Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Kwanini sasa musingelimchukua nyie huyo Conte?
 
Nimegundua Football ni kitu kizuri sana kustudy psychology ya watu. The masses are always wrong. Wapo ambao they're driven by results, leo anasema hivi kesho anafanya vile, so nigga huna integrity?
Mkuu hiki umechelewa kukigundua. Majority ya wadau wanaongozwa na results. Timu ikishinda basi watasema hivi na timu ikipoteza wanabadilika kabisa yale wanayoyasema. Ndio siku moja nkagombana sana na huyu computerarsenal kwa sababu hizihizi
 
Mkuu hiki umechelewa kukigundua. Majority ya wadau wanaongozwa na results. Timu ikishinda basi watasema hivi na timu ikipoteza wanabadilika kabisa yale wanayoyasema. Ndio siku moja nkagombana sana na huyu computerarsenal kwa sababu hizihizi
Niambie unachojivunia kwa Arsenal ni nini?Liverpool Manchester City Chelsea waseme nini sasa?
 
Niambie unachojivunia kwa Arsenal ni nini?Liverpool Manchester City Chelsea waseme nini sasa?
Kwahiyo unadhani wale mashabiki wa Blackburn Rovers na Nottingham forest na Newcastle wote hawajui??? This is football!

Sisi ni washabiki wa Coastal Union n tulishinda kombe la Tanzania 1988 ila hutuambii kitu na timu hii na Sisi sio wajinga
 
Kwahiyo unadhani wale mashabiki wa Blackburn Rovers na Nottingham forest na Newcastle wote hawajui??? This is football!

Sisi ni washabiki wa Coastal Union n tulishinda kombe la Tanzania 1988 ila hutuambii kitu na timu hii na Sisi sio wajinga
Mimi na wewe ni fans wa Arsenal but hujantajia big achievements za Arsenal in 15 years taja tuone hizo achievements unazojivunia!I repeat kuwa fan wa timu fulani is not an issue but those teams ulizozitaja for now unaweza ukazilinganisha na Arsenal ambayo ni big team na timu tajiri kwa kizazi cha sasa?kuzilinganisha hizo teams na Arsenal it means umekubali kuwa Arsenal ni smallest team in the world
right?
 
Hahahaha mkuu umewasoma ee ..wakishashinda bas Ni vurugu tupu uku akupoi Yani ni tetesi tu mwanzo, yule Aaron mzee wa matakwimu ndio anakuwaga kiranja mzee ..ngoja wapigwe hivi Sasa ..Basi Uzi wao utageuka Ni sehemu ya matusi, makero (Kama iv tunavyowakera😂😂)
 
We jamaa huwa nakufananisha na fan wa Liverpool anajiita Penison, i'm sorry to say huwa mna umama flani wa kiswahili.
Kama 'ubaba' kwako ndo ule upupu unaotumaga kule kwenye threads za wengine basi inabidi 'ubaba' upate new definition kwakweli.


Uhalisia ni kwamba huna quality ya wachezaji wenye mentality za big games na huna wachezaji quality kwa UEFA. Wachezaji hawajui mechi muhimu wala kufanya mamuzi muhimu kutokana na umuhimu wa mechi, mechi za kushinda wao wanaenda kutafuta red cards or doing childish decisions, na ubaya hizo childish minds zimewaambukiza hadi baadhi ya mashabiki.

Hao kina Nketiah, Soares, Lokonga, Smith Rowe, Holding n.k ni fullset ya kukupeleka Europa na Conference Leagues huko, na huko pia sio kama title contenders bali kutoa ushindani tu.

Wekezeni pesa. Mpe Arteta pesa za usajili maana ushawishi wa big players kuja hapo ni uongo, so angalau pesa iwepo pengine itavuta watu vingine ni marktime tu.
 

Hivyo vitoto ndo vikakutane na kina Benzema na Lewandoski, si saba saba hizo za kutosha.
 

Mkuu mbona kila msimu ateta anapewa mzigo wa maana kwa ajili ya usajili. Msimu huu unaoisha Asernal ndiyo waliongoza kwa kitita cha usajili au mi ndiyo sijui
 
Hawa jamaa wanachukulia soka seriaz sana hukuti majukwaa mengine fans kwa fans wanatukanana matusi mazito ila humu unakuta wanapanic sana nahisi wangekuwa mtaani hata makonde wangerushiana bora Mzee wa takwimu na tetesi anasubiri wkt wa vita kupoa si ajabu anatokea wkt wa Pre season kuendelea na Kazi yake 😂😂😂
 
Huna unachojua, endeleza fani ya kuchambana.
 
Yaani utaishia kupoteza nguvu zako bure kuzielekeza hizi mbuzi.
Hawa jamaa kushiriki Europa na Conference kwao wanaona ni mafanikio makubwa sana ukijumlisha na zile chenga anazopiga Saka wanaona ndio wameshamaliza kila kitu.

Sasa wenyewe wanakwambia msimu huu chini ya the Big Coach Arteta kwao ni wa mafanikio makubwa sana kwa kushika nafasi ya 5 sababu mwaka jana waliishia nafasi ya 8.

Hawa ukitaka wakuelewe we sifia tu chenga za Saka na Martinely pamoja na magoli ya Nketiah.
 
Hio ni kawaida ya mbuzi, wanaweza kipigana mapembe kwa kugombania majani yaliyo juu ya mti ambayo hawawezi hata kuyafikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…