hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,400
- 26,952
Kilichoniogopesha Jana ni kuwa Dembele na Sissoko walikuwa na kikao na Barcelona kimsingi hakijaisha vizuri wanategemea kwendelea Leo kuona namna gani wafanye abaki.
Kama anaondoka ujue hii itakuwa proper fee agent Barcelona bado watakuwa hawana Ile 60+ ya kutoa kwa Raphinha,Soler na Lewandoski.
Ndo maana wanapush kuipata 80 kwa united kuhusu De jong ambayo kimsingi 65 inabidi ilipwe as Cash 😂 wapate hela ya kufund deals zao tatu hizo apo... hii ya Soler tyr zinabaki mbili (Raphinha na Lewandoski)
1:So huu mzunguko adi utumie ndo unamleta Raphinha Arsenal.
2: Raphinha kuja Arsenal ni Deco.
3: Raphinha kuja Arsenal ni Arsenal maana Leeds washajitoa wamesubiri Simu tu.
NB: Arsenal Wana meeting na Deco if not today ni kesho na apo tutakuwa na Taarifa nzuri sana au mbaya sana.
Good morning hapa nimewapatia Taarifa kamili ya huu mchongo ulivyo hadi dakika hii.
Kama anaondoka ujue hii itakuwa proper fee agent Barcelona bado watakuwa hawana Ile 60+ ya kutoa kwa Raphinha,Soler na Lewandoski.
Ndo maana wanapush kuipata 80 kwa united kuhusu De jong ambayo kimsingi 65 inabidi ilipwe as Cash 😂 wapate hela ya kufund deals zao tatu hizo apo... hii ya Soler tyr zinabaki mbili (Raphinha na Lewandoski)
1:So huu mzunguko adi utumie ndo unamleta Raphinha Arsenal.
2: Raphinha kuja Arsenal ni Deco.
3: Raphinha kuja Arsenal ni Arsenal maana Leeds washajitoa wamesubiri Simu tu.
NB: Arsenal Wana meeting na Deco if not today ni kesho na apo tutakuwa na Taarifa nzuri sana au mbaya sana.
Good morning hapa nimewapatia Taarifa kamili ya huu mchongo ulivyo hadi dakika hii.