hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,704
Habar ya kante imeikanushwa,namkubali Kante ingawa sidhani kama anaweza kuja. Nasikia amekuwa anasumbuliwa na majeraha siku hizi. Atafaa kucheza na Partey na pia kama mbadala wake jamaa atakapoumia. Shida wakiumia wote
Sijui kwann bado inajadiliwa sana

