toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
vip mkuu unaona anaweza kutufaa au ni taarifa?Lukaku anataka kurudi Inter. Katuma mawakili wakajadiliane na Inter.
vip mkuu unaona anaweza kutufaa au ni taarifa?Lukaku anataka kurudi Inter. Katuma mawakili wakajadiliane na Inter.
kuna wakati unahitaji a bull striker jamii ya diego costa,drogba yaani mtu ambaye he is so bullying kwa opponent defenders,na kuna muda unahitaji brain,tactical and agressive defender jamii ya eduado da silver yaani, pia kuna muda unahitaji hunter -striker yaani yeye anaonekana wakati wa tukioili angalau tuitwe timu ya ushindani lazima tupate watu first class katika maeneo yafuatayo
mabeki wawili(kulia na kushoto)
kiungo mkabaji mmoja na kiungo mshambuliaji mmoja ambaye ni driver na transisitive,washambuliaji wawili wanaotofautiana sana aproach zao
Hii ni taarifa na kutoa picha yanayowatokea majiranivip mkuu unaona anaweza kutufaa au ni taarifa?
Akija mtakuja kulalamika hakabi 😁😁😁Ni mzuri.
Ana technic, skills, anakupa forward runs na anascore ila siyo mtamu sana kwenye vision na kukaba
ukinunua bidhaa usipopata kile ulichotarajia utaendelea kuipongeza?Akija mtakuja kulalamika hakabi![]()
Mchezaji anaweza kupendwa na kuna siku mashabiki watamkataa kama siyo yule waliyekua wakimuimba. Fabregas, Van Persie, Cole, Adebayor n.k.Akija mtakuja kulalamika hakabi 😁😁😁
Who next to leave Arse in order to lift CL Trophy?Ashley Cole left Arsenal and won the CL
Thierry Henry left Arsenal and won the CL
Olivier Giroud left Arsenal and won the CL
Serge Gnabry left Arsenal and won the CL
Dani Ceballos left Arsenal and he just won the CL
Eden HazardWho next to leave Arse in order to lift CL Trophy?
Unamuhype mchezaji mwenye miaka 33 hapa.Finally the Perisic deal has already done to start playing EPL for next season 2022/23 in Tottenharm Hotspot stadium.
Bukayo SakaEden Hazard
Housem Aouar anapatikana kwa 12.6M
Huyu tulikomaliwa 60M+
RudigerBukayo Saka
Kama kiwango unamaanisha magoli huyu jamaa hajawahi kupata magoli zaidi ya 8 kwa hivi karibuni yaani siyo mtu wa kuscore nafikiri tulimtaka msimu wa 2019/ 20 na msimu mzima aliumaliza na magoli matatu.Na kiwango chake si kime drop pia
UEFA anayo sio kama hao wa ArsenalRudiger
Huyu hafainimejaribu kufuatilia kwa karibu kupitia vyanzo mbalimbali nikama jesus anaitumia arsenal kupata klabu mpya,pia anaweza kuamua kuja arsenal kama last option baada ya kukosa "A B C" options
And Arsenal made a right call. Yaani sasa hivi Aouar mngesema Edu na Arteta wamekula hela. Angekuwa ni pepe mwengine huyu. Tutulieni watu wafanye kazi zaoHousem Aouar anapatikana kwa 12.6M
Huyu tulikomaliwa 60M+