Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gabriel Magalhães has now scored four Premier League goals this season, no centre-back has scored more. [@Squawka]
 
Liverpool anaenda kutusaidia , ninewaangalia totenham , wanachokifanya Ni counter tu, kumiliki mpira sio wazuri sana

Leeds ndan ya Emirates tumpige, Liverpool atusaidie tupae kwa point 5 Zaid

Fixtures ya Chelsea ,Kuna game had 2 anaweza kuvutwa shat
Watu tunampigia hesabu lembu
 
Yea siku hizi wana mpira fulani ambapo wakiupata mpira unashangaa timu nzima inatembea kuja mbele.

Viungo wao haswa Winks wamekua wanapiga sana through balls za chini na juu yaani hawana muda na possession
Conte huyo baba
 
Mikel Arteta says Takehiro Tomiyasu seems ok after going off injured against West Ham.
 
Everton haijashinda kupitia wachezaji pekee kuna michango ya mashabiki.

Usiku wa jana mashabiki wa everton walienda kupiga baruti usiku kucha hotel waliyofikia wachezaji wa chelsea.

Na leo wakati wa mechi ameonekana shabiki mmoja akiuficha mpira wakati wa injury time.
Undava undava
 
Everton haijashinda kupitia wachezaji pekee kuna michango ya mashabiki.

Usiku wa jana mashabiki wa everton walienda kupiga baruti usiku kucha hotel waliyofikia wachezaji wa chelsea.

Na leo wakati wa mechi ameonekana shabiki mmoja akiuficha mpira wakati wa injury time.
Jamaa wamepambana sana

Kama tutakuwa tumefuzu UCL ,mech ya mwisho Arteta awapangie kina Charlie , Omary Hutchison, Leno
 
Kweli mkuu. Zimeniuma sana zile
Ukifatilia na kuchunguza vzr utagundua Mech hizo 3 na zile za Kwanza ligi inaanza ,Kuna factors zimesababisha hizo

Moja kuchelewa kufanya usajiri

Mbili ufinyu wa kikos

Hizo mech Ni ponts 18 , imagine tungevuna point. .12-15

Tulikuwa kwenye race ya ubingwa

Hizo factors 2 zikifanyiwa kaz tuta step up hapa tulipo

Kuumia kwa Partey na Kieran ,ikaharibu mipango na kupoteana mech 3 ,

Tungekuwa na kikos kipana anaumia Partey na Kieran ,unaweka watu wenye Quality kama yao tungekuwa mbali zaidi

Hizo factors ndizo zinamfanya leo Liverpool na man city wapiganie ubingwa
 
Ukifatilia na kuchunguza vzr utagundua Mech hizo 3 na zile za Kwanza ligi inaanza ,Kuna factors zimesababisha hizo

Moja kuchelewa kufanya usajiri

Mbili ufinyu wa kikos

Hizo mech Ni ponts 18 , imagine tungevuna point. .12-15

Tulikuwa kwenye race ya ubingwa

Hizo factors 2 zikifanyiwa kaz tuta step up hapa tulipo

Kuumia kwa Partey na Kieran ,ikaharibu mipango na kupoteana mech 3 ,

Tungekuwa na kikos kipana anaumia Partey na Kieran ,unaweka watu wenye Quality kama yao tungekuwa mbali zaidi

Hizo factors ndizo zinamfanya leo Liverpool na man city wapiganie ubingwa
Hapana! Tunazungumzia palace, Brighton na Southampton za juzi tu hapa
 
Ukifatilia na kuchunguza vzr utagundua Mech hizo 3 na zile za Kwanza ligi inaanza ,Kuna factors zimesababisha hizo

Moja kuchelewa kufanya usajiri

Mbili ufinyu wa kikos

Hizo mech Ni ponts 18 , imagine tungevuna point. .12-15

Tulikuwa kwenye race ya ubingwa

Hizo factors 2 zikifanyiwa kaz tuta step up hapa tulipo

Kuumia kwa Partey na Kieran ,ikaharibu mipango na kupoteana mech 3 ,

Tungekuwa na kikos kipana anaumia Partey na Kieran ,unaweka watu wenye Quality kama yao tungekuwa mbali zaidi

Hizo factors ndizo zinamfanya leo Liverpool na man city wapiganie ubingwa
Nimekuelewa now
 
Mimi binafsi nina imani kwamba vyovyote ntakavyojifanya naijua timu basi sitomshinda kocha. Anajua nani yupo katika hali gani na nani hayupo sawa.

Yes sometimes makocha huzengua but nimeridhika kwa Arteta is decent.

Ndio maana sikurupuki na kuanza kusema sijui timu haitoshinda au top four hatupati au sijui kashfa kwa players. Gunners sote tufurahieni ushindi 😁😁
 
Hapana! Tunazungumzia palace, Brighton na Southampton za juzi tu hapa
Yah nazungumzia hizo na zile za awali ligi inaanza jumla points 18,

Hiz za juzi Kuumia kwa Partey na Kieran kuliharibu mipango kabisa, Partey kaumia toka half time dhid ya palace
 
Sio kazi imewashinda, Tottenham wameshasema ni bora washuke daraja lakini sio kuikosa top4 ya msimu huu.
Son leo ametuma salamu kwa AsaniAli waachane na ndoto za mchana Uefa ina wenyewe.
Pole sana .
 
Nyumbu tulishajiondoa wenyewe tayari hatutaki tuhesabiwe wala kuhusishwa na lolote kwenye top4.
Ila nyie masikini kuingia top4 labda kwa kutegemea Chelsea apoteze mechi zake zote zilizobakia, ila kumchomoa Tottenham hilo msahau kabisa.
Mtaenda nae Europa.
 
Back
Top Bottom