NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,246
Yamekuwa hayo tena!?Wachezaji wa uingereza ni mzigo kwenye timu yetu
Yamekuwa hayo tena!?Wachezaji wa uingereza ni mzigo kwenye timu yetu
Odegaard ndio huwa simuelewi, anapiga light balls na kukosa sana magoli akiwa kwenye mazingira mazuri sana kufunga.Wachezaji wa uingereza ni mzigo kwenye timu yetu
Forget itTottenham na arsenal huwa game zao ziko hivi, anayefungwa huwa anafunga vizuri.
Ila arsenal wakitulia bado wanaweza kugeuza matokeo au kupata sare.
























































Mkuu wengine hatujui msimamo wa ligi ukoje, waga tunakutegemea wewe unaeletaga msimamo humu jukwaani, zimepita siku nyingi tunaona kimya Tu, hebu fanya kazi yako au nini shida?
Everton ndio wagumu unless wawe wameshatoka kwenye relegation list.Nawaza tu hapa, tutaweza kumfunga Newcastle kwake? Everton huenda home advantage ikatupa nguvu...we need to win vs Newcastle and Everton to secure #4.
...the game is over today, I don't see us coming back into the game.
Man ile ya kwanza ref hakutoa straight yellow, kulikua na first offence akaonywa kwa mdomo, na kupewa yellow baada ya second offence.Ila kwangu faulo ya kadi ni ile ya kiwiko tu. Ile nyingine haikuwa sahihi.
Itakuwa ana mahaba na man utd,Anafanya makusudi Man utd aishiriki Europa league pekee yakeMwamuzi ana ajenda ya siri aisee. Anawaonea arsenal.
Aliyetuloga kafa hatuwezi kurudi kwenye hii game hapa ni Newcastle following game na then Everton mean top 4 ipo mikononi mwa Arsenal na Arteta plus players wakeNawaza tu hapa, tutaweza kumfunga Newcastle kwake? Everton huenda home advantage ikatupa nguvu...we need to win vs Newcastle and Everton to secure #4.
...the game is over today, I don't see us coming back into the game.











Cha kukusaidia leta msimamo,
halafu wanaomkataa Arteta ni wachache sana, kuanzia nanjilinji had london, ARTETA anakubalika zaid ya 90+% , ndio maana anaimbwa kila mech pale emirates
toka amefika hakuna hata bango la arteta out
aibu yenu mliompigia ramli atafukuzwa, cha ajabu ole na lampard wapo mashimon
Kipindi cha pili Cedric asipoacha upumbavu wake na yeye anakula nyekundu halafu mashabiki wa Arsenyeto ndio watalia na refa vizuri.Haya magoli mawili imewabadilisha Spurs na kuna uwezekano kabisa Arsenal wakapoteana na Kane 3 na Son 2
I still argue that we can come back. We need one quick goal at the beginning of the second half. We also need to capitalize on every chance that we will get.We're in deep shit! Spurs are too strong for us and with a man down it makes matters even worse. Can't see us coming through this.
Arteta katumia akili sana kumrudisha tomiyasu kati na xhaka kushoto kisha Saka katikati. Timu imeanza kutulia tena nadhani hii mechi sio nzr kwa Nketiah hivyo amtoe aingie Lacazette. Lolote linaweza kutokea spurs wanafungikaTottenham na arsenal huwa game zao ziko hivi, anayefungwa huwa anafunga vizuri.
Ila arsenal wakitulia bado wanaweza kugeuza matokeo au kupata sare.
Everton ndio wagumu unless wawe wameshatoka kwenye relegation list.
Leo tunaweza kubadilisha matokeo kwa kupata goli la mapema kipindi cha pili.
Refaa wa katikati ndiye mwamuzi wa mwisho huyo VAR ni assistant tu.Kunahaja gani ya kuwa na VAR kama refa hahitaj kuitumia kwenye utata
Refa wa leo gem ilimshinda kabla ya kuianza
Sisi tunawachezaji wakawaida ila wanaojituma sana kwa kutaka kuionesha dunia kua wanaweza.Odegaard ndio huwa simuelewi, anapiga light balls na kukosa sana magoli akiwa kwenye mazingira mazuri sana kufunga.
Kuna mlevi alikuta Mahali fulani wanazika, akauliza; nini kinaendela hapa!?




