toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Binafsi simlaumu arteta kwa mahali alikotuacha bali nampongeza kwa sehemu aliyotufikisha.matarjio makubwa yasipofushe uwepo wa kile kilichofanyika.it hapen for reason or incident
katika maisha nimejifunza potential ya walimu muhimu sana ambao wanahusika na kila eneo katika maisha.walimu hao ni TIME na EXPERIENCE.hawa hawapatikani kwa pesa ila wanakuja kwa uvumilivu.
Arsenal inatofauti kubwa moja na baadhi ya timu nyingine zenye mafanikio tunayoyatamani.arsenal kuna CULTURE ambayo kila kocha,mchezaji au trainer yeyote lazima aifuate.its not only style of our game but its the way we live in our way.

