Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Si ni wewe ulikuwa unakataa kwamba arsenal si lolote kwa kuwa hajapata matokeo kwa timu kubwa au umesahau mpaka uletewe arguments zako tena?
Kwani tulivyomfunga Spurs hakuwa timu kubwa ?sio Big 6?

Katika big teams zote nikilose vs Manchester United naonaga aibu kubwa sana tomorrow Arsenal lazima ashinde vs Manchester United maana hata my wife ni Manchester united hakuna fan yoyote wa Arsenal alijua tutawin vs Chelsea that's why hata wewe huamini matokeo hayo unaona maajabu na kila saa kuuliza maswali ya ajabu tu
 
We need to trust every players in upcoming squad no matters what is going to happen.
its time to support,motivate and being trustfuly from right now bcz we hv remained with six competion &taugh games and we need each game to take as final so as to reach our target of finishing top 4 for next UCL.
 
Sikiliza we dogo hizo timu ulizotaja zipo serious na Football na hata recruitment team yake ipo serious inawezekana kukawa na makosa madogo madogo but sio kama Arsenal ambayo pia ni one among the best famous team in the world akija Owner mwingine ataanza na team nzima upya kabisa Arteta ni kocha wa kufundisha Everton Southampton Crystal Palace but If Arsenal inataka kuachieve mambo mengi ni lazima team ipate kocha mwenye EXPERIENCE anayejua michuano ya ulaya ipoje anayejua kumanage Big and stars players ili apate mafanikio (Arteta yote hayo hana) nimeongea sana haya but yanajirudia na yanaonekana Arsenal ingekuwa na kocha mwenye EXPERIENCE leo angekua top 3 for example ameicost sana Arsenal hasa kwenye squad selection yote hyo hajui ampange nani na kwa wakati gani(kwa akili yako timamu Lokonga na Elneny nani anafaa aanze?)yapo mengi sana ya kuprove uwezo wake bado bado kujiunga 2020 sio kuwa sijui football ️ nimechoka kuongea ongea kuhusu Arsenal ya sasa but kiukweli team yetu bado bado mfano kwa sasa narudia hakuna players ambao wanajitambua watakuja kuwa chini ya Arteta na mfano Mkubwa ni Dusan alitukataa mchana kweupe akaenda Juventus (licha pia sio Big player mkubwa kihivyo)but Arsenal akaikataa so Arsenal progress yake ya kuja kuwa Big team ni kuanza upya kwa kuanzia na owner mwenyewe ambaye anakula faida kwetu then achievements 0 tukutane May 22 nimechoka kuongea frequently kuhusiana na Arteta na Arsenal nzima

Arsenal this season hakuwa na any European competition but angalia results zinazopatikanika hazisomeki kabisa na now on tunaelekea kuikosa top 4 position

Yani unanita Dogo lakini waulize wanaonijua King Ngwaba hapa JF watakwambia wakati Nafunga Ndoa kwa mara ya kwanza Nina uhakika Babayako ndiyo kwanza yupo Sekondari huko anamwagilia Bustani.

TURUDI KWENYE MADA:

1) Pep Guardiola aliposhinda Makombe Barcelona ya Ndani na Yale ya Ulaya alikuwa na Uzoefu wa Miaka mingapi?

2) Mauricio Pochetino alikuwa na Uzoefu Mkubwa zaidi kwenye EPL na CL kuliko Klopp lakini kwanini hakuwahi kushinda hayo Makombe badala yake Klopp kashinda yeye?

3) Kwanini Pochetino aliyeshindwa kupata Kombe lolote akiwa Spurs anafanikiwa kushinda akiwa na PSG?


Nijibu hayo Maswali 3 bila ya kuzunguka ili tujue kama Uzoefu/Experience ina nafasi kwenye Mpira au ni Qualities ya Wachezaji ndiyo yenye nafasi kwenye mbinu za mwalimu na mafanikio.
 
Uko too arrogant mkuu, unaujua mpira ulicheza hadi level gani mzee? Tunasema Arsenal ana poor record against top teams, wewe unayejua mpira endelea kutoa arguments zako "zenye mashiko"
Rudia kusoma, nimeandika watu wanasema Arteta hashindi big matches, so nauliza hizo mbili alizoshinda ni ndogo?, shida yenu mihemko mingi mnajudge vitu kwa matokeo bila kuangalia uhalisia.
 
