Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona kama mbinu zake bado ziko nyuma upande wa ushambulizi. Tumefunga magoli machache sana ukilinganisha na walio juu yetu.

Pia mpira wake bado haunogi kuangalia ingawa umeboreka kuliko awali. Naona kama hata tukishinda tunafurahia ushindi ila mpira tuliotizama haujatufurahisha.

Naona kama alishindwa kumtumia Aubameyang vizuri. Mtu aliyezoea kuwa kinara wa magoli tangu aje, ila magoli yake yakapungua kwa Arteta.
Wewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa muda

Hivi unaposema inacheza vibaya una refer kwa Wenger au mm ndio sielewi?

Hivi umesahau Arteta kaikuta arsenal kwenye hali ipi?

dully jr atanisaidia ,kipind cha emery ilifikia hii timu hata pass 10 Haiwez kupiga, ilifikia Arsenal mech Emirates tunazidiwa umiliki wa mpira , tunashinda kwa bahati , away games hata Watford tunapaki bas, Hivi unayakumbuka haya?

Tunabaki na mech 4 tunahitaji point 3-4 twende top 4 emery anashindwa na Europa fainal anadhalilishwa na mvuta sigara Sarri,

Arteta anaikuta timu haiwez tena kufanya buildup kuanzia kwa kipa, haiwez kuposses mpira ,anaisuka had anafikia hapa mech za Emirates ukija wapinzan wanaogopa ,

Uliona wolves hawa wagumu pale Emirates wanaomba po, huku had kocha wao anafanya uhuni wakupoteza muda kwa sub? Mpe credit huyu Arteta ,

Leo Arsenal anatoka nyuma kuanzia kwa kipa had anafunga goli , unasema haifurahishi ? Ulikuwepo kipind cha Unai emery kweli? Enzi Lucas toreira anacheza had no 10., Midfield ya xhaka guendouz?

Arteta ameanza ujenzi wa hii timu kwenye eneo la backline ambalo had Wenger anaondoka aliliacha ni bovu ,now amekuja kwenye midfield na attacking,

Nadhani Uliona shughul aliyooneshwa mancity pale Emirates bila refa kuingilia kati,

Hiyo ni advertise ya tuendako, now pale Emirates hiyo ndio itakuwa atmosphere,

Kama unataka ujue Alipoitoa hii timu Arteta , rejea arsenal ya emery ndan ya miez 18 aliyokaa , hata buildup ilikuwa mtihani ....
 
Naona kama alishindwa kumtumia Aubameyang vizuri. Mtu aliyezoea kuwa kinara wa magoli tangu aje, ila magoli yake yakapungua kwa Arteta.
Hivi si ndio nyinyi mashabik mlipiga kelele sana Arteta amdrop Auba?


Leo anafunga huko barca tayari inao ekana hamtumii vzr ,jaman tuache unafiki, huyu Auba sindio kachukua FA na Shield ndan ya Arteta? Tena alikuwa kipenz chake?

Mashabik mlipiga kelele sana Auba anakosa magoli dhid ya Newcastle yeye na wavu, dhidi ya man u anakosa magoli mawili , leo mnasema alishindwa kumtumia?

Mlipiga kelele sana ampige chini lkn Arteta akawa anampa second chance ,mkasema ampe nafas martinel ,mwisho Auba akawa nidhamu Zero , amefurumushwa mmerudi kumsimanga Arteta , lakin ndio sisi mashabik tuliomba am drop akaendelea kumpa second chance,leo anafunga huko barca anaonekana Arteta ndiye mwenye shida

Auba ni finisher mzuri sana , lkn muda wake arsenal uliisha ,

Arteta pale Arsenal ana total control ni Manager sio head coach, amemvumilia ikaonekana atawaharibu na watoto wengine as captain , ingeonekana ni Jambo la kawaida tu kujifanyia utakavyo ,, hii hali imeanza mwishon mwa arsene Wenger, ozil kuna mech alikuwa hachez anapoamua ,taarifa inatoka ana mafua ,
 
