations taking place between both clubs. Paqueta has already had his name approved by Mikel Arteta & is close to Edu Gaspar. Lyon want €60m minimum to consider his sale. [@UOLEsporte] #afc
 
.@FabrizioRomano: “The club wanted a potentially expensive signing in the form of Raphinha but decided to abandon the race 10 days ago, without wanting to enter a bidding war. There are alternatives to Raphinha being considered, but Serge Gnabry is certainly not on the list.”
 
.@FabrizioRomano:


“It is not always easy to know what Arsenal will do next, because Edu prefers to work in silence.” #afc
 
🇧🇷 Paqueta: Arsenal sent scouts to watch him last ssn. Arteta is a fan. No official bid yet.

🇧🇪 Tielemans: high on the list but no offers. #AFC assessing options

🔁 Outgoings (Torreira, Bellerin, Leno etc) also a key consideration

🇦🇷 Martinez: fee too high, Man Utd favourites
 
🚨 Lucas Paquetá’s entourage believe that Arsenal will make a bid for the player.

He could potentially fit as the left-sided #8 in Arteta’s 4-3-3. Reports, @charles_watts via YouTube.
IMG_20220712_184832.jpg
 
Back
Top Bottom