Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,721
Liverpool anaenda kutusaidia , ninewaangalia totenham , wanachokifanya Ni counter tu, kumiliki mpira sio wazuri sanaWe are doing fine.
Leicester kazi kaishindwa.
Leeds akiishindwa basi haina budi kuivaa kazi ya kumdhibiti Spurs.
Leeds ndan ya Emirates tumpige, Liverpool atusaidie tupae kwa point 5 Zaid
Fixtures ya Chelsea ,Kuna game had 2 anaweza kuvutwa shat