Kuhusu mpira kutokunoga kwa sababu ya tactics, sijasema nataka mpira mzuri na tufungwe. Hapana. Kama shabiki, nataka mpira mzuri na ushindi pia maana hii ni burudani kwangu na nawekeza muda wangu kuangalia mechi. Hivyo nategema kocha awe na mbinu na timu ichezee mpira ambao nitaangalia na kuufurahia. Sasa kama hajafanya hivyo, kwangu hajakidhi vigezo vya kunifanya nimuone kocha bora. Sipendi kuangalia aliye chini yangu na kusema angalau huyu nimemzidi, napenda zaidi kuangalia juu kwa aliyenizidi maana huko ndiko nataka niwepo.
Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?

Unajua ili uupate huo mpira unahitaji wachezaji wenye profile husika?

Arsenal aliyoikuta Arteta chini ya emery kamwe isingewezekana kucheza mpira wa kuufurahia ,sisi ni mashahidi hapa , labda kwasababu tuna kawaida ya kusahau,

Mashabik pale UK walimwambia kwa mabango emery , NO TACTICS,NO STRUCTURE,

Emery kakaa arsenal miez 18 hakuwahi kuwa na 1st 11, hakuwa kuwa na structure ya uchezaji,

Arteta kapokea timu ya namna hiyo, hivo alihitaji Overhaul kubwa, akianza na backline yote kuanzia kipa had namba 6 , ndipo unapokuta sura mpya , had Leno anaondolewa maana mpira wa kufurahisha unaanzia kwa kipa ,

Na Tunaona Process , Arsenal ya emery mech za Away ilikuwa kiama, za Emirates tunabahatisha,

Mfano mech ya wolves kwa emery ile hatoki, lkn kwa Arteta limepigwa ball , had wanataka wakimbie mech ,

Unaposema Arsenal haichez mpira wa kufurahisha inabid utueleze Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa inachezaje je ni ile ile ambayo hata kufanya buildup ilikuwa haiwez, mm nitakupa hata magoli 20 chin ya Arteta yanayoanzia kwa kipa had Goli,

Hapo Epl ni swala la muda mfupi utaelewa Arteta ni masterclass kwenye mbinu,

Kwasasa amempeleka xhaka kwenye new role ,

Makocha wengi hapo Epl wanapokutana na low block imekuwa ngumu kuzifungua , Arteta nimemshuhudia akizifungua vzr tu,

Timu inapokuwa pungufu amweza kuicheza low block ya hali ya juu , sio kwa kubahatisha ni tactics

Narudia ule moto aliowashiwa city pale Emirates ,refa akaingilia kati ,mimi nauchukulia Kama Onyo kwa wengine wanaokalili ,

Na nimeuona tena Dhidi ya Wolves ,hadi Bruno lage akataman aikimbie mechi

Ule moto Nauchukulia ni Onyo kwa siku za mbelen kwa wanaokalili Arsenal kwa timu kubwa atapigwa kirahisi tu,

Hii ni process na ni project inayopiga hatua vzr
 
Dah Hizi picha Zina zaidi ya Maneno Milioni moja Ya Kuelezea Jinsi Gan Martin Odergaard Anajituma na Kupambania Hii Team

Kupata kitu kama Hiki kwa Wachezaji Lazma Kocha Uwe na Uthubutu na Uwe na Mipango na Mbinu Zinazoeleweka..Kila Wakati Huwa Nataman Sana huyu Odergaard na Partey Wapokee Mpira nione Jinsi wanavyotoa pasi kwa usahihi na Kwa Kujiamini..

