Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kilichoniogopesha Jana ni kuwa Dembele na Sissoko walikuwa na kikao na Barcelona kimsingi hakijaisha vizuri wanategemea kwendelea Leo kuona namna gani wafanye abaki.

Kama anaondoka ujue hii itakuwa proper fee agent Barcelona bado watakuwa hawana Ile 60+ ya kutoa kwa Raphinha,Soler na Lewandoski.

Ndo maana wanapush kuipata 80 kwa united kuhusu De jong ambayo kimsingi 65 inabidi ilipwe as Cash 😂 wapate hela ya kufund deals zao tatu hizo apo... hii ya Soler tyr zinabaki mbili (Raphinha na Lewandoski)

1:So huu mzunguko adi utumie ndo unamleta Raphinha Arsenal.
2: Raphinha kuja Arsenal ni Deco.
3: Raphinha kuja Arsenal ni Arsenal maana Leeds washajitoa wamesubiri Simu tu.

NB: Arsenal Wana meeting na Deco if not today ni kesho na apo tutakuwa na Taarifa nzuri sana au mbaya sana.

Good morning hapa nimewapatia Taarifa kamili ya huu mchongo ulivyo hadi dakika hii.
 
🚨 || Arsenal are still waiting to hear back from Ajax, regarding their latest offer for Lisandro Martínez. The offer was £34m (£38m with bonuses) and the Dutch club are considering it [Via - @Charles_Watts].
 
🚨 || It is still possible that Arsenal return to Leicester for Youri Tielemans toward the end of their business [Via - @Charles_Watts].
 
Ajax wanatafakari kwa dhati ofa ya pili ya Arsenal kwa ajili ya Lisandro Martinez. Ofa hiyo ilikuwa pauni milioni 34, kulikuwa na hisia kuwa huenda ilikataliwa lakini Ajax wanaifikiria. Martinez anataka kujiunga na Premier League #afc
 
🚨 First pictures of Gabriel Jesus arriving at London Colney today for his medical. He was greeted by Edu. (@SunArsenal)
 

Attachments

  • IMG_20220628_124321.jpg
    46.7 KB · Views: 17
  • IMG_20220628_124314.jpg
    91 KB · Views: 23
Anachokifanya Man u kwa barca ndicho Arsenal tunakifanya kwa Tieleman

Kuna Mambo ya kifedha inatakiwa kufikia alhamis Barcelona awe ameyaweka sawa ,

Karibu mwez mzima Barca alikuwa anakaza akitaka €85m kwa FDJ, lkn Man u walijua Barca anaihitaji hiyo hela imsaidie , na aondoshe mshahara wa FDJ, so Man u wakakaza mwisho £65m ,wakijua Barca atalegea tu si ana shida .

Now Zimebaki Siku 2 Barca inaonesha ameshalegea ,Awali Barca alijua Man u akitajiwa €85m(£80m) angetoa , lkn Inaonesha Man u wamebadili hata utaratibu wao wa Kunegotiate.

NIJE SWALA LA ARSENAL NA TIELEMAN

Leicester inasemekana wanataka £40-45m kwa mchezaji ambaye amebakiza mwaka mmoja,

Arsenal wameshamalizana nae personal term , na wanapambania Priority Nyingine , Wanajua mwisho wa dirisha , Leicester ataogopa kuja kumpoteza Tieleman bure ,na hapo Tieleman alishagoma kuongeza mkataba,

Hivo kwa presha ya kumpoteza Bure ,itawapasa Leicester amuuze kwa Bei ambayo Arsenal amemthaminisha £20-25m

Hii ilitokea kwenye usajiri wa Aaron Ramsadale , Sheffield walitaka £40m , Arsenal akasubiri haddi dakika za mwisho , mchezaji akaandika Barua ya kuondoka, ikawabid Sheffield washushe Bei had £30m
 
Nyie nanyi mna timu mpa wachezaji mnaowataka kuasajili kutoka championship hawaitaki timu yenu.

We endelea kupiga goti Maguire awe fiti.
 
Bro acha kelele Raphinha anaenda Chelsea
 
Kwa usajil huu wa sasa wapinzani wetu watakunywa sana sparleta bar msimu huu utakaoanza
 
chelsea anaenda kumalizana na raphinha.. ;ni mchezaji mzuri kweli ila sioni umuhimu wake san kwenye kikosi cha arsenal.. kuna mchezaji yuko ajax ;ni mbrazili n yeye anaitwa antony.. uyu kwngu ndio mchezaji wa muhimu sn kama arsenal inatka kusajili winga.
 

Antony mambo mengi, contribution ndogo sana kwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…