Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Nyumbu tulishajiondoa wenyewe tayari hatutaki tuhesabiwe wala kuhusishwa na lolote kwenye top4.Nyumbu usiwahesabie mkuu. Wao wenyewe hawajui hata kama hiyo nafasi ya 6 wataipata
Ila nyie masikini kuingia top4 labda kwa kutegemea Chelsea apoteze mechi zake zote zilizobakia, ila kumchomoa Tottenham hilo msahau kabisa.