Smith Rowe ni Kiungo mshambuliaji na Huyu ni Playmaker/anachezesha team Halafu ana Work Rate kubwa mnoo..Tofauti Yao ni Kwamba Huyu dogo ni mtu wa mipango Sana ila Rowe ni mtu wa Kushambulia sana..Rowe anapenda Kushambulia ila Odergaard anapenda Kutengeneza sana.

.Bado ana Nafasi Kubwa mno ya Kufika Mbali zaidi ya Alipo..Huyu Mtoto ni Bonge la Mchezaji Aiseee. Yan Huyu Akikolea Pengo la Ozil linafutika Kabisa Huyu anakupa Assist Magoli na Anazunguka Kila mahali bila Kuchoka na anajua Sana Soka la Kuvutia..
FB_IMG_1646082054424.jpg


FB_IMG_1646082057853.jpg
 
ARTETA ANAPOIANDAA 4-3-3 TARATIBU

✍🏿 Nianze kusema mpira ni set up au tunaita plan vitu hivi vinatengenezwa ndani na nje ya uwanja nikimaanisha training session ,video analysis nk

✍🏿 lengo ni kutengeza kilicho bora wakiwa uwanjani ikihusisha ushambuliaji na kujilinda na ndio maana kiufundi kuna kitu tuna tactical and technical changes

✍🏿 hapa kwenye tactical (mbinu)ndio tunakuta mifumo.

✍🏿 Arteta alipokuja alipenda zaidi kutumia 3-4-3 mfumo ambao tulitumia zaidi counter attacks na maeneo ya pembeni kushambulia ila baadae ulishindwa tupa mahitaji

✍🏿 ndipo arteta akaja na 4-2-3-1 baada ya kumuintroduce rowe na kumleta odegaard lengo sasa kutumia eneo la katikati pia kushambulia kuwa na njia nyingi za kutengeneza nafasi

✍🏿 lakini sasa kadri siku zinaenda naona arteta anataka sasa kucheza mfumo wa mwalimu wake pep guadiora

✍🏿 mfumo 4-3-3 ambao kimsingi anahitaji kumiliki eneo la kiungo ili kuwepo fluidy na transition ya mpira kwa usahihi maana anaanzisha mashambulizi toka nyuma

✍🏿 ukifatilia kwa sasa licha mfumo mama kuwa 4-2-3-1 on paper ila display uwanjani tukiwa na mpira ni 4-3-3 odegaard hachezi tena kama tradional 10 bali deep lying playmaker au 8 ambayo ipo advanced kidogo hiki kitu kinafanya sasa kati kati tunakuwa na viungo watatu mmoja partey anaesimama kama pivot na huyu kazi yake ni kuchukua mipira kwa mabeki , na anatakiwa awe na uwezo mkubwa wa kupiga pass za mbele kwa usahihi mkubwa bila kupoteza ovyo, hii Role ilimshinda Lucas toreira ,pia Xhaka ilimletea matatizo ya kuchomesha sana, Partey ameimuda kwa asilimia kubwa , Areta aliwahi kusema anahitaji kiungo wa chini kariba ya Michael Laudrup, sikumuelewa kipindi hicho

✍🏿halafu ode na xhaka kama namba 8 wawili japo wana operate kwenye different zones ode uwa anapanda zaidi naweza kusema anacheza half 8 half 10,ndio maana tunamuona sana siku hizi upande wa Saka muda mwingi wakibadilishana space

✍🏿 hii kitu ipo man city kitambo tu tangu kina david silva wapo pale anacheza na de bruyne chini yao ni fernadinho

✍🏿 namuona arteta akitafuta rhythm kwa msimu ujao akiongeza kiungo mwingine CM nazani sasa ataucheza kwa uhakika

✍🏿 nimalize kusema 4-3-3 modern days sio lazima uwe na natural striker yani goal potcher tu bali uwe na striker anaweza kufanya link up na viungo kudrop chini kazi anafanya laca, Hii inaonesha Tayari Arteta kichwani mwake ana profile ya Striker gan anamuhitaji summer

✍🏿 tukisajili striker naamini ni kariba hii sio striker anae subiri tu mpira ndio maana ya team play kila mtu ahusike

FB_IMG_1646083034220.jpg
 
Ødegaard anaanza kuwa one of my favourite Arsenal players, I love his energy in finding spaces and ability to play the right pass. Moves nyingi za magoli zinaanzia kwake, ana vitu vingi sana uwanjani lakini the footballing brain is his best attribute, the kid gat the brain.

