At what currency £ au € ?!City imesema bei ya Gabriel ni 55M.
Arsenal inasema hiyo bei haiingii akilini kwa mchezaji aliyebakiza mwaka mmoja.
"Conte angekuja toka mwanzo Spurs ingekuwa mbali sana" bila kujua Nuno kafukuzwa kipindi Spurs na Arsenal tofauti point mbili , so Conte kastrength january Kulusevski & Bentancur + Kane & Son in best X1 ila wanavyomuhype kama kaoverachieve something big.View attachment 2231066
City imesema bei ya Gabriel ni 55M.
Arsenal inasema hiyo bei haiingii akilini kwa mchezaji aliyebakiza mwaka mmoja.
Lukaku, Kepa, Werner say hiNi kweli hiyo 55M ni pesa nyingi sana kwa Arsenal, hiyo pesa Arsenal inasajili wachezaji 7 kwa £7M kila mmoja na chenji inabaki.
Walihofia kumchukua kwasbabu ya Saka Na Pepe wanaez kosa nafasi kabsaHuyu kulisevski niliona tetesi january tuliusishwa nae sana ila sijui wapi tulifeli
Hamna ela nyie takatakaCity wagonjwa kumbe, £55 kabaki na mwaka mmja ingekua £30-40 sawa ila iyo ni pesa ndefu sana
Conte kaja Spurs wakiwa 2pnts behind arsenal, come end of the season yupo 2pnts above arsenal, yaani kapata 4pnts ili kumpita arsenal. Kwako hiyo sio achievement? Kwenye mpira vitu vidogo vina count, ndio maana yeye anaenda CL sisi tupo europa. Hoja ya ku strengthen hiyo kwangu haina mashiko coz we all had the chance to strengthen, sisi hatukuliona hilo tukashupaza shingo, now we're out."Conte angekuja toka mwanzo Spurs ingekuwa mbali sana" bila kujua Nuno kafukuzwa kipindi Spurs na Arsenal tofauti point mbili , so Conte kastrength january Kulusevski & Bentancur + Kane & Son in best X1 ila wanavyomuhype kama kaoverachieve something big.View attachment 2231066
Technically spurs are on the ceiling of their game while Arsenal still kuna room for improvement, tunaposema Spurs wamestrength january mean that wapo at end game quality wise, while Arsenal kuna potential ya kushowcase kwa kuadd more quality.Conte kaja Spurs wakiwa 2pnts behind arsenal, come end of the season yupo 2pnts above arsenal, yaani kapata 4pnts ili kumpita arsenal. Kwako hiyo sio achievement? Kwenye mpira vitu vidogo vina count, ndio maana yeye anaenda CL sisi tupo europa. Hoja ya ku strengthen hiyo kwangu haina mashiko coz we all had the chance to strengthen, sisi hatukuliona hilo tukashupaza shingo, now we're out.
Akili ya nyumbu bwana inavyoreason!Ila sisi Aser8 tulipata muda mwingi wa kujipanga, wakati wenzetu wanacheza michuano mingi UCL, EUROPA, sisi tumepumzika.
Bado tumetolewa CARABAO, FA na TOP 4 iko hati hati kuipata.
Kwa kweli tulistahili kuchukua ubingwa EPL kwa advantage ya kutokuwa kwenye mashindano mengi.
Kocha ametuangusha, wachezaji wametuangusha.

Anasema kulingana na ukubwa wa timuAkili ya nyumbu bwana inavyoreason!
kwa hiyo Norwich,Burnley na timu zingine kwenye bottom table ilibidi wawe juu ya Liverpool & City? Coz walipata muda mwingi wa kupumzika zaidi ya Liverpool & City.
Ukubwa wa timu ni nini?Anasema kulingana na ukubwa wa timu
Arsenal alitakiwa kufanya vizuri
Idiot...Technically spurs are on the ceiling of their game while Arsenal still kuna room for improvement, tunaposema Spurs wamestrength january mean that wapo at end game quality wise, while Arsenal kuna potential ya kushowcase kwa kuadd more quality.
Hoja yangu ni kuwa Spurs' technical level is so high ila kwanini wanacompete top four na Arsenal ya Nketiah, Holding, Elneny, Cedric & Tavarez? The game has moved on and Conte needs to control every facets of play to compete at elite level, so naporeason hivi vitu najaribu kuproject in the long run ila wewe mshamba unaona hapa. Bahati mbaya mpira hujui so sikulaumu.
so conte ni bora kama akipata uefa kwa 2 points gap? na kama arteta akifuzu anakuwa bora kuliko Conte? Idiot.
So factor ya msingi kwenye kufanya vizuri ni ipi? kupumzika au wachezaji wazuri? liweke sawa.Norwich, Burnley hawana wachezaji wazuri kama Arsenal. Wangekuwa na wachezaji wa caliber ya Arsenal wallah wangechukua ubingwa EPL.
Norwich hawana world class players kama pepe, lacazette, holding
Factors zote zilikuwa upande wetu. Ila kocha na wachezaji wametuangusha hawakuvuja jasho lote uwanjani, hawakuonyesha uwezo wao wote uwanjani.
Wachezaji wa caliber ya hali ya juu, ukubwa wa kikosi + kocha mzuri. Arsenal tunavyo vyote compared na Burnley na Norwich.
Wachezaji + kocha hawajatutendea haki ubingwa ulikuwa wa kwetu huu na tuliwafunga wakubwa wenzetu.
Kabisa CHIEF, nasikia tunakamalisha usajili wa Winga miaka 19 kutoka Brazil + Jesus, pepe na lacazette watupishe.
----------------------- Jesus -------------------------
Marquinhos ---- Odegaard ---------- Saka
Kwa hiyo ninyi Arse manjifananisha na Norwich, sikujua hiloAkili ya nyumbu bwana inavyoreason!
kwa hiyo Norwich,Burnley na timu zingine kwenye bottom table ilibidi wawe juu ya Liverpool & City? Coz walipata muda mwingi wa kupumzika zaidi ya Liverpool & City.