computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Kwani tulivyomfunga Spurs hakuwa timu kubwa ?sio Big 6?Si ni wewe ulikuwa unakataa kwamba arsenal si lolote kwa kuwa hajapata matokeo kwa timu kubwa au umesahau mpaka uletewe arguments zako tena?
Katika big teams zote nikilose vs Manchester United naonaga aibu kubwa sana tomorrow Arsenal lazima ashinde vs Manchester United maana hata my wife ni Manchester united hakuna fan yoyote wa Arsenal alijua tutawin vs Chelsea that's why hata wewe huamini matokeo hayo unaona maajabu na kila saa kuuliza maswali ya ajabu tu
akija Owner mwingine ataanza na team nzima upya kabisa Arteta ni kocha wa kufundisha Everton Southampton Crystal Palace but If Arsenal inataka kuachieve mambo mengi ni lazima team ipate kocha mwenye EXPERIENCE anayejua michuano ya ulaya ipoje anayejua kumanage Big and stars players ili apate mafanikio (Arteta yote hayo hana) nimeongea sana haya but yanajirudia na yanaonekana Arsenal ingekuwa na kocha mwenye EXPERIENCE leo angekua top 3 for example ameicost sana Arsenal hasa kwenye squad selection yote hyo hajui ampange nani na kwa wakati gani(kwa akili yako timamu Lokonga na Elneny nani anafaa aanze?)yapo mengi sana ya kuprove uwezo wake bado bado kujiunga 2020 sio kuwa sijui football
️ nimechoka kuongea ongea kuhusu Arsenal ya sasa but kiukweli team yetu bado bado mfano kwa sasa narudia hakuna players ambao wanajitambua watakuja kuwa chini ya Arteta na mfano Mkubwa ni Dusan alitukataa mchana kweupe akaenda Juventus (licha pia sio Big player mkubwa kihivyo)but Arsenal akaikataa so Arsenal progress yake ya kuja kuwa Big team ni kuanza upya kwa kuanzia na owner mwenyewe ambaye anakula faida kwetu then achievements 0 tukutane May 22 nimechoka kuongea frequently kuhusiana na Arteta na Arsenal nzima
league unaweza ukalinganisha mafanikio yao?ok for exampe ndogo Klopp amefika Champions
tena unasema Pochettino alikuwa na uzoefu kuliko Klopp bro are u gentle?Pochettino achievement yake kubwa kwenye UCL ni 2019 huo uzoefu kautoa wapi?