MECHI NA WOLVES INAONESHA ALIKIMBIA TAKRIBANI KM 20.2 ,

I WISH NEXT WEEK ATARUDI NA ENERGY YA KUTOSHA

INASEMEKANA ATAKUWA CAPTAIN MPYA AU VICE CAPTAIN NYUMA YA KIERAN TIERNY NEXT SEASON


WAKATI EDU ANAMTAKA EMI BUENDIA , KWA £35M ,ARTETA AKILI YAKE NA FIRST CHOICE YAKE ILIKUWA ØDEGAARD KWA £30M
FB_IMG_1646084156857.jpg
 
Mkuu una striker force ya watu Sawa na hizo team zilizo juu yako ili ulingane nao magoli? Ni team 3 tu za juu ndio zimeizidi Arsenal Kila kitu Kwakuwa ukweli ni kwamba wao ni Bora kuliko Arsenal ila Arsenal kawazidi wengine wote waliobakiwa je Wana ubora huo?

kama team Ina goal difference kubwa kuliko team yenye Ronaldo, Bruno,Sancho,Vardy,Madison,Kane,son unataka nani aje akukumbushe kuwa kocha anatumia vizuri resources alizonazo pamoja na low qualities alizonazo

Kuhusu mpira kutokunoga hizo ni tactics tu ndugu yangu maana arsenal ina falsafa ya kucheza mpira mzuri, ila kucheza mpira mzuri na hampati matokeo ni ujinga, kucheza vizuri inategemea na quality ya wachezaji pia, kaangalie hali ya Leeds huko, Arteta anacheza mpira wa kutafuta matokeo ili kumit target ya kumaliza top four

Kuhusu Auba ni yeye tu mwenyewe alikuwa hayupo sawa psychological Tangu apandishiwe Salary, akawa mvivu na kiburi, always anaenda against na matakwa ya kocha katika kambi ila Arteta akaendelea kumvumilia tu na akawa anafanya Siri, Auba akipewa ruhusa anavuta siku na harudi Kwa wakati

Ikafkia hatua ata mashabiki hawataki Auba apate namba maana kavumiliwa sana ila anakosa tu magoli ya wazi ata akiwa yeye na goli sa hapo utasemaje Kuwa kocha kashindwa kumtumia? ilifkia hatua jamaa ata kutuliza mpira hawezi ni wazi alikuwa na mambo mengi kichwani kwake

Me sidhani kama kuna Arsenal fan ambae analalamika kuondoka Kwa Auba kisa tu Kwakuwa huko Barca anascore, Auba alikuwa kirusi katika team na hasa katika ustawi wa wale watoto kina Saka and the like angewaharibu na hatimae Arteta angepoteza dressing room

Kwahiyo nachelea kusema baada ya kusoma SABABU zako za kutomkubali Arteta nimeona hazina mantiki labda kama ulichokiandika sicho unachokifikilia kichwani mwako, sio lazima umkubali Arteta maana Kuna watu hawamkubali ata pep, ila at least Mtu uwe na sababu zenye mashiko
WAKATI WATU WANASEMA ARTETA AMELETA MPIRA ARSENAL USIOFURAHISHA ,

PEP GUARDIOLA ANAITAJA ARSENAL MOJA YA TIMU ZILIZOMFUNGULIA BUSTA


Pep (teams style of play) “Except Liverpool, Brighton, Arsenal, Villa, Leeds, the rest sit back. I’m not saying there's anything wrong with that. Every manager can do what they want.”

