Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nakusaidia kitu.

Niweke kwenye ignore list.

Binafsi sijawahi kukuona kwenye uzi wowote wa michezo so naamini umetokea jukwaa la mapenzi na unaleta vibes za kuvamia kila unayemuona.
Umeona ulivyokua na uelewa mdogo.
 
Huyu ni miongoni mwa wachezaji nilioamini watakua star Arsenal.

Timu za Italia zimesemwa sana wiki za nyuma kutokana na ubahili. Mfano Inter mwaka jana wamemuuza Lukaku kwa 90M mwaka huu wanaambiwa watoe 10M wakae naye kwa mkopo wakasema wana 5M.

Fiorentina ilikubaliana na Arsenal kulipa 15M mkopo umeisha Fiorentina anasema hana nia ya kulipa. Yaani hana nia ya kulipa kwaajili ya mchezaji ambaye amecheza kwake msimu mzima huku Kocha akisema anataka jamaa abaki.

Pia kuna shida moja mfano timu ndogo ya italy inakubali kumuuza mchezaji Juve kwa 60M ambayo atalipwa kwa awamu na anakataa 60M ya mara moja kutoka klabu ya nje ya italy
Inafikirisha sana hiyo mkuu,
Mimi mwenyewe nakuwaga sielewi kabisa kwanini wanakuwa hivi,hasa biashara ikihusisha timu za nje ya italy...



Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Ile jina la Arsenal kutumika kuboost bei ya mchezaji imeendelea mpaka kwa Aaron Hickey.

Alitajwa kutakiwa na Arsenal. Brentford wamepanda dau mdau wa Twitter akaikashifu Arsenal ila Fabrizio akaweka hali sawa.

View attachment 2279350
Bwana Fabrizio akaongezea na hii
 

Attachments

  • Screenshot_20220702-191808.png
    Screenshot_20220702-191808.png
    49.1 KB · Views: 15
#Arsenal have made an official enquiry for the Benfica left back Alex Grimaldo The 25 year old Spanish left back is thought to be worth around £7 million and Mikel Arteta is keen to bring in defensive reinforcements in the left back role this summer [ @record_portugal ] https://t.co/Dni1YxeowD


Ni swala la muda kabla: nyumbu, spurs, chelshit kuhamia hili chaka
 
#Arsenal have made an official enquiry for the Benfica left back Alex Grimaldo The 25 year old Spanish left back is thought to be worth around £7 million and Mikel Arteta is keen to bring in defensive reinforcements in the left back role this summer [ @record_portugal ] https://t.co/Dni1YxeowD


Ni swala la muda kabla: nyumbu, spurs, chelshit kuhamia hili chaka
Hapo wanapotezwa maboya wakijazana huku watashangaa tu anatambulishwa Zichenko

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
#Arsenal have made an official enquiry for the Benfica left back Alex Grimaldo
emoji1201.png
The 25 year old Spanish left back is thought to be worth around £7 million and Mikel Arteta is keen to bring in defensive reinforcements in the left back role this summer [ @record_portugal ] https://t.co/Dni1YxeowD


Ni swala la muda kabla: nyumbu, spurs, chelshit kuhamia hili chak
mkorea, tavares hatukumtoa benfica kweli? Je huyu jamaa alikuwa back up ya tavares pale?
#Arsenal have made an official enquiry for the Benfica left back Alex Grimaldo The 25 year old Spanish left back is thought to be worth around £7 million and Mikel Arteta is keen to bring in defensive reinforcements in the left back role this summer [ @record_portugal ] https://t.co/Dni1YxeowD


Ni swala la muda kabla: nyumbu, spurs, chelshit kuhamia hili chak
 
mkorea, tavares hatukumtoa benfica kweli? Je huyu jamaa alikuwa back up ya tavares pale?
Alipandishwa kutoka benifica B
Katika kikos cha Benifica sina uhakika kama alicheza ata game 2

By the way hizo ni rumors tu, tuzipe muda kwanza
 
Back
Top Bottom