Mh labda kama kuna mechi zilinipita.Yah alikuwa LB ,had anapoke timu kutoka kwa ljumberg bado Saka alikuwa anatumika LB Sana,huku akiwa na assist nyingi , Emery na ljumberg walikuwa wanamjaribujaribu mara chache Kama winger LW, Lakini mwisho wanamrudisha Kama Beki , na timu ya taifa vijana alikuwa anacheza Kama Beki, ,
Arteta yeye ndiye akaanza kumchezesha LCM, LW ,mech na Liverpool ngao ya jamii akamchezesha RW ,Saka akatoa assist kwa auba , kuanzia hapo taratibu akawa anampa nafas Sana RW , the rest is history
Mimi nimemuona Saka akicheza LB kwa Arsenal haizidi mara mbili, nikamuona chini ya Emery akicheza RW tukiwa Europa akascore nje ya box kwa curve.
Baada ya hapo sikuona mechi aliyocheza nje ya RW isipokua alikua anapishana na Pepe na kumbukumbu zangu zinaniambia Arteta kamkuta RW akahisi anahitaji kukomaa na akaona Pepe siyo mzuri sana ndiyo akaletwa Willian.
Pepe na Willian wakaunderperform na Saka akabaki huko.

