Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyo msimu ujao atakuwa benchi au atasepa kwenda France lazima Arsenal atafute forward mwenye vitu vyote viwili kama enzi za kina Suarez tatizo kubwa la Arsenal ni hapo mbele Laca kwenye finishing ni tatizo kubwa ana goli 6 pekee this season kwenye EPL siku kina Saka Smith Row Odeegard Martinelli wakiwa vibaya basi timu tutascore goli la bahati au Arsenal akascore nothing
Ni vema jukumu la kufunga likawa ni la kila mtu, sababu team inatengeneza nafasi za kutosha, sasa haiwezekani watu wakose nafasi lawama tume CF, nafasi tunazotengeneza zinatokana pia na aina ya uchezaji wa laca na kazi kubwa anayopiga uwanjani.

Tumhukumu laca kwa nafasi za wazi atakazokosa na si kwa timu kukosa magoli.
 
I can't believe that Arteta is adapting Tuchel's 5-2-3 aggressive block for Arsenal nowadays. That's genuinely unbelievable. That's, like, gold standard coaching. Incredible.
1647724614210.png
 
We si ulisema hatukucheza vzur unakuaje dominant na haujacheza vizur

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Nilikua nimeandika hapo juu.

Namna tumecheza ilitupa possession ila haikutufanya tuwe threat. Ndiyo maana ulivyoniquote na kusema nina wivu nikakuambia uniache.

Na sasa hivi unavyoniquote ili ukomalie hili swala ndiyo nazidi kukuona miyeyusho, msimu uliopita tulikua tunacheza kama ulivyoona jana na ilisababisha tusipate matokeo badala yake unacheza na Burnley una possession 72 ila yeye kascore goli moja kaondoka na points 3.

Mechi ya jana ni kiwakilishi cha msimu uliopita.

Uwe unaelewa.
 
Nilikua nimeandika hapo juu.

Namna tumecheza ilitupa possession ila haikutufanya tuwe threat. Ndiyo maana ulivyoniquote na kusema nina wivu nikakuambia uniache.

Na sasa hivi unavyoniquote ili ukomalie hili swala ndiyo nazidi kukuona miyeyusho, msimu uliopita tulikua tunacheza kama ulivyoona jana na ilisababisha tusipate matokeo badala yake unacheza na Burnley una possession 72 ila yeye kascore goli moja kaondoka na points 3.

Mechi ya jana ni kiwakilishi cha msimu uliopita.

Uwe unaelewa.
Hapana sikusema una wivu nili ku challenge kwa kusema, "Huu mpira wote tunaocheza, unaona side pass tu"

Na hicho kilikua kipind cha kwanza nafkr ndo tulicho tawala ata Steven gerrad alikili hicho alivyo hojiwa baada ya mechi ndo maana nikashangaa na kuku uliza vile

Kipind cha pili ofcoz ilifika mahali tukazidiwa uki overall sasa ndo hich unachosema kina make sense. Lakn kwa kipind cha kwanza ata stat znathibitisha tuli dominate.

Mm sina uelewa mkubwa kuhusu football tactis so no way nikadharau au kuchukulia poa comment za mtu yeyote hasa ambazo n za kitaaluma zaidi, najifunza sana kupitia nyinyi hata napo challenge n kwalengo la kuelewa zaidi so nitoe kwenye kund la watu wa makasiriko am your fan

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Hapana sikusema una wivu nili ku challenge kwa kusema, "Huu mpira wote tunaocheza, unaona side pass tu"

Na hicho kilikua kipind cha kwanza nafkr ndo tulicho tawala ata Steven gerrad alikili hicho alivyo hojiwa baada ya mechi ndo maana nikashangaa na kuku uliza vile

Kipind cha pili ofcoz ilifika mahali tukazidiwa uki overall sasa ndo hich unachosema kina make sense. Lakn kwa kipind cha kwanza ata stat znathibitisha tuli dominate.

Mm sina uelewa mkubwa kuhusu football tactis so no way nikadharau au kuchukulia poa comment za mtu yeyote hasa ambazo n za kitaaluma zaidi, najifunza sana kupitia nyinyi hata napo challenge n kwalengo la kuelewa zaidi so nitoe kwenye kund la watu wa makasiriko am your fan

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
Bro hatuwezi fanana maoni.

Kwa maoni yangu mechi dhidi ya liva tulicheza vizuri kuliko mechi ya jana dhidi ya Villa. Dhidi ya liva hatukua na possession ila tukiupata mpira tunaonyesha kwamba tunatafuta goli pasi zilikua ni mbele kulikua na forward runs za kutosha na chances za kutosha.

Jana tulikua na possession lakini hatukuonyesha tunatafuta magoli na tulipopata chances tukazibottle na possession yote ilipatikana kutoka kwenye sideway passes na back passes so kwangu haina maana.

Wewe kwa maoni yako tumecheza vizuri. Nimekukubalia.
 
Hivi hawa Juventus ilikuaje mpaka wakamuuza Rodrigo Bentancur? Ni bonge la midfield.. ametulia sana.
 
Auba was here hatukuona mchango.

He left now he scores every other day and at the mean time Arsenal inavuna points.

Huu mgawanyo ni mutual benefit kila mmoja anashine kivyake the fact that anaifuatilia Arsenal ikicheza acha ibaki ikisuuza moyo wako.
 
Back
Top Bottom