Ukicheza kibrazamen na timu kama Westham anakushut moja, anapiga low block na counter za hapa na pale.Kweli ndugu, ulisema Bora tucheze vby ,kwasasa muhimu 3 points
Confirmed: Arsenal have qualified for the Europa league next season.
Ilikua vizuri sana tulivyoanza kuscore.
Halafu bado hatujafungwa goli la kona msimu huu



