Martin is greater than Kai na most AM ukihesabia mechi 10 zilizopitaNimeikuta sehemu, huu mjadala una mantiki kwel au ndo kila ng'ombe uvutia kwakeView attachment 2162670
Martin is greater than Kai na most AM ukihesabia mechi 10 zilizopitaNimeikuta sehemu, huu mjadala una mantiki kwel au ndo kila ng'ombe uvutia kwakeView attachment 2162670
Hatuwezi kusajili mchezaji aina ya Mitrovic, mimi nili-suggest huyo kwasababu mnamtaka Toney, in my opinion siyo mchezaji level za Arsenal. Toney ame-spend karibia miaka 7 kwenye lower divisions ukitoa misimu miwili ya PL hana experience kwenye mashindano makubwa kama UCL au UEL. Mitrovic ni option nzuri kushinda Toney kwasababu timu yenu hai-spend sana na mnatarajia kurudi kwenye mashindano makubwa. Mitrovic ni a proven striker, Championship kule anawaonea tu akija EPL namba zake zina-drop kwasababu anapanda na timu ambayo haipo vizuri kucheza EPL, kacheza UCL, UEL, World Cup, EURO Q, World Cup Q, Pro League na kote amefanya vizuri. Kacheza Pro League moja ya ligi yenye ushindani kushinda hizo Ligue One na Ligue Two alizocheza Toney kwa miaka mingi.Nyinyi pia hamna striker. Chukueni huyo atawafaa
Kwahiyo United mnataka watu wa kazi kweli kweli ndiyo mkamnunua Ighalo?Hatuwezi kusajili mchezaji aina ya Mitrovic, mimi nili-suggest huyo kwasababu mnamtaka Toney, in my opinion siyo mchezaji level za Arsenal. Toney ame-spend karibia miaka 7 kwenye lower divisions ukitoa misimu miwili ya PL hana experience kwenye mashindano makubwa kama UCL au UEL. Mitrovic ni option nzuri kushinda Toney kwasababu timu yenu hai-spend sana na mnatarajia kurudi kwenye mashindano makubwa. Mitrovic ni a proven striker, Championship kule anawaonea tu akija EPL namba zake zina-drop kwasababu anapanda na timu ambayo haipo vizuri kucheza EPL, kacheza UCL, UEL, World Cup, EURO Q, World Cup Q, Pro League na kote amefanya vizuri. Kacheza Pro League moja ya ligi yenye ushindani kushinda hizo Ligue One na Ligue Two alizocheza Toney kwa miaka mingi.
Kwa jinsi hampendi ku-spend pesa nyingi mkiona vipi nendeni hata National League au North West Counties kabisa mkachukue cheap options. United ukiongelea striker tunataka watu wa kazikazi huwezi kusikia tunaongelea mchezaji kama Toney na hiyo ndiyo inaonyesha levels Arsenal iliyopo kwa sasa. Huwezi kuwa na mawazo ya kuwa na striker kama Toney ukashinde UCL.
Kuna mtu alianzisha mada ya kusema tumchukue Tammy Abraham nikasema kuliko kuspend hiyo pesa ni bora hiyo game time agewe Balogun.Oya hivi unajua Balogun ana sifa zote za Striker tunayemtaka, nimemfatilia anawasha sana huko Championship.
United wana historia na south americans wachekiUkitaka striker dunia hii wa kukupa full Package ya striking force..... Go and visit South America na utapata unachokitafuta
Darwin Nunez-Uruguay International playing for Benfica in Portugal ni moja kati ya Target za timu kubwa barani Ulaya kwa sasa na ana released clause ya €75Mil. Pia Edu yupo kwenye radar za kumshusha Emirates next season
Hakuna striker kutoka South America aliyekuja Ulaya na akawa abiria au Mzigo Uwanjani na utaelewa kwann Pep ameenda kuchukua sign ya striker wa river plate na kumuacha kwa mkopo kule na ataungana na timu next season
Take your homework and watch Darwin Nunez
A great transfer if we get it done. He’s done incredible at Benfica who are in the Quarter Final of the Champions League. Hopefully not another Vlahovic situation.Ukitaka striker dunia hii wa kukupa full Package ya striking force..... Go and visit South America na utapata unachokitafuta
Darwin Nunez-Uruguay International playing for Benfica in Portugal ni moja kati ya Target za timu kubwa barani Ulaya kwa sasa na ana released clause ya €75Mil. Pia Edu yupo kwenye radar za kumshusha Emirates next season
Hakuna striker kutoka South America aliyekuja Ulaya na akawa abiria au Mzigo Uwanjani na utaelewa kwann Pep ameenda kuchukua sign ya striker wa river plate na kumuacha kwa mkopo kule na ataungana na timu next season
Take your homework and watch Darwin Nunez
Javier Hernandez "Chicharito"United wana historia na south americans wacheki
Nyie Arsenal ni watu wa hovyo sana, mwisho wa siku mtaanza kulinganisha Mendy na Lecazate nani ana magoli na assist nyingi.Nimeikuta sehemu, huu mjadala una mantiki kwel au ndo kila ng'ombe uvutia kwakeView attachment 2162670
Havertz ni AM na Martin ni AM kuna shida gani wakifananishwaNyie Arsenal ni watu wa hovyo sana, mwisho wa siku mtaanza kulinganisha Mendy na Lecazate nani ana magoli na assist nyingi.
Arteta ni Wenger wa kispanyola. Msitegemee makubwa kutoka kwake.
LENO ?Arsenal is set to chop 12 players at the end of this season
1. Guendouzi
2. AMN
3. Torreira
4. Mavorpotous
5. Leno
6. Nketiah
7. Berrelin
8.Runarsson
9.
Mchezaji kufanikiwa hilo ni suala jingine, wapo wachezaji wengi toka south america wameshindwa kutamba ligi kubwa ulaya.Ukitaka striker dunia hii wa kukupa full Package ya striking force..... Go and visit South America na utapata unachokitafuta
Darwin Nunez-Uruguay International playing for Benfica in Portugal ni moja kati ya Target za timu kubwa barani Ulaya kwa sasa na ana released clause ya €75Mil. Pia Edu yupo kwenye radar za kumshusha Emirates next season
Hakuna striker kutoka South America aliyekuja Ulaya na akawa abiria au Mzigo Uwanjani na utaelewa kwann Pep ameenda kuchukua sign ya striker wa river plate na kumuacha kwa mkopo kule na ataungana na timu next season
Take your homework and watch Darwin Nunez