Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 37,920
- 75,769
Sasa Bowen ni nani? Tulivyowapiga mbili bila huyu Mbowe alikua wapi? Na kuna member hapa ambaye yeye alikua anamhofia Rice.halafu nyinyi ndio hamkufi sio?
Nina salamu zenu toka kwa Bowen.
Yaani shabiki wa Arsenal anamhofia Rice wewe mvimba macho wa pembeni unamhofia Mbowe
