Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezaji kufanikiwa hilo ni suala jingine, wapo wachezaji wengi toka south america wameshindwa kutamba ligi kubwa ulaya.
Sizungumzii kuhusu kushindwa mkuu, Nazungumzia kuhusu Passion ya upambanaji, physical strength, clinical finishing, shooting ability na kila kitu kuhusu package nzima ya striking force ya mchezaji kutoka south America

Ukitaka nitakupa list ya south American strikers
 
Sizungumzii kuhusu kushindwa mkuu, Nazungumzia kuhusu Passion ya upambanaji, physical strength, clinical finishing, shooting ability na kila kitu kuhusu package nzima ya striking force ya mchezaji kutoka south America

Ukitaka nitakupa list ya south American strikers
Nadhani hujanielewa au unataka kulazimisha iwe, mchezaji anaweza kuwa na vyote hivyo na badosehemu fulani akashindwa. Unamkumbuka Diego forlan, kipi alikosa katika hivyo, full package, kisha ikawaje!!?

Usishangae messi ile ile premier ikampa tabu. Siku zote usajilini kamali, EL TIGRE na ule moto wake woote aliouwasha atletico madrid ila ligi ya pale ikamshinda nae alikuwa ni full packge. Sanchez katoka ligi moja (ndani ya ligi 1 Sanchez wawili) arsenal to man u nae akawa mashuzi.. Huyu ni simple definition ya wachezaji wa amerika Kusini, ni ana kila kitu
 
Asilimia kubwa south America wapo vzur asee
Nakubaliana nawe.. Kuna tofauti ndogo mnoo katiya wamarekani kusini na kwetu afrika, wenzetu development iko vema, ila kwetu, changamoto, ila kwa vipaji tunachuana ama huenda tumewazidi kidogo.
 
Nadhani hujanielewa au unataka kulazimisha iwe, mchezaji anaweza kuwa na vyote hivyo na badosehemu fulani akashindwa. Unamkumbuka Diego forlan, kipi alikosa katika hivyo, full package, kisha ikawaje!!?

Usishangae messi ile ile premier ikampa tabu. Siku zote usajilini kamali, EL TIGRE na ule moto wake woote aliouwasha atletico madrid ila ligi ya pale ikamshinda nae alikuwa ni full packge. Sanchez katoka ligi moja (ndani ya ligi 1 Sanchez wawili) arsenal to man u nae akawa mashuzi.. Huyu ni simple definition ya wachezaji wa amerika Kusini, ni ana kila kitu

Nadhani hujanielewa au unataka kulazimisha iwe, mchezaji anaweza kuwa na vyote hivyo na badosehemu fulani akashindwa. Unamkumbuka Diego forlan, kipi alikosa katika hivyo, full package, kisha ikawaje!!?

Usishangae messi ile ile premier ikampa tabu. Siku zote usajilini kamali, EL TIGRE na ule moto wake woote aliouwasha atletico madrid ila ligi ya pale ikamshinda nae alikuwa ni full packge. Sanchez katoka ligi moja (ndani ya ligi 1 Sanchez wawili) arsenal to man u nae akawa mashuzi.. Huyu ni simple definition ya wachezaji wa amerika Kusini, ni ana kila kitu
Unazungumza kuhusu Diego Forlan-ametoka kwao huko amekuja Manchester united ktk Game 63 alifunga goals takribani 20,baada ya hapo ameenda pale Villareal games 106 alifunga kamba takribani 54,akaenda atletico Madrid mechi takribani 150 alifunga goals 74,huo ndo ukawa msimu wa 2011/2012 anamalizia soka na magoli kwenye mguu wake akiwa tayari ame approach miaka 30 akaenda intermillan na timu nyingine za Japan na India akiwa tayar ashachoka

Alexis Sanchez kwa sasa kachoka mkuu na umri tayari umeenda akiwa na miaka 34.wakati anatoka kwao huko alienda Udinise ktk game takribani 90 aliweka goal takribani 30,akaenda Argentina akafunga sana na ndio akanunuliwa Barcelona ktk mechi takribani 80 na aliweka kamba zisizopungua 40 baada ya hapo akaenda arsenal Game kama 126 aliweka kamba takribani 60 na ushee, baada ya hapa akawa tayari ame approach miaka 30 na kwa umri huo mchezaji hawezi tena kudeliver kitu cha maana uwanjani

Mwisho unamzungumzia Leonel Messi La Pulga ktk umri was miaka 36 unategemea aje Uingereza akupe kila kitu alichokuwa anafanya akiwa na Miaka 20,haupo serious Bro........ Hata leo akirudi Barca hawez kuendelea kufanya magic and wonders katika soka.
 
Nyie Arsenal ni watu wa hovyo sana, mwisho wa siku mtaanza kulinganisha Mendy na Lecazate nani ana magoli na assist nyingi.
Arteta ni Wenger wa kispanyola. Msitegemee makubwa kutoka kwake.
Hapana shaka mpira wa EPL umeanza kuufutilia mwaka huu
 
Hii mashine bila majeruhi hii
FB_IMG_16482169610282629.jpg


Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Aliou Cissé hana uwezo wa kuichezesha Senegal namna hii tena against Egypt, kinachombeba vijana wana good tactical education kutoka Club zao ulaya.
Mkuu unamaanisha wachezaji wanatumia individual skills kuliko tactics za mwl!?
 
Hana ubavu wa kuongea nae swala la mkataba!
nafikiri hujaelewa vizur,uliza nani alimshawishi pepe kuja arsenal.mbali na fedha,brand,legacy ya klabu,mashabiki na kocha,moja kati ya vitu muhimu wachezaji hutamani kuvijua kwenye klabu mpya wanayoelekea ni dressing room atmosphere.wakishapata uhakika wa hiyo kitu mchezaji huwa anajisikia amani zaidi.ukitaka kujua hili muulize sanchez na ozil kwanini walichagua kuja arsenal at their prime time.
sisemi odegard atafanya kitu kumshawishi jamaa,its 90% unlikely but remember the power of espionage in every angle
 
nafikiri hujaelewa vizur,uliza nani alimshawishi pepe kuja arsenal.mbali na fedha,brand,legacy ya klabu,mashabiki na kocha,moja kati ya vitu muhimu wachezaji hutamani kuvijua kwenye klabu mpya wanayoelekea ni dressing room atmosphere.wakishapata uhakika wa hiyo kitu mchezaji huwa anajisikia amani zaidi.ukitaka kujua hili muulize sanchez na ozil kwanini walichagua kuja arsenal at their prime time.
sisemi odegard atafanya kitu kumshawishi jamaa,its 90% unlikely but remember the power of espionage in every angle
Halaand kujoin Arsenal!!
 
Back
Top Bottom