Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nafikiri hujaelewa vizur,uliza nani alimshawishi pepe kuja arsenal.mbali na fedha,brand,legacy ya klabu,mashabiki na kocha,moja kati ya vitu muhimu wachezaji hutamani kuvijua kwenye klabu mpya wanayoelekea ni dressing room atmosphere.wakishapata uhakika wa hiyo kitu mchezaji huwa anajisikia amani zaidi.ukitaka kujua hili muulize sanchez na ozil kwanini walichagua kuja arsenal at their prime time.
sisemi odegard atafanya kitu kumshawishi jamaa,its 90% unlikely but remember the power of espionage in every angle
Nakumbuka Sanchez baada ya kuihama Man Utd na kutimkia Inter Milan akaongea maneno haya kwenye media:
20220327_134037.png


"After the first training session I realised many things, I came home and asked my family and my manager if I could not break the contract and return to Arsenal, something did not fit me, but I had already signed," Sanchez said.

"Months passed and I kept feeling the same. We were not united as a team at that time."

Na tatizo kubwa zaidi lilikuwa ni dressing room atmosphere, ilikuwa mbovu tangu kipindi hicho cha Jose Mourinho mpaka leo na ndio moja ya sababu hata performance ya Man Utd ikawa mbovu tangu aondoke Sir Alex.
 
1648379734164.png

'I'M IN THE PRIME OF MY LIFE' -ARTETA​


It's fitting that the youngest squad in the Premier League this season also has the youngest manager. Mikel Arteta was 37 when he took over in December 2019, and since then he's overseen a large-scale transformation of the squad, while helping to reshape and unite the club off the pitch.

Inasemekana jamaa anajitahidi sana na ameleta mafanikio makubwa.
 
Muhuni kaitwa National team watu kama hamuoni vile View attachment 2165911
huyu muhuni kuna disaster kubwa ataileta pale klabuni,kwanza ni natural destroyer.atatengeneza second pair kule nyuma.mimi napenda alivyo brutal.namwona coscienly mwingine.tunahitaji beki mwenye roho mbaya kwelikweli yaani hata forwad akiwaza kukutana timu yetu anajiuliza kama atatoka salama.beki anakuchezea rafu alafu anakukoromea
 
nafikiri hujaelewa vizur,uliza nani alimshawishi pepe kuja arsenal.mbali na fedha,brand,legacy ya klabu,mashabiki na kocha,moja kati ya vitu muhimu wachezaji hutamani kuvijua kwenye klabu mpya wanayoelekea ni dressing room atmosphere.wakishapata uhakika wa hiyo kitu mchezaji huwa anajisikia amani zaidi.ukitaka kujua hili muulize sanchez na ozil kwanini walichagua kuja arsenal at their prime time.
sisemi odegard atafanya kitu kumshawishi jamaa,its 90% unlikely but remember the power of espionage in every angle

Even the club is not interested in him
 
Huyo Darwin anahitaji 30M, baba yake 30M, Mino 40M release clause 65M.

Mnaamini atatokea mitaa ya Emirates?

Mwingine ambaye hawezi kuja ni Haaland. Naona online mashabiki wanasema Haaland kasema havutiwi na pesa anavutiwa kwanza na project na morali ya dressing room kisha mengine yanafuata.

Ila hata kama ni hivyo unadhani kuna kuja Arsenal?

Kitu poa tulichofanya ni tumekata sana wage bill sasa hivi wage bill inasoma 85M kwa mwaka but hii pengine ni kwavile hatuna kikosi, mwakani hii itapanda.
 
Hivi Madrid waliwaza nini kumwachia Odegaard, nahisi walipotea maboya!
 
1648490398013.png


Partey impressing​

Arsenal midfielder Thomas Partey has the third best dribble success rate in Europe's top 5 leagues this season (with over 40 dribbles attempted).

The Ghana international has begun to find his feet in the Premier League after a difficult debut campaign.

source: football.london
 
Back
Top Bottom