Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
umenielewa vy, hakuna mahali nimesema liver wakawida, hakuna nilipowashusha, ila nimezungumzia hali halisi, arsenal ya sasa alipoifikisha arteta usitegemee itakaa nyuma kesho, hata kwa leicester amezidi possession lkn arsenal haikukaa nyuma, hata dhidi ya city first half before red hatukukaa nyuma ingawa city alizid possession, kuzid possession inategemea una gain wap possession yako,mfano leicester mpira mwingi alikuwa anachezea kwenye zone yake, possession unai calculate kwa pass kuwa nyingi na zilizopotea, hiyo sio factor ndio umecheza vzr, kaangalie statistics nyingine ukiacha possession dhidi ya leicester utaelewa ninachosemaHii umeandika kishabiki zaidi mkuu, wape heshima Liverpool, Liverpool are transition monsters in Mane, Salah & Diaz. Ukisema ni kwenda mbele tu game wataimaliza mapema asubuhi. Arsenal tuna tendency ya kusit deep tunapocheza na timu zenye top technicians ipo wazi, Game vs Leceister we had 46% of the ball, how about Liverpool? Remember Liverpool never sit deep. Of course, tutakuwa na some good moments of the game kwa kusustain attacks sababu quality tunayo, lakini bado Liverpool ni bora kuliko sisi, game itakuwa ngumu, game of the ages, napendaga sana mechi kama hizi.
hata hiyo kesho usitegemee arsenal kukaa nyuma kisa ni liverpool, kuna timu ina possess mpira kuliko city epl? sitashangaa wakituzid possession ,lkn nategemea timu kufunguka , mech za emirates now imekuwa hivo, kadri siku zinavyoenda