computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Sasa Nketiah anavyoscore namna hii kweli tumruhusu aondoke?then aende kwimgine ashine?amekuwa na hasira kama Jesus opinions zenu wadau
Niliwahi kuandika humu, anahitaji rotation na Jesus kama atakuja.Sasa Nketiah anavyoscore namna hii kweli tumruhusu aondoke?then aende kwimgine ashine?amekuwa na hasira kama Jesus opinions zenu wadau
au tumwache aende akawe star sehemu nyingine. Ya nini kuzibiana opportunities za kumrithi kane national team? Sisi tuchukue wengineNketiah labda abak Kama chaguo la 3
Lete matokeo nyumbu..Leed united wana jambo lao leo saa kumi alasiri.
Leeds United hawana jukwaa humu ila leo tutawawakilisha humuhumu kwenye sebule yenu.
Bado Arsenal Target zake Ni strikers wawiliau tumwache aende akawe star sehemu nyingine. Ya nini kuzibiana opportunities za kumrithi kane national team? Sisi tuchukue wengine
Dogo anaweza kuwa first akiongeza bidii.Nketiah labda abak Kama chaguo la 3
Naona abaki tu tubadili mawazo ya kumuuzaNiliwahi kuandika humu, anahitaji rotation na Jesus kama atakuja.
Napinga hili ,Dogo anaweza kuwa first akiongeza bidii.
Saka Hata kufunga msimu huu kajitahidi,alikuwa poor sana, ila Kila msimu ana improve,Saka ball striking yake kuna shida mahali, Arteta amfundishe hiki kitu, goli alilokosa saka, mahrez aliwafunga Madrid.
Shida tumeanza kucheza kwa kutembea uwanjani. Naumia team ina redcard bado inaingia golini kwetuKuna dalili za mvua ya magoli hapa
Saka ball striking yake kuna shida mahali, Arteta amfundishe hiki kitu, goli alilokosa saka, mahrez aliwafunga Madrid.