Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Kuhusu beki sidhaani maana tayari kuna beki ameshasajiriwa kutoka timu ya kroenke , anaitwa TRUSTY, na saliba anarudi, so kama atasajiriwa beki basi ni Backup RB,Wa tomiyasu na iwapo cedric ataondoka, maana hadi backup kipa tayari, kifupi tunaingia summer tukiwa na Backup GK,SALIBA, NA TRUSTY ambaye ni CB,Pia inabid tuongeze beki pale nyumba, saliba au aingie mwingine
Namba Tisa, yes inabidi aweze kucheza kitimu na sio kusubili mpira kama lukaku
mzigo mkubwa umetengwa kwa ajiri ya TOP CF ,NA two CMs, romano alisema ana taarifa 100% tutashusha TOP CF,