ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,527
- 7,923
ACHA UJINGA WEWEEEE...ILE KITAALAMU INAITWA "clear foul" HUNA HAJA YA KUSUMBUA VAR.Kunahaja gani ya kuwa na VAR kama refa hahitaj kuitumia kwenye utata
Refa wa leo gem ilimshinda kabla ya kuianza
SHIDA HATA KINGERA HAMJUI, MSIKILIZE PETER DRURY HAPO AKIIELEZEA..




