Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu na AsaniAli akili zao sawa tu, wote ni wa matopeni.
Top4 mpaka dakika hii tayari imeshakaa nafasi yake, usitegemee mabadiliko yoyote kuanzia sasa.
Huu ndio msimamo mpaka mwisho wa ligi. View attachment 2207572
Mi sina cha kukusaidia.

Tukizingatia performance Arsenal anaweza kuingia top 4 mara nne zaidi ya nyumbu na spurs
 
halafu nyinyi ndio hamkufi sio?
Nina salamu zenu toka kwa Bowen.
Sasa Bowen ni nani? Tulivyowapiga mbili bila huyu Mbowe alikua wapi? Na kuna member hapa ambaye yeye alikua anamhofia Rice.

Yaani shabiki wa Arsenal anamhofia Rice wewe mvimba macho wa pembeni unamhofia Mbowe
 
Kukosa striker ni miyeyusho sana.

Yule Iheanacho hamna kitu kwa timu inayotaka matokeo
 
Sasa Bowen ni nani? Tulivyowapiga mbili bila huyu Mbowe alikua wapi? Na kuna member hapa ambaye yeye alikua anamhofia Rice.

Yaani shabiki wa Arsenal anamhofia Rice wewe mvimba macho wa pembeni unamhofia Mbowe
Tukutane London Stadium 06:30pm
Uzuri wenyewe hata computerarsenal anajua kabisa mechi ya leo lazima mchezee na top 4 tayari kila miamba imeshakaa sehemu yake.
 
Hawa westham mbona kama wametupangia full squad.......Hawaitaki fainali ya Europa league
 
🚨 Ben White misses out on today's matchday squad with a tight hamstring
 
Mpira anaoupiga Leeds dhidi ya City, naogopa kusema kama tutaweza kupata point tukicheza nao.

City anapigiwa pressing mpaka haelewi anabutua butua tu. Wachezaji wa Leeds ni kama cherehani vile walivyochangamka.

Sitoshangaa City akisuluhu au akipoteza hii mechi japo anaongoza.
Duh
 
Hawa westham mbona kama wametupangia full squad.......Hawaitaki fainali ya Europa league
Westham nimeshawaambia leo wanaunga mkono juhudi za Tottenham.
Son leo anajipigia magoli tu huko, kabla ya mechi alisema leo anatuma salamu kwa AsaniAli wakae kwa kutulia tena wawe wapole.
 
At the London Stadium - The team news is in.

Tomiyasu, Holding and Martinelli all come in for Arsenal. Ben White is not involved due to a tight hamstring.

Arsenal: Ramsdale; Tomiyasu, Holding, Gabriel, Tavares; Elneny, Xhaka, Odegaard; Saka, Martinelli; Nketiah.

Subs: Leno, Cedric, Kirk, Swanson, Lokonga, Oulad M'hand, Smith Rowe, Pepe, Lacazette.
 
Leicester kazi imewashinda
Sio kazi imewashinda, Tottenham wameshasema ni bora washuke daraja lakini sio kuikosa top4 ya msimu huu.
Son leo ametuma salamu kwa AsaniAli waachane na ndoto za mchana Uefa ina wenyewe.
 
At the London Stadium - The team news is in.

Tomiyasu, Holding and Martinelli all come in for Arsenal. Ben White is not involved due to a tight hamstring.

Arsenal: Ramsdale; Tomiyasu, Holding, Gabriel, Tavares; Elneny, Xhaka, Odegaard; Saka, Martinelli; Nketiah.

Subs: Leno, Cedric, Kirk, Swanson, Lokonga, Oulad M'hand, Smith Rowe, Pepe, Lacazette.
Kwa hiyo sasa hivi Lacca ndio basi tena!!
 
Back
Top Bottom