Sikutegemea kufanya vizuri sana mechi ya leo japo nilikuwa na matumaini ya kupata matokeo. hii ni kutokana na mechi ya katikati ya wiki dhidi ya liverpool. Mechi iliyopita tulienda kutafuta matokeo hivyo nguvu kubwa sana ilitumika kwa wachezaji na muda ulikuwa mfupi sana kwa wachezaji wetu kupumzika kufikia mechi ya leo.
Kipindi cha kwanza angalau timu ilionekana kutafuta magoli na tukatengeneza nafasi kadhaa ambazo moja wapo ikawa goli. Kipindi cha pili ni km wachezaji wetu walichoka(fatique) na hapo nadhani kocha akaona ni bora kulinda tulichonacho kuliko kukipoteza. Timu ikaanza kujilinda na hatimae tumepata point 3 muhimu.
Matumaini yangu ni kwamba kwa vile tunaenda kwenye mapumziko ya wiki mbili ya kalenda ya fifa nadhani tukirudi tutakuwa na moto km wa mechi sita zilizopita kabla ya Liverpool
Kipindi cha kwanza angalau timu ilionekana kutafuta magoli na tukatengeneza nafasi kadhaa ambazo moja wapo ikawa goli. Kipindi cha pili ni km wachezaji wetu walichoka(fatique) na hapo nadhani kocha akaona ni bora kulinda tulichonacho kuliko kukipoteza. Timu ikaanza kujilinda na hatimae tumepata point 3 muhimu.
Matumaini yangu ni kwamba kwa vile tunaenda kwenye mapumziko ya wiki mbili ya kalenda ya fifa nadhani tukirudi tutakuwa na moto km wa mechi sita zilizopita kabla ya Liverpool