Zaidi soma hapa
 
Hapo chini ni video Arteta akimwambia Bruno Lage aendelee kupoteza muda tena

Narudia tena jaman kuna watu wamekariri Sana Pale Emirates kuna point za ubwete,

Ile BUSTA aliyofunguliwa Pep GUARDIOLA sikuile mpaka refa akaingilia kati ,kwangu niliichukulia Kama Onyo kwa wengine ,

Ndicho kilichomkuta Bruno lage,

Na Leo Pep GUARDIOLA amekiri Arsenal ni miongon mwa timu ZILIZOMFUNGULIA Busta

 
Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?

Unajua ili uupate huo mpira unahitaji wachezaji wenye profile husika?

Arsenal aliyoikuta Arteta chini ya emery kamwe isingewezekana kucheza mpira wa kuufurahia ,sisi ni mashahidi hapa , labda kwasababu tuna kawaida ya kusahau,

Mashabik pale UK walimwambia kwa mabango emery , NO TACTICS,NO STRUCTURE,

Emery kakaa arsenal miez 18 hakuwahi kuwa na 1st 11, hakuwa kuwa na structure ya uchezaji,

Arteta kapokea timu ya namna hiyo, hivo alihitaji Overhaul kubwa, akianza na backline yote kuanzia kipa had namba 6 , ndipo unapokuta sura mpya , had Leno anaondolewa maana mpira wa kufurahisha unaanzia kwa kipa ,

Na Tunaona Process , Arsenal ya emery mech za Away ilikuwa kiama, za Emirates tunabahatisha,

Mfano mech ya wolves kwa emery ile hatoki, lkn kwa Arteta limepigwa ball , had wanataka wakimbie mech ,

Unaposema Arsenal haichez mpira wa kufurahisha inabid utueleze Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa inachezaje je ni ile ile ambayo hata kufanya buildup ilikuwa haiwez, mm nitakupa hata magoli 20 chin ya Arteta yanayoanzia kwa kipa had Goli,

Hapo Epl ni swala la muda mfupi utaelewa Arteta ni masterclass kwenye mbinu,

Kwasasa amempeleka xhaka kwenye new role ,

Makocha wengi hapo Epl wanapokutana na low block imekuwa ngumu kuzifungua , Arteta nimemshuhudia akizifungua vzr tu,

Timu inapokuwa pungufu amweza kuicheza low block ya hali ya juu , sio kwa kubahatisha ni tactics

Narudia ule moto aliowashiwa city pale Emirates ,refa akaingilia kati ,mimi nauchukulia Kama Onyo kwa wengine wanaokalili ,

Na nimeuona tena Dhidi ya Wolves ,hadi Bruno lage akataman aikimbie mechi

Ule moto Nauchukulia ni Onyo kwa siku za mbelen kwa wanaokalili Arsenal kwa timu kubwa atapigwa kirahisi tu,

Hii ni process na ni project inayopiga hatua vzr
Mikel Arteta is a good tactician, Mambo ya mpira yanabadilika haraka sana, watu wasichoelewa ni kuwa Mikel Arteta anakosa baadhi ya complete profile, kuna replacement mbili zikifanikiwa basi Arsenal tunakuwa a tittle challenger, ndio maana target kuu ya Arsenal ni kupata a top CF & CM, anachohitaji Mikel Arteta ni upgrades kwa Granit Xhaka pamoja na Alex Lacezette, we gonna be untouchable Under Mikel Arteta.
 
Wewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa muda

Hivi unaposema inacheza vibaya una refer kwa Wenger au mm ndio sielewi?

Hivi umesahau Arteta kaikuta arsenal kwenye hali ipi?

dully jr atanisaidia ,kipind cha emery ilifikia hii timu hata pass 10 Haiwez kupiga, ilifikia Arsenal mech Emirates tunazidiwa umiliki wa mpira , tunashinda kwa bahati , away games hata Watford tunapaki bas, Hivi unayakumbuka haya?

