Lukaku haendani na mfumo kivipi?Lukaku ni kwasababu haendani na mfumo wa kocha na hakuwa chaguo la kocha Ziyech katusaidia Sana kwenye mechi Muhimu kuwa na statistics chache ni kwasababu sisi tunatatizo kubwa la ufungaji Ziyech ndio mchezaji wa pili nyuma ya Mount aliyetengeneza nafasi nyingi za ufungaji ( chance created) Moja kwa Moja huwezi kusema ameflop na kumbuka hapo kwenye nafasi yake anagombania number na Mount.Sema nini nduguzangu imewauma Sana kumkosa Raphinha ingawa ngumu kukiri hili
Ametoka united kwenye back four akaonekana hafai akaenda milan kwenye back 3 akaonekana hatari.
Amekuja kwenu kwenye back 3. Na pamoja wewe kudai haendani na mfumo jamaa anaondoka huku akiwa ndiye top scorer wenu. Hoja ya mfumo inaingia akilini hapo?
Mi naona tuchel siyo mzuri kwa kiasi mlichomfikiria.