> Wachezaji wote wanaohusishwa na Arsenal unaona kabisa kuna kitu Mikel Arteta anataka kukifanaya
...Kama Man city watamsajili kalvin Phillips & cucurela, the probability of winning the league next season is so high.
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.Kwa sajili hizi arsenal wanakwenda kuimarika..
Mwenye link ya kundi whatsApp la arsenal family naiomba hiyo link nijiunge kundini.
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news
guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news
PORTO WAMESHATHIBITISHA ,WEWE BADO HUAMINI TU?guys nawakumbusha tu mchezaji aliyetangazwa rasmi ni maquinhos,tusijipe matumaini wala furaha baaadae tukaishia kuomboleza.arsenal ni bingwa wa tetesi na uncomfirmed signing.mchezaji kama hujaona amefanyiwa vipimo na kutangazwa huyo achana nae maana waweza jikuta unaacha kuingia humu.hii timu ni mabingwa wa kunagotiate lakini mwisho rivals huwa wanachukua kiulaini.
relaax subir official breaking news