Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,465
- 14,608
Miaka 9 iliyopita tarehe kama ya leo
ha haaaaaaaaaaaaaaaaa yamekua ayoAuba as senior Player and Team captain kwa utovu wake wa nidhamu alikuwa anawafundisha nini kina Saka, Martinelli, Smith Rowe, Ordegard.
Arteta alifanya hivi pia kwa Mesut Ozil, Matheo Guendouzi...... Hakuna mchezaji mkubwa kwa timu yeyote...... Timu yetu ilikuwepo kabla kuzaliwa Auba na itaendelea kuwepo baada yeye kufariki
Kama ww unampenda sana Auba unaweza kuhama nae kwenda Barcelona
Mishahara haitoshi na mishahara huongezeka kutokana na kusign new contracts na performance yako mkuu. Hao akina saka, martinelli, na smith Rowe bado wako kwenye first contract zao. Tegemea kupanda pindi watakapopewa mikataba mipya,Ni ngumu kama tunahitaji world class players. ManCity De-bruyne anapata pound 350,000 kwa wiki, Raheem Sterling 300,000 Grealish 287,827. Manchester United, Ronaldo analamba pound 510,000 kwa wiki, De Gea 375,000 Sancho 350,000. Chelsea Lukaku anakula 325,000 Kante 290,000 Timo 272,000. Aresenal Thomas Partey 220,000 Lacazette 180,000 Odegaard 120,000 Spurs Kane 200,000, Son 140,000 PEH 101,900. Liverpool VVD 220,000,Thiago 200,000 Salah 200,000
unaweza pata picha tu, nimechukua club kuwa EPL
Mshahara wa Ronaldo kwa wiki pale Man United unaweza kulipa mshahara wa kikosi kinachoanza cha Watford
HatariJuzi PSG ilifungwa 3-0 na Monaco, lakini ukiangalia payroll yao unaweza mpiga mtu risasi. Neymar anapata Pound 850,000 kwa wiki wakti Messi anapata 700,000 na mbappe anakwapua 462,500 wachezaji wengine wa PSG nao kufuru nyingine
Miaka 9 iliyopita tarehe kama ya leo View attachment 2160375
Nahisi hatufai.Kuna tetesi za ki intelijensia, dyabala anakuja
Majeruhi.Kuna tetesi za ki intelijensia, dyabala anakuja
Majeruhi.
Umri.
Sioni akija.
Majeruhi.
Umri.
Sioni akija.
Mmmh!.. Kweli binadamu wote ni sawa ila wengine ni sawa zaidi..Juzi PSG ilifungwa 3-0 na Monaco, lakini ukiangalia payroll yao unaweza mpiga mtu risasi. Neymar anapata Pound 850,000 kwa wiki wakti Messi anapata 700,000 na mbappe anakwapua 462,500 wachezaji wengine wa PSG nao kufuru nyingine
Mmmh!.. Kweli binadamu wote ni sawa ila wengine ni sawa zaidi..
Unatumia id gani. Mi natumia MabataUlisema unajua draft njoo play ok
Antonio siyo mbaya kiukweli isipotajwa bei ya kuruka ni optionWamlete Antonio wa westham
Unatumia id gani. Mi natumia Mabata
Unatumia id gani. Mi natumia Mabata
Unatumia id gani. Mi natumia Mabata
Unatumia id gani. Mi natumia Mabata