sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,610
- 2,158
Naombeni link ya kuchek game wakuu
Diaz Leo kapotea. Wala jota hakuna. Bonge a Partey katikati hapoHuyu Diaz anataka shindana speed na Tierney? 😅😅😅😅😅😅
Mpka unaona timu ina excel na saka na Martinelli wana-perform ujue ni laca anahold beki 2 za mpinzani.Hii kitu niliandika mchana ndio kinatokea sasa, angalia mipira ya Ramsdale inaenda wapi, hapo kuna watu wanakwambia Lacca ni ST mzuri, wakati hawezi hata kuitoa timu nyuma.
Mzigo upo 50/50Unautani na squad yetu
YNWA
Aongeze movements in 2nd HT...Mpka unaona timu ina excel na saka na Martinelli wana-perform ujue ni laca anahold beki 2 za mpinzani.
This was very poor from the so called pundits. Arteta is proving them wrong...Tatizo hutaki kunielewa, wewe unaamini Arteta anaendeshwa na kelele za wadau? Shida unawasikiliza pundits wasiojua chochote kuhusu tactics za mpira ingawaje wamecheza mpira, mimi nachokwambia ndio ukweli huo.
Picha chini pundits wakifanya prediction ya Top four msimu huuView attachment 2153376
pressing inahitaji wachezaji wenye mapafu ya kutosha........ Lacca try his best, Martinelli do best, Saka don't like to press, Odergard try his bestCastr, nadhani unaona kuna moments team inasit deep, unajua kwanini? Tunakosa athletes wakupress high reliably, ndio maana huwa nashangaa mtu akisema ni maelekezo ya kocha.
Without any doubt Saka amekuwa abiria uwanjani........ Tunahitaji kukimbia Kilometers za kutosha ili kuweza kupata kila mpira...... ambao utakuwa na advantage kwetu
Ngoja tuone Second halfichi kitu hata me nimekiona Saka hayuko poa leo
Shehe ana battle na Robertson na mane+ matip usifanye mzaa, amejtahd sanaWithout any doubt Saka amekuwa abiria uwanjani........ Tunahitaji kukimbia Kilometers za kutosha ili kuweza kupata kila mpira...... ambao utakuwa na advantage kwetu
Hizi offside traps zimekamata offside ngapi?Mkuu, wewe unaangolea tackles! Gabriel huwa namkosoa kwenye Space management na central progression, ebu Muangalie Van dijk anavyohold high line Liverpool ikiwa in possession then muangalie na Gabriel anachofanya tukiwa tunapossess, Van dijk & Matip wajanja sn wanaweka offside trap inayoua transition zetu nyingi mno, Gabriel bado mtoto mdogo sana.