Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Muwe mnaacha kuangalia habari za udaku za usajili, eti pepe alitakwaga na PSG na liva akazikataa akafata Arsenal hahaha....... kw uspesho gani?acheni kuzifanya story za vijiwe vya kahawa kuwa official.

Halafu huyo Partey angekua bonge la mchezaji asingetemwa na timu kubwa inayoshiriki UEFA aje kwnye katimu ka michongo km Arsenal. Alikua ni liability ndio mana Atletico wakamfungulia milango.

Nyie Arse88 Embu achen kudanganyana mkimpata mchezaji, juen hakina timu kubwa iliyomtaka. Gossip za mitandaoni zisiwadanganye.
Kwanye groups zenu hapakaliki mnakuja kutupigia kelele huku. Manyumbu nguvu zakubishana kwasasa katika dirisha hili mnazitoa wapi?
 
Muwe mnaacha kuangalia habari za udaku za usajili, eti pepe alitakwaga na PSG na liva akazikataa akafata Arsenal hahaha....... kw uspesho gani?acheni kuzifanya story za vijiwe vya kahawa kuwa official.

Halafu huyo Partey angekua bonge la mchezaji asingetemwa na timu kubwa inayoshiriki UEFA aje kwnye katimu ka michongo km Arsenal. Alikua ni liability ndio mana Atletico wakamfungulia milango.

Nyie Arse88 Embu achen kudanganyana mkimpata mchezaji, juen hakina timu kubwa iliyomtaka. Gossip za mitandaoni zisiwadanganye.
Hebu malizana na daily mail hapo mkuu
Screenshot_2022-06-26-21-45-15-252_com.android.chrome.jpg
 
Raphinha deal. Arsenal have already scheduled a meeting with Leeds next week - Leeds will ask again for £65m fee. 🇧🇷 #AFC

Barcelona still in contact with Deco after personal terms agreed, but no fresh bid yet.

Tottenham and Chelsea, still in talks with agents. Race still open. https://t.co/jyf5ct3R73
 
KWENYE HII RACE YA RAPHINA MPINZANI MKUBWA NI BARCA

cha ajabu mpinzani mwenyewe hana hela , Barca anataka auze FDJ , happy hapo amuondoe Dembele , hapo hapo Bayern wameshasema bila £52m Lewa haondoki, na Barca walishamuahid Lewa atasepa

Wiki ijayo ndio Barca anatakiwa akamilishe Mambo yote , Hayo anatakiwa ayamalize next week

Arsenal wameshapanga kuanzia kesho wanakutana na Leeds wanapeleka ofa ya pili £50m plus 15 add ons ambayo Leeds ataikubali

MSIMAMO WA RAPHINA ,ANAPENDA KWENDA BARCA NI NDOTO YA WABRAZIL WENGI , ila Barca wakishindwa basi ataelekea Arsenal
 
Yaan katka club zote zlizotajwa na Fabrizio zinazomtaka RAPHINA ,Arsenal, Barcelona ,Chelsea ,

Ni arsenal ndio wapo serious nae maana walipeleka bid ya kwanza ikakataliwa hao wengine porojo tu kwa deco😂😂😂😂

Kuanzia kesho Arsenal wanatarajiwa kurudi na ofa ya pili yenye package ya £60-65m ambayo Leeds ataikubali
 
🚨 Arsenal REMAIN the leading contenders to sign Raphinha from Leeds. Reports, @TeleFootball.
 
Arteta inasemekana anataka kwenye Preseason awe na Wachezaji wapya waanze kuzoea ,isiwe Kama msimu uliopita kupoteza mech 3 za awali

Partey na Tierney wapo fit 100%

Anatarajia kuwa na G.jesus, Vieira, Marquinho , Na huenda Raphina Kama usajiri wake utakamilika mapema

Dili mbili huenda zikakamilika mwishon kabisa hasa ya TIELEMAN ambaye personal terms sio issue

Leicester Wana demand £30-35m , Arsenal anajua Tieleman amebakiza mwaka mmoja na amegoma kuongeza mkataba , hivo dakika za mwisho Arsenal atapeleka ofa ya £20m-25m , Leicester itabidi amuuze kwa presha ya kumpoteza bure

TAARIFA zinadai kwasasa Hilo Dili Arsenal ameliweka pending , akitaka akamilishe Dili la Raphina na Lisandro Martinez
 
Muwe mnaacha kuangalia habari za udaku za usajili, eti pepe alitakwaga na PSG na liva akazikataa akafata Arsenal hahaha....... kw uspesho gani?acheni kuzifanya story za vijiwe vya kahawa kuwa official.