Yani unanita Dogo lakini waulize wanaonijua King Ngwaba hapa JF watakwambia wakati Nafunga Ndoa kwa mara ya kwanza Nina uhakika Babayako ndiyo kwanza yupo Sekondari huko anamwagilia Bustani.

TURUDI KWENYE MADA:

1) Pep Guardiola aliposhinda Makombe Barcelona ya Ndani na Yale ya Ulaya alikuwa na Uzoefu wa Miaka mingapi?

2) Mauricio Pochetino alikuwa na Uzoefu Mkubwa zaidi kwenye EPL na CL kuliko Klopp lakini kwanini hakuwahi kushinda hayo Makombe badala yake Klopp kashinda yeye?

3) Kwanini Pochetino aliyeshindwa kupata Kombe lolote akiwa Spurs anafanikiwa kushinda akiwa na PSG?


Nijibu hayo Maswali 3 bila ya kuzunguka ili tujue kama Uzoefu/Experience ina nafasi kwenye Mpira au ni Qualities ya Wachezaji ndiyo yenye nafasi kwenye mbinu za mwalimu na mafanikio.
Wewe ni box I repeat ni bichwa box

1)Pep Guardiola alikuwa coach wa Barcelona B na achievements zake unazijua?ok nenda Google utaona I don't want to waste my time kukuonyesha achievements zake

2)Wewe ni bichwa box Klopp na Pochettino kwenye Champions league unaweza ukalinganisha mafanikio yao?ok for exampe ndogo Klopp amefika Champions league na wachezaji wengi wa bure na Academy tofauti na Pochettino ambaye wengi wao walikuwa wamenunuliwa kwa paund za kutosha bro are you out of your mind?tena na nusu na robo fainali za kutosha na cheap players tena unasema Pochettino alikuwa na uzoefu kuliko Klopp bro are u gentle?Pochettino achievement yake kubwa kwenye UCL ni 2019 huo uzoefu kautoa wapi?

3)Pochettino ana mafanikio gani PSG?sijajua achievements zake sababu hata kombe la ligi hana sasa ana achievements gani?tena PSG ana Messi Mbappe na Neymar so hata akibeba ligi kwenye ligi dhaifu haishangazi

Bro wewe ni bichwa box I repeat umeijua Liverpool 2018 wewe ndio maana unaandika shit kama hizi bro Fuc***
 
computerarsenal ni bora atuachie timu yetu kuliko yeye anavyotaka Arteta aondoke kwenye timu

Huyu Dogo ni kirusi
Unaajiita Insigne wakati timu yako Napoli tulia dogo sisi ndio Arsenal damu unajiskiaje Arsenal hana EPL trophy for more than 18 years?unajskiaje Arsenal hana Champions league tangia ianze 1956?unafikiri Arteta anaweza beba hayo makombe?seriously?labda unaota kakojoe ulale
 
Kutofautiana maoni ni kawaida ingawa wote tunataka mafanikio ya timu yetu pendwa. Mimi na computerarsenal tunafanana sana maoni ingawa mimi labda niko optimistic zaidi. Ukiona anakosa imani na kocha ni kwa sababu kocha kampa sababu ya kukosa imani. Mfano arteta hajaweza kumaliza juu ya emery alipoacha. Ukiacha timu kubwa, tumepigwa sana na timu ndogo pia. Tukumbuke pia tulitolewa fa cup na kitoto cha chekechea kabisa. Kwenye mbinu mimi namuona bado yuko nyuma ingawa wapo wanaomuelewa kuliko mimi. Kwenye man management naona bado yuko nyuma ila hayo ni maoni yangu tu. Mwisho wa siku always namtakia mafanikio maana ni kocha wa timu yangu na mimi nataka timu yangu ishinde.

Kwa kumtetea sasa...
Matatizo yetu naamini ni zaidi ya kocha. Pep alisema kocha wa top level hana muda wa kuimprove wachezaji hivyo anahitaji complete player ama mwenye juhudi binafsi kuimprove kupitia extra sessions na kocha etc. Je board inampa wachezaji anaohitaji? Je uongozi umeweza kufanya biashara vema na kuingiza hela ili wachezaji wazuri waletwe? Lately tunatumia pesa nyingi kununua wachezaji wa kawaida na sio top. Baadae tunashindwa kuwauza kwa faida au wanaondoka bure. Raul sanlehi kmmk na ufisadi wake. System ilikuwa mbovu na bado mbovu.

