Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

ila kuna muda unajitahidi kuwa patriotic kwa club yako mpaka unachoka.sioni wala sisikii movement yoyote ya usajili iwe ni tetesi au confirmed news.nikama edu na his allies wameenda likizo.
baada ya muda wachezaji wengi waliobora ambao ni prime na potential watanunuliwa halafu utasikia statement toka ndani ya club kuwa soko halina watu.

matatizo ya kuchelewa kusajili ni makubwa mno kuliko tunavyofikiri mfano
1-kulazimika kununua kilichopo sokoni badala ya unachihitaji
2-panic buys na overprice hasa ikishajulikana mnasajili kwa presha.
3-kuchelewa kutengeneza "kemistri" kati ya wachezaji wapya na waliokuwepo kikosini
4-wachezaji wapya kukosa fitness matchs kwa ajili ya kuwaandaa na msimu mpya
5-kuleta mashaka kwa mchezaji yeyote anayetaka kuja klabuni au anayetamani kuongeza kandarasi mpya kwa kutumia kigezo cha usajili wa klabu.

any way something is wrong though not too wrong
 
Ni mzuri.

Ana technic, skills, anakupa forward runs na anascore ila siyo mtamu sana kwenye vision na kukaba
atatusaidia angalau,maana adhabu ya ufinyu wa kikosi tuliyoipata mwaka huu ni kubwa saana na tutaona madhara yake kwenye usajili
 
Kuna ripoti zinasema Arsenal inamtafuta Jesus na Zinchenko kwa pamoja
nimejaribu kufuatilia kwa karibu kupitia vyanzo mbalimbali nikama jesus anaitumia arsenal kupata klabu mpya,pia anaweza kuamua kuja arsenal kama last option baada ya kukosa "A B C" options
 
nimejaribu kufuatilia kwa karibu kupitia vyanzo mbalimbali nikama jesus anaitumia arsenal kupata klabu mpya,pia anaweza kuamua kuja arsenal kama last option baada ya kukosa "A B C" options
Hiki nimekihisi pia.

Halafu kwanini Arsenal wasifosi kumsaka De Jong? Kile ni kifaa na kama yupo tayari kunegotiate na united sioni kama Arsenal hatuna chance
 
Hiki nimekihisi pia.

Halafu kwanini Arsenal wasifosi kumsaka De Jong? Kile ni kifaa na kama yupo tayari kunegotiate na united sioni kama Arsenal hatuna chance

Edu na Arteta wamelala sana kwenye swala la usajili toka Edu kaja pale Arsenal sijawai kuona kachangamka sana kwenye swala la usajili zaid ya kuviziavizia tu
 
Edu na Arteta wamelala sana kwenye swala la usajili toka Edu kaja pale Arsenal sijawai kuona kachangamka sana kwenye swala la usajili zaid ya kuviziavizia tu
Anakata matumaini sana huyu jamaa.

Ila mimi nalaumu uongozi mzima. Naamini Arsenal ilibidi tuwe na Wenger on board kama director. Na huyu ndiye angeisuka timu na wachezaji wa kuendana na timu.

Na angekua kivutio kwa wachezaji.
 
We need LCM, anaweza kucheza LCM? Why?
Mara nyingi namuona akitokea kulia lakini kwa uwezo wake siwezi kushangaa akiimudu nafasi ya kushoto.

Ana pace kuzidi Xhaka, skills na anascore kuzidi Xhaka also siyo chizi mashuti kama Tielemans na Maddison anapenda kucheza na timu
 
Anakata matumaini sana huyu jamaa.

Ila mimi nalaumu uongozi mzima. Naamini Arsenal ilibidi tuwe na Wenger on board kama director. Na huyu ndiye angeisuka timu na wachezaji wa kuendana na timu.

Na angekua kivutio kwa wachezaji.
Jamaa mnamlaumu bure tu kumbuka swala la usajili sio la kukurupuka alaf kumbuka kwa tim kam Arsenal imekosa ushawish kwa wachezaj kuhamia. huwez ku compete na tim kam Chelsea Liver ManCity otherwise ni ku overprice mchezaj ili umpate la sivyo utaishia kupata wakna Lokonga na Tavarez.
Sio rahis kupat player wa quality ya Juu akakubali kujiunga arsenal kirahis ndoman Saiv arteta anajitahid kujenga Legacy yake ili tim iwe na ushawish kwa Wachezaj.
Mfano kuna ma free Agent world class players saiv Kam Isco ni mchezaj mzur lakn huwez kum convice kuja Arsenal kwasbb tim imekosa mvuto perfomance mbovu kwahy lazm upambane upate Professional Player wa Kuikuza tena club kweny status yake ndipo Tuanze kusajil majina makubwa kam wenzetu.
 
