hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,335
- 26,808
Usiku ule , ule ni usiku uliojaa Furaha katika kila nyuso ya mwanafamilia wa Arsenal usiku ambao Xavi Hernandez anakumbuka ,usiku ambao kwa kinywa na utimamu wake aliweza kuongea na kusema "pengine hakuzaliwa England " kwa maana aliwachisha na kuwafanya wajione si kitu mbele yake ,unakumbuka utatu katika midfield ya Barca? Namaanisha Xavi , Iniesta na Busquart .
Alijimilikisha dimba ,alicheza alivyojisikia kwakweli aliwashitua wengi Sana kwakua kila team ilipambana na Barca huku wakijiuliza ni Nani wakufunga ule utatu kengele? Ila kwake alifanikiwa.
Ulitaka kuona jasho lake la mwisho? Ulitaka kuona mtu aliyepambania nembo? Ulitaka kuona mfalme DAUDI mbele ya Goliath? Au ulitaka kumuona shujaa wa namna gani?
Kwake Arsenal ni kila kitu utamuambia Nini akuelewe? Alichojua ni kupambania nembo ya team hata kwa njia hatarishi , Aliwahi kuwaambia Mashabiki wa Spurs Kama wakimaliza juu ya Arsenal atawalipa pesa wakati huo yeye ni majeruhi utamuambia nn akuelewe kuhusu Arsenal?
Mwaka wa 1992 alizaliwa huyu kijana mwenye upenzi wa dhati kabisa na timu yetu ,akapita alikopita mwaka 2001 alijiunga rasmi na team zetu za watoto akitokea Luton town , pale Hale End akakutana na mwalimu Roy Massey aliyemuamini na kumfanya kuwa miongoni mwa graduates Bora kabisa kupata kutokea katika shule za vijana pale Arsenal .
Pengine carrier yake ilipangwa kuwa fupi Sana au alitumika Sana katika umri mdogo lakini Safari yake Kama anavyoeleza mwenyewe ilijaa na nyakati nyingi za huzuni majeraha yalikuwa Rafiki yake kwa muda mwingi.
Lakini anajivunia Sana kuishi katika ndoto zake kwanza kabisa anasema kuchukua 2 FA cups na kuwakilisha team ya Taifa ya England katika world cup ni mafanikio makubwa Sana katika maisha yake .
Happy retirement Jack Wilshire hakika kila mtu anajua ulikuwa kamanda wa namna gani.
Alijimilikisha dimba ,alicheza alivyojisikia kwakweli aliwashitua wengi Sana kwakua kila team ilipambana na Barca huku wakijiuliza ni Nani wakufunga ule utatu kengele? Ila kwake alifanikiwa.
Ulitaka kuona jasho lake la mwisho? Ulitaka kuona mtu aliyepambania nembo? Ulitaka kuona mfalme DAUDI mbele ya Goliath? Au ulitaka kumuona shujaa wa namna gani?
Kwake Arsenal ni kila kitu utamuambia Nini akuelewe? Alichojua ni kupambania nembo ya team hata kwa njia hatarishi , Aliwahi kuwaambia Mashabiki wa Spurs Kama wakimaliza juu ya Arsenal atawalipa pesa wakati huo yeye ni majeruhi utamuambia nn akuelewe kuhusu Arsenal?
Mwaka wa 1992 alizaliwa huyu kijana mwenye upenzi wa dhati kabisa na timu yetu ,akapita alikopita mwaka 2001 alijiunga rasmi na team zetu za watoto akitokea Luton town , pale Hale End akakutana na mwalimu Roy Massey aliyemuamini na kumfanya kuwa miongoni mwa graduates Bora kabisa kupata kutokea katika shule za vijana pale Arsenal .
Pengine carrier yake ilipangwa kuwa fupi Sana au alitumika Sana katika umri mdogo lakini Safari yake Kama anavyoeleza mwenyewe ilijaa na nyakati nyingi za huzuni majeraha yalikuwa Rafiki yake kwa muda mwingi.
Lakini anajivunia Sana kuishi katika ndoto zake kwanza kabisa anasema kuchukua 2 FA cups na kuwakilisha team ya Taifa ya England katika world cup ni mafanikio makubwa Sana katika maisha yake .
Happy retirement Jack Wilshire hakika kila mtu anajua ulikuwa kamanda wa namna gani.