Commercial partnerships zetu zina tija kweli? Sijui visit rwanda sijui vikampuni vya bia na kahawa vina tija kwa level tunazotaka kufika? Wanaohusika idara hiyo wanamanufaa kweli? Manutd bonge la brand bado licha ya madhaifu uwanjani. Kwa nini sisi hatujakua kama brand zaidi? Someone is responsible for that. Are they doing their job?

Academy je vipi? Mbona hawatoi top class talent kuja kuingia 1st team? Kwani hawajui standards za world class players? Saka, esr, nketiah. Ukiacha unaedhani anastahili kucheza arsenal je watapata number liverpool ama chelsea. Iwobi anafanya nini everton na willock anafanya nini newcastle.? Gnabry angalau but alisepa muda na alienda bonge la timu. So academy imeproduce nini cha maana lately?

Haya mambo yanacompound na yanaaffect mambo uwanjani.

So arteta pamoja na mapungufu yake, makosa yake yanakuzwa na vitu vingine kibao tusivyoviona. Computerarsenal amefika hatua ya kusema kroenke ndo shida. Hajakosea. Pessimism yake inamfanya aonekane kama anatamani arteta ashindwe atambe ila sidhani kama ni hivyo. Mkimsoma kwa utulivu na open mind naamini mtaona jamaa ana hoja.
 
Kutofautiana maoni ni kawaida ingawa wote tunataka mafanikio ya timu yetu pendwa. Mimi na computerarsenal tunafanana sana maoni ingawa mimi labda niko optimistic zaidi. Ukiona anakosa imani na kocha ni kwa sababu kocha kampa sababu ya kukosa imani. Mfano arteta hajaweza kumaliza juu ya emery alipoacha. Ukiacha timu kubwa, tumepigwa sana na timu ndogo pia. Tukumbuke pia tulitolewa fa cup na kitoto cha chekechea kabisa. Kwenye mbinu mimi namuona bado yuko nyuma ingawa wapo wanaomuelewa kuliko mimi. Kwenye man management naona bado yuko nyuma ila hayo ni maoni yangu tu. Mwisho wa siku always namtakia mafanikio maana ni kocha wa timu yangu na mimi nataka timu yangu ishinde.

Kwa kumtetea sasa...
Matatizo yetu naamini ni zaidi ya kocha. Pep alisema kocha wa top level hana muda wa kuimprove wachezaji hivyo anahitaji complete player ama mwenye juhudi binafsi kuimprove kupitia extra sessions na kocha etc. Je board inampa wachezaji anaohitaji? Je uongozi umeweza kufanya biashara vema na kuingiza hela ili wachezaji wazuri waletwe? Lately tunatumia pesa nyingi kununua wachezaji wa kawaida na sio top. Baadae tunashindwa kuwauza kwa faida au wanaondoka bure. Raul sanlehi kmmk na ufisadi wake. System ilikuwa mbovu na bado mbovu.

Commercial partnerships zetu zina tija kweli? Sijui visit rwanda sijui vikampuni vya bia na kahawa vina tija kwa level tunazotaka kufika? Wanaohusika idara hiyo wanamanufaa kweli? Manutd bonge la brand bado licha ya madhaifu uwanjani. Kwa nini sisi hatujakua kama brand zaidi? Someone is responsible for that. Are they doing their job?

Academy je vipi? Mbona hawatoi top class talent kuja kuingia 1st team? Kwani hawajui standards za world class players? Saka, esr, nketiah. Ukiacha unaedhani anastahili kucheza arsenal je watapata number liverpool ama chelsea. Iwobi anafanya nini everton na willock anafanya nini newcastle.? Gnabry angalau but alisepa muda na alienda bonge la timu. So academy imeproduce nini cha maana lately?

Haya mambo yanacompound na yanaaffect mambo uwanjani.

