Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Saa ngapi Gemu?
Saa 12.30 za hapa Kahama
Saa ngapi Gemu?
Wapgwe tu umbwa hawa mpaka waache ush.oga. uambiwe huyo jesus mpk dk. hii hajagusa hata mpira.Mnabanduliwa tu 2-0
Arsenal score 4 goals up to now
Asichojua wale wachezaji ambao wanauzwa ndio weng wakianza kipind Cha kwanza,Arsenal score 4 goals up to now
Mkuu katafute makala moja inaitwa "Started early and ended early"........ Mwandishi kamzungumzia kwa uchungu mkubwa sana Jack WilshereNAANDIKA NAFUTA NAANDIKA NAFUTA,
NAHITAJI MUDA KUMUANDIKIA MAKALA HUYU MWAMBA JACK WILSHERE
Nitamkumbuka 2014 Katikati ya mitaa ya London ,wakati wa parade ya FA CUP
Akiwauliza mashabiki wa arsenal
JACK :Vipi kuhusu totenaham?
Fans: Was**nge
JACK : Nani was**nge
Fans: Totenham
Leo anakaribia kurudi nyumban Arsenal kuitumikia klabu anayoipenda Sana.
MAJERUHI YAMETUNYIMA MENGI KUTOKA KWA JACK WILSHERE.
🟢Jack Wilshere will be the Arsenal under 18s head coach after announcing his retirement. (@David_Ornstein)
Ngoja niisake ndugu yanguMkuu katafute makala moja inaitwa "Started early and ended early"........ Mwandishi kamzungumzia kwa uchungu mkubwa sana Jack Wilshere
Jack alianza kutrain na first team akiwa na umri mdogo san