Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

TIERNEY auzwe anatujazia nafasi Arsenal ni good player but for this season acha aende zake ,martinez atafutwe kwa nguvu zote hatuwezi kuwa na player aina ya Diaby
 
hii ndo arsenal sasa nayoijua mimi ukiachana na kelele za mashabiki zake.
Screenshot_20220708-192027.jpg
 
Kuna mchambuz kwenye redio fulan analipwa kabisa mshahara amekaa anasema Arsenal mech ya kirafiki ya kwanza amefungwa 3-2 ,

Hivi Hawa wachambuz wanawaokotaga wapi? Hawana muda wakufatilia vitu kwa undani?

Umeajiriwa ,unakula ,unasomesha kwa kazi hiyo, lkn unakuta mchambuz amekaa kwenye redio anadanganya watu .

Kuna watu hawapendi kabisa kazi zao
 
NAANDIKA NAFUTA NAANDIKA NAFUTA,

NAHITAJI MUDA KUMUANDIKIA MAKALA HUYU MWAMBA JACK WILSHERE

Nitamkumbuka 2014 Katikati ya mitaa ya London ,wakati wa parade ya FA CUP

Akiwauliza mashabiki wa arsenal

JACK :Vipi kuhusu totenaham?

Fans: Was**nge

JACK : Nani was**nge

Fans: Totenham

Leo anakaribia kurudi nyumban Arsenal kuitumikia klabu anayoipenda Sana.

MAJERUHI YAMETUNYIMA MENGI KUTOKA KWA JACK WILSHERE.

🟢Jack Wilshere will be the Arsenal under 18s head coach after announcing his retirement. (@David_Ornstein)
 
NAANDIKA NAFUTA NAANDIKA NAFUTA,

NAHITAJI MUDA KUMUANDIKIA MAKALA HUYU MWAMBA JACK WILSHERE

Nitamkumbuka 2014 Katikati ya mitaa ya London ,wakati wa parade ya FA CUP

Akiwauliza mashabiki wa arsenal

JACK :Vipi kuhusu totenaham?

Fans: Was**nge

JACK : Nani was**nge

Fans: Totenham

Leo anakaribia kurudi nyumban Arsenal kuitumikia klabu anayoipenda Sana.

MAJERUHI YAMETUNYIMA MENGI KUTOKA KWA JACK WILSHERE.

🟢Jack Wilshere will be the Arsenal under 18s head coach after announcing his retirement. (@David_Ornstein)
Mkuu katafute makala moja inaitwa "Started early and ended early"........ Mwandishi kamzungumzia kwa uchungu mkubwa sana Jack Wilshere

Jack alianza kutrain na first team akiwa na umri mdogo sana
 
All 5 goals came after Gabriel Jesus movement and aggression.

His presence in box is what we lacked.
 
Mkuu katafute makala moja inaitwa "Started early and ended early"........ Mwandishi kamzungumzia kwa uchungu mkubwa sana Jack Wilshere

Jack alianza kutrain na first team akiwa na umri mdogo san
Ngoja niisake ndugu yangu
 
Back
Top Bottom