So arteta pamoja na mapungufu yake, makosa yake yanakuzwa na vitu vingine kibao tusivyoviona. Computerarsenal amefika hatua ya kusema kroenke ndo shida. Hajakosea. Pessimism yake inamfanya aonekane kama anatamani arteta ashindwe atambe ila sidhani kama ni hivyo. Mkimsoma kwa utulivu na open mind naamini mtaona jamaa ana hoja.
@HENRY14 bro we are in the same ideas kabisa labda tunaweza tofautiana machache tu but tujiulize Arsenal hii ambayo for more than 18 years haina EPL na Champions league for more than 66 years tangia ianze seriously Arteta anaweza akayabeba kwa players gani?players wote ambao ni wakubwa hawawezi kushawishiwa na Arteta wakaja Arsenal never ever sisi Arsenal die hard fans tunaongea yote haya sababu we love our team na pressure zote ni sababu ya KROENKE huyu ni virus hatari sana sana
 
Kutofautiana maoni ni kawaida ingawa wote tunataka mafanikio ya timu yetu pendwa. Mimi na computerarsenal tunafanana sana maoni ingawa mimi labda niko optimistic zaidi. Ukiona anakosa imani na kocha ni kwa sababu kocha kampa sababu ya kukosa imani. Mfano arteta hajaweza kumaliza juu ya emery alipoacha. Ukiacha timu kubwa, tumepigwa sana na timu ndogo pia. Tukumbuke pia tulitolewa fa cup na kitoto cha chekechea kabisa. Kwenye mbinu mimi namuona bado yuko nyuma ingawa wapo wanaomuelewa kuliko mimi. Kwenye man management naona bado yuko nyuma ila hayo ni maoni yangu tu. Mwisho wa siku always namtakia mafanikio maana ni kocha wa timu yangu na mimi nataka timu yangu ishinde.

Kwa kumtetea sasa...
Matatizo yetu naamini ni zaidi ya kocha. Pep alisema kocha wa top level hana muda wa kuimprove wachezaji hivyo anahitaji complete player ama mwenye juhudi binafsi kuimprove kupitia extra sessions na kocha etc. Je board inampa wachezaji anaohitaji? Je uongozi umeweza kufanya biashara vema na kuingiza hela ili wachezaji wazuri waletwe? Lately tunatumia pesa nyingi kununua wachezaji wa kawaida na sio top. Baadae tunashindwa kuwauza kwa faida au wanaondoka bure. Raul sanlehi kmmk na ufisadi wake. System ilikuwa mbovu na bado mbovu.

Commercial partnerships zetu zina tija kweli? Sijui visit rwanda sijui vikampuni vya bia na kahawa vina tija kwa level tunazotaka kufika? Wanaohusika idara hiyo wanamanufaa kweli? Manutd bonge la brand bado licha ya madhaifu uwanjani. Kwa nini sisi hatujakua kama brand zaidi? Someone is responsible for that. Are they doing their job?

Academy je vipi? Mbona hawatoi top class talent kuja kuingia 1st team? Kwani hawajui standards za world class players? Saka, esr, nketiah. Ukiacha unaedhani anastahili kucheza arsenal je watapata number liverpool ama chelsea. Iwobi anafanya nini everton na willock anafanya nini newcastle.? Gnabry angalau but alisepa muda na alienda bonge la timu. So academy imeproduce nini cha maana lately?

Haya mambo yanacompound na yanaaffect mambo uwanjani.

So arteta pamoja na mapungufu yake, makosa yake yanakuzwa na vitu vingine kibao tusivyoviona. Computerarsenal amefika hatua ya kusema kroenke ndo shida. Hajakosea. Pessimism yake inamfanya aonekane kama anatamani arteta ashindwe atambe ila sidhani kama ni hivyo. Mkimsoma kwa utulivu na open mind naamini mtaona jamaa ana hoja.
Akili kubwa sana Bro unajua what is football ️ congratulations huyo Will Jr daily anaongelea what is the fuckin process anayoiongelea daily?process process imagine Arteta this season hakuwa na any European competition ila team bado inayumba Fuc***,imagine West Ham bado anasumbua EPL kwenye top 4 position na yupo Semi final Europa ila Arsenal top 4 haeleweki na hayupo kwenye competition yoyote that's ridiculous
 
Rudia kusoma, nimeandika watu wanasema Arteta hashindi big matches, so nauliza hizo mbili alizoshinda ni ndogo?, shida yenu mihemko mingi mnajudge vitu kwa matokeo bila kuangalia uhalisia.
Kwa hiyo 2/8, 1/4, 25% ni matokeo mazuri kwako. Basi it's okay mkuu
 
