Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu Tavares anaigharimu timu sana anafanya makosa mengi sana kuanzia game ya chelsea,man utd na game ya leo ya west ham sijui kwanini arteta anampanga hata kama tierney majeruhi angetafuta mchezaji yyte acheze,sioni dalili ya kutoboa top 4 makosa ni mengi sana
Sure, bila silly mistakes za kudispossess mipira kijinga tungekuwa 1-0 up at HT.
 
Hebu tutolee ujinga wako hapa

Nyie kilichobaki mvae top lakini sio mjihesabie kua mtaingia top4.
Nilikwambia tokea mwanzo Bowen sio mtu wa kumchukulia poa, wewe ukajifanya kumletea dharau ona sasa anavyowafanya.
 
computerarsenal upo wapi ndugu yangu?
Njoo uwachambulie mpira hawa chawa wa Arteta, wewe kila unapojitahidi kuwaonyesha madhaifu ya timu pamoja na kocha wao hua wanajifanya kuziba masikio.
 
Nketiah inabidi afundishwe ball striking, mipira anayokosa ingekuwa Smith Rowe lazima akufunge.
 
Elneny ajifunze kuattack opposition box, atakuwa mid mchafu aina ya Ikay Guendogan.
 
Vijana wamechoka sana, from Chelsea, United then West ham, wakipata hata draw safi tu. Dhidi ya Leeds tutashinda, North london derby tutapata sare
 
Kocha anafanya jitihada kuwaondolea wachezaji attitude kama hii yako. So far anafanikiwa
Wewe sio unaongea tu uonekane kila muda uko sahihi.

Ukiacha magoli tuliyopata kwa corner, kulikuwa na mpango gani mwengine wa ushindi zaidi ya kuzuia?
 
Back
Top Bottom