Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea anaweza kukatwa point 9 kama timu itawekwa chini ya 'administration'
 
It is possible that Gnabry is on the way out with a contract expiring in 2023. Arsenal could then sign his former player this summer. Moreover, in case of European qualification, the player would be considered as howegrown.
@Football_LDN
]
Bro hv lilie group letu la WhatsApp bado lipo active? naomba link.

Sent from my itel P13 using JamiiForums mobile app
 
Mmiliki ni Roman.

Roman ni mrusi.

Assets zake zote zimezuiwa.

Miongoni mwa assets zake ni timu ya chelsea.

Hivyo haruhusiwi kuisimamia au kuiuza.

Itabidi chelsea iwe chini ya usimamizi.

Ikiwekwa chini ya usimamizi itabidi ikatwe point 9.

Na ikiuzwa ikiwa chini ya usimamizi basi Roman hatopata kitu kutoka kwenye mauzo hayo.
 
Mmiliki ni Roman.

Roman ni mrusi.

Assets zake zote zimezuiwa.

Miongoni mwa assets zake ni timu ya chelsea.

Hivyo haruhusiwi kuisimamia au kuiuza.

Itabidi chelsea iwe chini ya usimamizi.

Ikiwekwa chini ya usimamizi itabidi ikatwe point 9.

Na ikiuzwa ikiwa chini ya usimamizi basi Roman hatopata kitu kutoka kwenye mauzo hayo.
Sio kweli unadanganya
 
Mmiliki ni Roman.

Roman ni mrusi.

Assets zake zote zimezuiwa.

Miongoni mwa assets zake ni timu ya chelsea.

Hivyo haruhusiwi kuisimamia au kuiuza.

Itabidi chelsea iwe chini ya usimamizi.

Ikiwekwa chini ya usimamizi itabidi ikatwe point 9.

Na ikiuzwa ikiwa chini ya usimamizi basi Roman hatopata kitu kutoka kwenye mauzo hayo.
sababu ya kukatwa point 9 ?
 
Mmiliki ni Roman.

Roman ni mrusi.

Assets zake zote zimezuiwa.

Miongoni mwa assets zake ni timu ya chelsea.

Hivyo haruhusiwi kuisimamia au kuiuza.

Itabidi chelsea iwe chini ya usimamizi.

Ikiwekwa chini ya usimamizi itabidi ikatwe point 9.

Na ikiuzwa ikiwa chini ya usimamizi basi Roman hatopata kitu kutoka kwenye mauzo hayo.
Nachojua mim ni kuwa roman hatopata chochte kwenye mauzo hayo mengne ndo nackia kwako
 
Chelsea ameshinda zaidi ya michezo 3 (Pointi 9) Pointi 9 zinazokatwa zitakuwa zipi, katika michezo ipi?
Sijaelewa swali lako.

Derby County wamekatwa points msimu huu na sijajua kama ilichaguliwa michezo ambayo hizo points zilinyofolewa.

Kuna source inasema inawezekana wasikatwe msimu huu badala yake msimu ujao wataanza na -9.
 
Sijaelewa swali lako.

Derby County wamekatwa points msimu huu na sijajua kama ilichaguliwa michezo ambayo hizo points zilinyofolewa.

Kuna source inasema inawezekana wasikatwe msimu huu badala yake msimu ujao wataanza na -9.
Acheni kuota
 
Back
Top Bottom