Halafu huyo Partey angekua bonge la mchezaji asingetemwa na timu kubwa inayoshiriki UEFA aje kwnye katimu ka michongo km Arsenal. Alikua ni liability ndio mana Atletico wakamfungulia milango.

Nyie Arse88 Embu achen kudanganyana mkimpata mchezaji, juen hakina timu kubwa iliyomtaka. Gossip za mitandaoni zisiwadanganye.
Punguza hasira ueleweshwe mambo, Thomas partey tulitrigger release clause £45m , Atletico Madrid hawakupenda ila mkataba ndio uliwafunga, Partey akaacha UCL akafata Europa, Arsenal is attractive.
 
Gabriel Jesus kwenda Arsenal, Maslahi yote binafsi ya mchezaji yamewafikiwa kupitia Wakala wake Marcelo Pettinati na washirika wake wawili. Gabriel atasaini Mkataba(kandarasi) mpaka mwaka 2027, Ni dili lililokwishakamilika 100% . 🚨⚪️🔴 #AFC

Arsenal tayari walishakubali kulipa £45m ada kwa Man City kama ilivyoripotiwa Ijumaa iliyopita.

🇧🇷 Klabu sita zilifanya mawasiliano na Mawakala wa Gabriel Jesus lakini his kipaumbele (uamuzi) chake ilikuwa ni Arsenal.

☎️ Arsenal watamtangaza Gabriel kama mchezaji watatu kusajiliwa baada ya Matt Turner na Fábio Vieira… si hivyo tu huo hautakuwa usajili wa mwisho wa Arsenal.

Mkurugenzi Edu na Arteta ndio wamefanikisha hili dili.

Jee unaipa Arsenal asilimia ngapi kwa usajili huu? 👀🇧🇷




Source: Fabrizio Romano
 
Gabriel Jesus will fly to England this week in order to undergo medicals and sign the contract valid until June 2027 as new Arsenal player. #AFC

Manchester City will now focus on Raheem Sterling deal after selling Jesus - with Chelsea preparing a new bid.
 
Punguza hasira ueleweshwe mambo, Thomas partey tulitrigger release clause £45m , Atletico Madrid hawakupenda ila mkataba ndio uliwafunga, Partey akaacha UCL akafata Europa, Arsenal is attractive.
"Partey akaacha UCL akafata Europa, Arsenal is attractive"

computerarsenal eti haya maneno ni ya kweli?
Hata G.JESUS yupo attracted zaidi na Arsenal ndio maana anaacha UCL anakuja kwenu kucheza Europa.
 
KWENYE HII RACE YA RAPHINA MPINZANI MKUBWA NI BARCA

cha ajabu mpinzani mwenyewe hana hela , Barca anataka auze FDJ , happy hapo amuondoe Dembele , hapo hapo Bayern wameshasema bila £52m Lewa haondoki, na Barca walishamuahid Lewa atasepa

Wiki ijayo ndio Barca anatakiwa akamilishe Mambo yote , Hayo anatakiwa ayamalize next week

Arsenal wameshapanga kuanzia kesho wanakutana na Leeds wanapeleka ofa ya pili £50m plus 15 add ons ambayo Leeds ataikubali

MSIMAMO WA RAPHINA ,ANAPENDA KWENDA BARCA NI NDOTO YA WABRAZIL WENGI , ila Barca wakishindwa basi ataelekea Arsenal
yaaap raphina anaielewa sana barcelona naona
 
Back
Top Bottom