Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyumbu usiwahesabie mkuu. Wao wenyewe hawajui hata kama hiyo nafasi ya 6 wataipata
Nyumbu tulishajiondoa wenyewe tayari hatutaki tuhesabiwe wala kuhusishwa na lolote kwenye top4.
Ila nyie masikini kuingia top4 labda kwa kutegemea Chelsea apoteze mechi zake zote zilizobakia, ila kumchomoa Tottenham hilo msahau kabisa.
 
Naona watu wa darajani wamesimamishwa na Everton, mbio ya tatu na nne bado mbichi.
 
Screenshot_20220501-155950_Goal News.jpg



Huyu alishapoteaga zmani ni hiyo basi tu.
 
Mpira anaoupiga Leeds dhidi ya City, naogopa kusema kama tutaweza kupata point tukicheza nao.

City anapigiwa pressing mpaka haelewi anabutua butua tu. Wachezaji wa Leeds ni kama cherehani vile walivyochangamka.

Sitoshangaa City akisuluhu au akipoteza hii mechi japo anaongoza.
Cheki huyu kilaza
 
Tukitaka kupaki basi Holding is there.

We needed a goal. Holding delivers
 
Huyu Tavares anaigharimu timu sana anafanya makosa mengi sana kuanzia game ya chelsea,man utd na game ya leo ya west ham sijui kwanini arteta anampanga hata kama tierney majeruhi angetafuta mchezaji yyte acheze,sioni dalili ya kutoboa top 4 makosa ni mengi sana
 
Hatupo Secured kabisa na inapelekea tunashindwa kucontrol game, ni makosa yanayofanywa na Simba na Yanga sio Arsenal. Ø, Nketiah, Tavares kuna kitu wanatunyima kwa kukosa technical security. Wengine wote nawapa high five.
 
Sasa Bowen ni nani? Tulivyowapiga mbili bila huyu Mbowe alikua wapi? Na kuna member hapa ambaye yeye alikua anamhofia Rice.

Yaani shabiki wa Arsenal anamhofia Rice wewe mvimba macho wa pembeni unamhofia Mbowe
Bowen amewaambia AsaniAli Bong'oweni na wenyewe mmebong'oa kweli amewatia kimoja.
Kipindi cha pili mtabong'oa tena halafu Bowen anatia kingine, Rice na Lanzini kila mmoja nae pia ana goli lake.
 
Back
Top Bottom