Wameshinda njaa mbuzi hawa.mlishinda?
Huyo Mashaka mwenyewe ndio walewale tu,granit xhaka amezungumza maneno ya kikatili yenye ukweli ndani yake. "Hatukufuata kabisa maelekezo ya mwalimu, hatustahili kucheza hata europa, uwe na miaka 18 au 30 kama hupo tayari kucheza mpira ni bora ukae nyumbani". Hapo kwenye europe nafikiri ameongozwa tu na hasira za kupoteza mchezo muhimu.
Dahhh mamaeeNyie mbuzi mnalala hadi sasa hivi kwa raha gani mliyonayo?
Haya amkeni muanze kutuchambulia maharage.
Jumapili wanapoteza tena nyingine.Arsenal wamepoteza mechi 6 kati ya 11 za mwisho.
Arsenal haina wachezaji ina wacheza porno.Yani timu yenu hii takataka ndo mlitegemea mcheze champions league?
Hiyo game yenu na Everton kwanza ombeeni Everton ashinde game na crystal palace ili wawe na uhakika wa kubaki EPL waki draw au lose na crystal palace tegemeeeni kufungwa au draw ila zaidi mtafungwa.Bado nafasi ipo endapo spurs atapigwa na Norwich Arsenal wanahitaji ushindi wowote ,ikitokea spurs wakapata sare dhidi ya Norwich basi itabidi Arsenal washinde magoli 16 kwa bila dhidi ya Everton
Trust me hizo game zilizobaki Tot anashinda zote 2 na Arsenal anashinda zote.
CL ni yetu hakuna wasi juu ya hilo.
Sijui wao ndjo wangekua Chelsea ya awamu hii wangekua nafasi gani. Kuna mambo yalikua yanafanyika hata watu walishangaa mfano maamuzi baadhi kwenye mechi za Chelsea ukijumlisha na matatizo ya mmiliki wao timu ikapoteza ari ila walisimama hivyo hivyoInawezekana arsenal ndio timu inayoongoza kwa kuonewa na waamuzi
we jamaa umeandika unachokiona na huo ndo uhalisia watu hawatazami ubora wa spurs unaanzia wapi,kiufupi binafsi yangu nikiwatazama makocha wote duniani Conte ndo kocha pekee anaeweza kuibadilisha timu ndani ya kipindi kifupi mno.Chelsea,Inter na hii Spurs zote zimekuwa imara katika msimu wake wa kwanza tu ,inawezekana kupoteza game yao na Norwich lakini ni ngumu mno.Spurs hawezi kupoteza game tena, yupo Conte pale ujuwe. Actually kama conte asingekuja spurs, tusingepata mpinzani wa nafasi ya nne.
πππππ Nu Casto ulipatia mkuu, ngoja ncheke kwanzaPoint tatu muhimu leo. Newcastle 2 Arsenal 5.