Jamaa mnamlaumu bure tu kumbuka swala la usajili sio la kukurupuka alaf kumbuka kwa tim kam Arsenal imekosa ushawish kwa wachezaj kuhamia. huwez ku compete na tim kam Chelsea Liver ManCity otherwise ni ku overprice mchezaj ili umpate la sivyo utaishia kupata wakna Lokonga na Tavarez.
Sio rahis kupat player wa quality ya Juu akakubali kujiunga arsenal kirahis ndoman Saiv arteta anajitahid kujenga Legacy yake ili tim iwe na ushawish kwa Wachezaj.
Mfano kuna ma free Agent world class players saiv Kam Isco ni mchezaj mzur lakn huwez kum convice kuja Arsenal kwasbb tim imekosa mvuto perfomance mbovu kwahy lazm upambane upate Professional Player wa Kuikuza tena club kweny status yake ndipo Tuanze kusajil majina makubwa kam wenzetu.
Isco hadi anakua free agent game time hakua akipata na nafikiri ana miaka 30 sasa hivi atakua na tofauti gani na Luiz na Willian walioondoka?

Ni kweli timu yetu haina ushawishi? Buendia tumemkosa kaenda villa, Guimaraes tumemkosa kaenda Newcastle na Paqueta anaenda Newcastle.

Edu kwakua aliona timu inavyostruggle alitakiwa awe na diary ina majina pendekezwa ikisubiri dirisha lifunguliwe. Si kuna scouts? Hawajampa option? Timu haikusajili january ikasema itasajili kiangazi muda umefika wamejifungia kama vile sasa ndiyo wanaanza ukaguzi.
 
Au tustick na second best kwa baadhi ya namba

Mfano unamtaka De jong lakini ana ushindani mkubwa so unaopt anayekaribiana naye kama vike Melo.

Kukimbizana na first options ni headache kwa sasa hivi mambo ya Locatelli na Vlahovic yanaweza jirudia unless umuahidi mtu atalelewa kama yai, mshahara kufuru na mabonus mengi mengi. Tabia hii ndiyo ilitupa kikosi kinachokula pesa nyingi ila haiendani na performance
 
Au tustick na second best kwa baadhi ya namba

Mfano unamtaka De jong lakini ana ushindani mkubwa so unaopt anayekaribiana naye kama vike Melo.

Kukimbizana na first options ni headache kwa sasa hivi mambo ya Locatelli na Vlahovic yanaweza jirudia unless umuahidi mtu atalelewa kama yai, mshahara kufuru na mabonus mengi mengi. Tabia hii ndiyo ilitupa kikosi kinachokula pesa nyingi ila haiendani na performance

Kama mkataba wa Mpbape
 
Au tustick na second best kwa baadhi ya namba

Mfano unamtaka De jong lakini ana ushindani mkubwa so unaopt anayekaribiana naye kama vike Melo.

Kukimbizana na first options ni headache kwa sasa hivi mambo ya Locatelli na Vlahovic yanaweza jirudia unless umuahidi mtu atalelewa kama yai, mshahara kufuru na mabonus mengi mengi. Tabia hii ndiyo ilitupa kikosi kinachokula pesa nyingi ila haiendani na performance

Swala la Locatell na Vlahovic linaenda kujirudia kwa Jesus na tielemans
 
Isco hadi anakua free agent game time hakua akipata na nafikiri ana miaka 30 sasa hivi atakua na tofauti gani na Luiz na Willian walioondoka?

Ni kweli timu yetu haina ushawishi? Buendia tumemkosa kaenda villa, Guimaraes tumemkosa kaenda Newcastle na Paqueta anaenda Newcastle.

Edu kwakua aliona timu inavyostruggle alitakiwa awe na diary ina majina pendekezwa ikisubiri dirisha lifunguliwe. Si kuna scouts? Hawajampa option? Timu haikusajili january ikasema itasajili kiangazi muda umefika wamejifungia kama vile sasa ndiyo wanaanza ukaguzi.

Bruno tulimkosa kwa uzembe mkubwa sana labda wanasingizia halikua chaguo la kocha,
 
Lukaku anataka kurudi Inter. Katuma mawakili wakajadiliane na Inter.
 
Back
Top Bottom