Kuhusu Ishu Ya Partey..
Kuna mwandishi Mmoja Kutoka Ghana Amechunguza kwa Familia na Ndugu wa Karibu Wa Thomas Partey na Hiki Ndicho Alichosema kuhusu Hii kesi..
Anasema Mchezaji Kutoka London ambaye anahusika na Kesi Ya Ubakaji mwenye Miaka 29 inaaminika ni Thomas Partey
Anasema aliyemuwekea mtego huo ni Mpenzi wake wa kike Aitwaye Sarra Bella
Yakaletwa Mashtaka Yote na Mamlaka Husika iliyokuwa inafuatilia Kesi dhidi ya Partey na Kujiridhisha kwamba Hakuna Ushahidi wa Kutosha Kuweza Kumhukumu Partey
Na Inasemekana Mpenzi wake alimfanyia hivyo baada ya kumtembelea Partey huko Spain eneo la Mabella ambapo ana nyumba na Kutaka afunge nae ndoa Partey Akagoma kwa wakati huo .
Partey aliwaambia Wandishi wa Habari Kuwa Alibadili Dini na kuwa Muislam Sababu Ya Mwanamke Huyo Huyo ambaye alimuwekea Mtego wa kesi hii aitwaye Sara bella..
Soon Partey atakuwa Safe kama mambo hayatabadilika...
Funzo: La Kwanza Team ikiwa Upande wako watakufichia kila kitu chako hadi mwisho ijulikane kama umezingua au isijulikane kama umesingiziwa katika hiki Arsenal wako juu sana
Funzo la.pili.. Wanawake wengi Tunaokutana nao Ukubwan tukiwa na mafanikio wengi wao hawana upendo sababu wako after Money.. Choose wisely mtu gan unaenda Kumuoa sio kila anayekupenda ukiwa na hela ni mwanamke wa kuoa..
View attachment 2285111