Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kweli ndugu, ulisema Bora tucheze vby ,kwasasa muhimu 3 points

Confirmed: Arsenal have qualified for the Europa league next season.
Ukicheza kibrazamen na timu kama Westham anakushut moja, anapiga low block na counter za hapa na pale.

Ilikua vizuri sana tulivyoanza kuscore.

Halafu bado hatujafungwa goli la kona msimu huu
 
We are doing fine.

Leicester kazi kaishindwa.

Leeds akiishindwa basi haina budi kuivaa kazi ya kumdhibiti Spurs.
Liverpool anaenda kutusaidia , ninewaangalia totenham , wanachokifanya Ni counter tu, kumiliki mpira sio wazuri sana

Leeds ndan ya Emirates tumpige, Liverpool atusaidie tupae kwa point 5 Zaid

Fixtures ya Chelsea ,Kuna game had 2 anaweza kuvutwa shat
 
Liverpool anaenda kutusaidia , ninewaangalia totenham , wanachokifanya Ni counter tu, kumiliki mpira sio wazuri sana

Leeds ndan ya Emirates tumpige, Liverpool atusaidie tupae kwa point 5 Zaid

Fixtures ya Chelsea ,Kuna game had 2 anaweza kuvutwa shat
Yea siku hizi wana mpira fulani ambapo wakiupata mpira unashangaa timu nzima inatembea kuja mbele.

Viungo wao haswa Winks wamekua wanapiga sana through balls za chini na juu yaani hawana muda na possession
 
We nyumbu umemuona Mbowe na umeiona Arsenal?
sio siri tokea mzunguko wa pili wa ligi ulivyoanza mnajitahidi sana kucheza vizuri na timu kubwa za ligi.
Mkiendelea na mwendo huuhuu mpaka mechi ya mwisho ndio mtajihakikishia kucheza Uefa, ila mkizingua hata mechi moja tu katika hizo 4 zilizobaki mtakuja kuungana na nyumbu kwenye Futuhi za jumatano na alhamisi.
 
sio siri tokea mzunguko wa pili wa ligi ulivyoanza mnajitahidi sana kucheza vizuri na timu kubwa za ligi.
Mkiendelea na mwendo huuhuu mpaka mechi ya mwisho ndio mtajihakikishia kucheza Uefa, ila mkizingua hata mechi moja tu katika hizo 4 zilizobaki mtakuja kuungana na nyumbu kwenye Futuhi za jumatano na alhamisi.
Acha shobo kama ulijua tunacheza vizuri stori za mbowe ulikua unazileta za nini?
 
Wewe sio unaongea tu uonekane kila muda uko sahihi.

Ukiacha magoli tuliyopata kwa corner, kulikuwa na mpango gani mwengine wa ushindi zaidi ya kuzuia?
Kikubwa point tatu, kuwe na mipango au hakuna mpango, kuzuia ni sehemu ya mpira pia
 
sio siri tokea mzunguko wa pili wa ligi ulivyoanza mnajitahidi sana kucheza vizuri na timu kubwa za ligi.
Mkiendelea na mwendo huuhuu mpaka mechi ya mwisho ndio mtajihakikishia kucheza Uefa, ila mkizingua hata mechi moja tu katika hizo 4 zilizobaki mtakuja kuungana na nyumbu kwenye Futuhi za jumatano na alhamisi.
Nyie nyumbu tunawaachia vita yenu na West Ham mpambanie nafasi ya 6 na ya 7😁
 
Kikosi hichi ni average mno.

Benchi ndiyo less than average lakini mtu unamtishia nyumbu unampiga na unampiga kweli, unamtisha Flano Westham haponi na haponi kweli.
tatizo lenu ndio hilo mkibahatishaga mnakua na mdomo sana.
Ila sio mbaya sisi tutaendelea kuwatia presha presha hivyohivyo mpaka kitaeleweka.
Ila sio siri msimu huu pamoja na kuwa na kikosi cha kawaida ila mnajitahidi sana kumaintain ushindi katika mechi za mwisho mwisho.
Arsenal nilioizoea mimi hua inaanzaga ligi vizuri sana ila inakuja kuharibu mwishoni, safari hii mmeenda vice versa mmeanza hovyohovyo ila mwishoni mnajitahidi kukomaa kiume kwelikweli.
Yote kwa yote hongereni kwa ushindi wa leo na muendelee hivyohivyo kwenye mechi zilizosalia.
 
Everton haijashinda kupitia wachezaji pekee kuna michango ya mashabiki.

Usiku wa jana mashabiki wa everton walienda kupiga baruti usiku kucha hotel waliyofikia wachezaji wa chelsea.

Na leo wakati wa mechi ameonekana shabiki mmoja akiuficha mpira wakati wa injury time.
 
Huyu Tavares anaigharimu timu sana anafanya makosa mengi sana kuanzia game ya chelsea,man utd na game ya leo ya west ham sijui kwanini arteta anampanga hata kama tierney majeruhi angetafuta mchezaji yyte acheze,sioni dalili ya kutoboa top 4 makosa ni mengi sana
Wewe huoni dalili. Fumbua macho hayo mkuu
 
Points tulizozifkia leo haziwezi kufikiwa na Westham hii inamaanisha kimahesabu Arsenal tayari ana tiketi ya Europa. Lakini kwa kua target siyo Europa ngoja tuone itakavyokua.
 
Back
Top Bottom