Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

We lead by one goal Xhaka anamsukuma mtu.

Anapata yellow.

Fuckery up ndogo ndogo kama hizi zimetucost for years
Shida ya xhaka ni ile ile kutokunyumbulika kwake, ule mpira alikuwa anapiga kisigino lakini ikabidi au"guard" tu

Hii game mpaka sasa bado, inabidi tupige la pili, game za mapema huwa sio nyepesi na sijui kwanini.
 
Shida ya xhaka ni ile ile kutokunyumbulika kwake, ule mpira alikuwa anapiga kisigino lakini ikabidi au"guard" tu

Hii game mpaka sasa bado, inabidi tupige la pili, game za mapema huwa sio nyepesi na sijui kwanini.
Kuna jamaa anasema tunacheza vizuri
 
Pepe unachezaje faulo hapo, dk ya 94, sijui kama halijawa goli hili, haya matukio haya..

Tupane pumbu
 
MASSIVE WIN!

Hongereni Arsenal, kwenye top 4 race unahitaji ushindi kama huu, hamjacheza vizuri lakini mmeondoka na points 3. Bado mimi kama shabiki wa United naamini hamuwezi kucheza UCL msimu ujao.
 
Kuna mambo mengine tusisingizie ukosefu wa ST kuna chances 3 tungeweza kupata magoli 2 za Emile na 1 ya Saka lakini hatukuziconvert.

Hawa hawa tulionao inabidi wastep up katika finishing huyo ST hatokua katika kila nafasi ya kuscore zingine ndiyo za wakina Emile na Saka
 
Back
Top Bottom