Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Usiku ule , ule ni usiku uliojaa Furaha katika kila nyuso ya mwanafamilia wa Arsenal usiku ambao Xavi Hernandez anakumbuka ,usiku ambao kwa kinywa na utimamu wake aliweza kuongea na kusema "pengine hakuzaliwa England " kwa maana aliwachisha na kuwafanya wajione si kitu mbele yake ,unakumbuka utatu katika midfield ya Barca? Namaanisha Xavi , Iniesta na Busquart .
Alijimilikisha dimba ,alicheza alivyojisikia kwakweli aliwashitua wengi Sana kwakua kila team ilipambana na Barca huku wakijiuliza ni Nani wakufunga ule utatu kengele? Ila kwake alifanikiwa.

Ulitaka kuona jasho lake la mwisho? Ulitaka kuona mtu aliyepambania nembo? Ulitaka kuona mfalme DAUDI mbele ya Goliath? Au ulitaka kumuona shujaa wa namna gani?

Kwake Arsenal ni kila kitu utamuambia Nini akuelewe? Alichojua ni kupambania nembo ya team hata kwa njia hatarishi , Aliwahi kuwaambia Mashabiki wa Spurs Kama wakimaliza juu ya Arsenal atawalipa pesa wakati huo yeye ni majeruhi utamuambia nn akuelewe kuhusu Arsenal?

Mwaka wa 1992 alizaliwa huyu kijana mwenye upenzi wa dhati kabisa na timu yetu ,akapita alikopita mwaka 2001 alijiunga rasmi na team zetu za watoto akitokea Luton town , pale Hale End akakutana na mwalimu Roy Massey aliyemuamini na kumfanya kuwa miongoni mwa graduates Bora kabisa kupata kutokea katika shule za vijana pale Arsenal .

Pengine carrier yake ilipangwa kuwa fupi Sana au alitumika Sana katika umri mdogo lakini Safari yake Kama anavyoeleza mwenyewe ilijaa na nyakati nyingi za huzuni majeraha yalikuwa Rafiki yake kwa muda mwingi.

Lakini anajivunia Sana kuishi katika ndoto zake kwanza kabisa anasema kuchukua 2 FA cups na kuwakilisha team ya Taifa ya England katika world cup ni mafanikio makubwa Sana katika maisha yake .

Happy retirement Jack Wilshire hakika kila mtu anajua ulikuwa kamanda wa namna gani.

IMG_20220708_202832.jpg
 
Kuhusu Ishu Ya Partey..

Kuna mwandishi Mmoja Kutoka Ghana Amechunguza kwa Familia na Ndugu wa Karibu Wa Thomas Partey na Hiki Ndicho Alichosema kuhusu Hii kesi..

Anasema Mchezaji Kutoka London ambaye anahusika na Kesi Ya Ubakaji mwenye Miaka 29 inaaminika ni Thomas Partey

Anasema aliyemuwekea mtego huo ni Mpenzi wake wa kike Aitwaye Sarra Bella

Yakaletwa Mashtaka Yote na Mamlaka Husika iliyokuwa inafuatilia Kesi dhidi ya Partey na Kujiridhisha kwamba Hakuna Ushahidi wa Kutosha Kuweza Kumhukumu Partey

Na Inasemekana Mpenzi wake alimfanyia hivyo baada ya kumtembelea Partey huko Spain eneo la Mabella ambapo ana nyumba na Kutaka afunge nae ndoa Partey Akagoma kwa wakati huo .
Partey aliwaambia Wandishi wa Habari Kuwa Alibadili Dini na kuwa Muislam Sababu Ya Mwanamke Huyo Huyo ambaye alimuwekea Mtego wa kesi hii aitwaye Sara bella..

Soon Partey atakuwa Safe kama mambo hayatabadilika...

Funzo: La Kwanza Team ikiwa Upande wako watakufichia kila kitu chako hadi mwisho ijulikane kama umezingua au isijulikane kama umesingiziwa katika hiki Arsenal wako juu sana

Funzo la.pili.. Wanawake wengi Tunaokutana nao Ukubwan tukiwa na mafanikio wengi wao hawana upendo sababu wako after Money.. Choose wisely mtu gan unaenda Kumuoa sio kila anayekupenda ukiwa na hela ni mwanamke wa kuoa..










IMG_20220709_114205.jpg
 
Kuhusu Ishu Ya Partey..

Kuna mwandishi Mmoja Kutoka Ghana Amechunguza kwa Familia na Ndugu wa Karibu Wa Thomas Partey na Hiki Ndicho Alichosema kuhusu Hii kesi..

Anasema Mchezaji Kutoka London ambaye anahusika na Kesi Ya Ubakaji mwenye Miaka 29 inaaminika ni Thomas Partey

Anasema aliyemuwekea mtego huo ni Mpenzi wake wa kike Aitwaye Sarra Bella

Yakaletwa Mashtaka Yote na Mamlaka Husika iliyokuwa inafuatilia Kesi dhidi ya Partey na Kujiridhisha kwamba Hakuna Ushahidi wa Kutosha Kuweza Kumhukumu Partey

Na Inasemekana Mpenzi wake alimfanyia hivyo baada ya kumtembelea Partey huko Spain eneo la Mabella ambapo ana nyumba na Kutaka afunge nae ndoa Partey Akagoma kwa wakati huo .
Partey aliwaambia Wandishi wa Habari Kuwa Alibadili Dini na kuwa Muislam Sababu Ya Mwanamke Huyo Huyo ambaye alimuwekea Mtego wa kesi hii aitwaye Sara bella..

Soon Partey atakuwa Safe kama mambo hayatabadilika...

Funzo: La Kwanza Team ikiwa Upande wako watakufichia kila kitu chako hadi mwisho ijulikane kama umezingua au isijulikane kama umesingiziwa katika hiki Arsenal wako juu sana

Funzo la.pili.. Wanawake wengi Tunaokutana nao Ukubwan tukiwa na mafanikio wengi wao hawana upendo sababu wako after Money.. Choose wisely mtu gan unaenda Kumuoa sio kila anayekupenda ukiwa na hela ni mwanamke wa kuoa..










View attachment 2285111
Miafrika (players)haikomi wana akili fupi sana kwenye mapenzi they don't want to learn angalia Eboue ni mfano mmojawapo
 
Leno tulimpata kwa 20m. Tunamuachia kwa 10m. Tutakuwa tumekubali hasara ili Arteta aunde team anayoona inamfaa. Tunaendelea kama ilivyokuwa kwa Ozil, Auba nk. Mpira kwanza, biashara baadae. Siyo mbaya.
 
All allegations put on Thomas partey have been resolved after finding it out that they were just allegations with an intension.💯🙏
Martin Odegaard, Thomas Partey, William Saliba and Bukayo Saka, Granit Xhaka, Aaron Ramsdale and Tomiyasu will join the Arsenal Squad by Tuesday.
 
Back
Top Bottom