Mi sina cha kukusaidia.Nyumbu na AsaniAli akili zao sawa tu, wote ni wa matopeni.
Top4 mpaka dakika hii tayari imeshakaa nafasi yake, usitegemee mabadiliko yoyote kuanzia sasa.
Huu ndio msimamo mpaka mwisho wa ligi. View attachment 2207572
Tukizingatia performance Arsenal anaweza kuingia top 4 mara nne zaidi ya nyumbu na spurs