Arsenal vs Man United
Muda saa 8:30mchana.
Kwenye kufukuzia ndoto yako Kuna kitu kinaitwa"invisible effect spam" huu Ni ule muda ambao utakuwa hauwezi kuona kwa waziwazi matokeo ya kile unachokifanya.. ingawa huwa haimaanishi kuwa hakuna kinachoendelea.
Ukweli Ni kwamba hatakama kwa nnje huoni kinachoendelea chini ya udongo jua kuwa mbegu huwa inaendelea kukuwa na kutoiona inavyokuwa haimaanishi kuwa haikui .
Bado sisi washabiki hatujalijua hili. Tujue kabisa kuwa tuko kwenye kipindi Cha mpito. Tuko kwenye kuiotesha mbegu ardhini.. hakuna mtu au timu yoyote itakayotuelewa kwa Sasa .. wakati utafika wote tutakubali na tutajionea matunda ya hichi kinachoendelea...
Arsenal tuna kikosi kizuri. Tuna wachezaji chpkizi na mwalimu kijana . Tuko katika nafasi ya tano tukilingana point na Spurs tofauti ikiwa Ni magoli tu.. mechi hii kwetu Ni mechi muhimu Sana . Kuifunga man United kwangu Ni furaha isiyo na mfano. Naiona Arsenal ikipata matokeo mazuri na mabao ya kutosha.
Tusife moyo. Tuwe na matumaini. Wakati mzuri unakuja . .
ARSENAL TOGETHER
May be an image of 2 people and text that says 'Arsenal MANCHESTER adidas Emirates FLY BETTER UNITED adidas TeamViewe iee Team Arsenal AFC'
 
Granit Xhaka: “We are there now again. We have six final games and the next one is Manchester United on Saturday,”

“We have to show the same character, the same spirit. We want to take the three points, we want to keep it [going] at home."


“The last three games were very disappointing for us, with zero points after three games. It is not what we wanted, but what we wanted was to show a reaction today and I think, over 90 minutes, we deserved to win the game today."
“It was a great team performance, tactically amazing, and it was a big three points for us."
“When we had the ball we were good and created good chances to score maybe one or two more, but in the end we take the three points like this."


[Simon Collings]
May be an image of 1 person

 
Taarifa mbaya
🤔

Kesho Harry maguire
Hatokuwepo
😢
😢
😢
 
According to the news coming out of #Arsenal today, we are in the market for at least THREE new players this summer. The Gunners want to sign new players in central midfield, two forwards as well as new full-backs. Stan Kroenke will back Arteta with SIGNIFICANT funds
 
Arsenal vs Man United
Muda saa 8:30mchana.
Kwenye kufukuzia ndoto yako Kuna kitu kinaitwa"invisible effect spam" huu Ni ule muda ambao utakuwa hauwezi kuona kwa waziwazi matokeo ya kile unachokifanya.. ingawa huwa haimaanishi kuwa hakuna kinachoendelea.
Ukweli Ni kwamba hatakama kwa nnje huoni kinachoendelea chini ya udongo jua kuwa mbegu huwa inaendelea kukuwa na kutoiona inavyokuwa haimaanishi kuwa haikui .
Bado sisi washabiki hatujalijua hili. Tujue kabisa kuwa tuko kwenye kipindi Cha mpito. Tuko kwenye kuiotesha mbegu ardhini.. hakuna mtu au timu yoyote itakayotuelewa kwa Sasa .. wakati utafika wote tutakubali na tutajionea matunda ya hichi kinachoendelea...
Arsenal tuna kikosi kizuri. Tuna wachezaji chpkizi na mwalimu kijana . Tuko katika nafasi ya tano tukilingana point na Spurs tofauti ikiwa Ni magoli tu.. mechi hii kwetu Ni mechi muhimu Sana . Kuifunga man United kwangu Ni furaha isiyo na mfano. Naiona Arsenal ikipata matokeo mazuri na mabao ya kutosha.
Tusife moyo. Tuwe na matumaini. Wakati mzuri unakuja . .
ARSENAL TOGETHER
May be an image of 2 people and text that says 'Arsenal MANCHESTER adidas Emirates FLY BETTER UNITED adidas TeamViewe iee Team Arsenal AFC''Arsenal MANCHESTER adidas Emirates FLY BETTER UNITED adidas TeamViewe iee Team Arsenal AFC'
Licha ya timu yetu ya Arsenal haisomeki tomorrow game vs Manchester United points 3 ni must kufungwa na Manchester United ni aibu tulipata aibu ya kwanza but for tomorrow we must win no draw at all weekend itakuwa tamu sana
 
Back
Top Bottom