Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Sure, bila silly mistakes za kudispossess mipira kijinga tungekuwa 1-0 up at HT.Huyu Tavares anaigharimu timu sana anafanya makosa mengi sana kuanzia game ya chelsea,man utd na game ya leo ya west ham sijui kwanini arteta anampanga hata kama tierney majeruhi angetafuta mchezaji yyte acheze,sioni dalili ya kutoboa top 4 makosa ni mengi sana