Tunabaki na mech 4 tunahitaji point 3-4 twende top 4 emery anashindwa na Europa fainal anadhalilishwa na mvuta sigara Sarri,

Arteta anaikuta timu haiwez tena kufanya buildup kuanzia kwa kipa, haiwez kuposses mpira ,anaisuka had anafikia hapa mech za Emirates ukija wapinzan wanaogopa ,

Uliona wolves hawa wagumu pale Emirates wanaomba po, huku had kocha wao anafanya uhuni wakupoteza muda kwa sub? Mpe credit huyu Arteta ,

Leo Arsenal anatoka nyuma kuanzia kwa kipa had anafunga goli , unasema haifurahishi ? Ulikuwepo kipind cha Unai emery kweli? Enzi Lucas toreira anacheza had no 10., Midfield ya xhaka guendouz?

Arteta ameanza ujenzi wa hii timu kwenye eneo la backline ambalo had Wenger anaondoka aliliacha ni bovu ,now amekuja kwenye midfield na attacking,

Nadhani Uliona shughul aliyooneshwa mancity pale Emirates bila refa kuingilia kati,

Hiyo ni advertise ya tuendako, now pale Emirates hiyo ndio itakuwa atmosphere,

Kama unataka ujue Alipoitoa hii timu Arteta , rejea arsenal ya emery ndan ya miez 18 aliyokaa , hata buildup ilikuwa mtihani ....
Sina chuki bro. Nimesema bado sijamkubali kikamilifu. Kazi yake yeye ni kuendelea kuperform mpaka hapo nitakapoona amefikia kiwango ambacho kitanifanya nimkubali kikamilifu. Ni hayo tu.
 
Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?

Unajua ili uupate huo mpira unahitaji wachezaji wenye profile husika?

Arsenal aliyoikuta Arteta chini ya emery kamwe isingewezekana kucheza mpira wa kuufurahia ,sisi ni mashahidi hapa , labda kwasababu tuna kawaida ya kusahau,

Mashabik pale UK walimwambia kwa mabango emery , NO TACTICS,NO STRUCTURE,

Emery kakaa arsenal miez 18 hakuwahi kuwa na 1st 11, hakuwa kuwa na structure ya uchezaji,

Arteta kapokea timu ya namna hiyo, hivo alihitaji Overhaul kubwa, akianza na backline yote kuanzia kipa had namba 6 , ndipo unapokuta sura mpya , had Leno anaondolewa maana mpira wa kufurahisha unaanzia kwa kipa ,

Na Tunaona Process , Arsenal ya emery mech za Away ilikuwa kiama, za Emirates tunabahatisha,

Mfano mech ya wolves kwa emery ile hatoki, lkn kwa Arteta limepigwa ball , had wanataka wakimbie mech ,

Unaposema Arsenal haichez mpira wa kufurahisha inabid utueleze Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa inachezaje je ni ile ile ambayo hata kufanya buildup ilikuwa haiwez, mm nitakupa hata magoli 20 chin ya Arteta yanayoanzia kwa kipa had Goli,

Hapo Epl ni swala la muda mfupi utaelewa Arteta ni masterclass kwenye mbinu,

Kwasasa amempeleka xhaka kwenye new role ,

Makocha wengi hapo Epl wanapokutana na low block imekuwa ngumu kuzifungua , Arteta nimemshuhudia akizifungua vzr tu,

Timu inapokuwa pungufu amweza kuicheza low block ya hali ya juu , sio kwa kubahatisha ni tactics

Narudia ule moto aliowashiwa city pale Emirates ,refa akaingilia kati ,mimi nauchukulia Kama Onyo kwa wengine wanaokalili ,

Na nimeuona tena Dhidi ya Wolves ,hadi Bruno lage akataman aikimbie mechi

Ule moto Nauchukulia ni Onyo kwa siku za mbelen kwa wanaokalili Arsenal kwa timu kubwa atapigwa kirahisi tu,

Hii ni process na ni project inayopiga hatua vzr
Asante bro. Nitafurahi sana tukifika huko.
 
Wewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa muda

Hivi unaposema inacheza vibaya una refer kwa Wenger au mm ndio sielewi?

Hivi umesahau Arteta kaikuta arsenal kwenye hali ipi?

dully jr atanisaidia ,kipind cha emery ilifikia hii timu hata pass 10 Haiwez kupiga, ilifikia Arsenal mech Emirates tunazidiwa umiliki wa mpira , tunashinda kwa bahati , away games hata Watford tunapaki bas, Hivi unayakumbuka haya?

Tunabaki na mech 4 tunahitaji point 3-4 twende top 4 emery anashindwa na Europa fainal anadhalilishwa na mvuta sigara Sarri,

Arteta anaikuta timu haiwez tena kufanya buildup kuanzia kwa kipa, haiwez kuposses mpira ,anaisuka had anafikia hapa mech za Emirates ukija wapinzan wanaogopa ,

Uliona wolves hawa wagumu pale Emirates wanaomba po, huku had kocha wao anafanya uhuni wakupoteza muda kwa sub? Mpe credit huyu Arteta ,

Leo Arsenal anatoka nyuma kuanzia kwa kipa had anafunga goli , unasema haifurahishi ? Ulikuwepo kipind cha Unai emery kweli? Enzi Lucas toreira anacheza had no 10., Midfield ya xhaka guendouz?

Arteta ameanza ujenzi wa hii timu kwenye eneo la backline ambalo had Wenger anaondoka aliliacha ni bovu ,now amekuja kwenye midfield na attacking,

Nadhani Uliona shughul aliyooneshwa mancity pale Emirates bila refa kuingilia kati,

Hiyo ni advertise ya tuendako, now pale Emirates hiyo ndio itakuwa atmosphere,

Kama unataka ujue Alipoitoa hii timu Arteta , rejea arsenal ya emery ndan ya miez 18 aliyokaa , hata buildup ilikuwa mtihani ....
Itakuwa anarefer arsenal ya wenger
 
Dah Hizi picha Zina zaidi ya Maneno Milioni moja Ya Kuelezea Jinsi Gan Martin Odergaard Anajituma na Kupambania Hii Team

Kupata kitu kama Hiki kwa Wachezaji Lazma Kocha Uwe na Uthubutu na Uwe na Mipango na Mbinu Zinazoeleweka..Kila Wakati Huwa Nataman Sana huyu Odergaard na Partey Wapokee Mpira nione Jinsi wanavyotoa pasi kwa usahihi na Kwa Kujiamini..

Smith Rowe ni Kiungo mshambuliaji na Huyu ni Playmaker/anachezesha team Halafu ana Work Rate kubwa mnoo..Tofauti Yao ni Kwamba Huyu dogo ni mtu wa mipango Sana ila Rowe ni mtu wa Kushambulia sana..Rowe anapenda Kushambulia ila Odergaard anapenda Kutengeneza sana.

.Bado ana Nafasi Kubwa mno ya Kufika Mbali zaidi ya Alipo..Huyu Mtoto ni Bonge la Mchezaji Aiseee. Yan Huyu Akikolea Pengo la Ozil linafutika Kabisa Huyu anakupa Assist Magoli na Anazunguka Kila mahali bila Kuchoka na anajua Sana Soka la Kuvutia..
View attachment 2134489

View attachment 2134490
odegard vip hapo cjaelewa
 
Arsenal this EPL season:

With Auba: 14 games. 18 goals.
Since dropped: 9 games. 20 goals.

Arsenal have been better despite his scoring for Barcelona. These are the facts |
@Football_LDN
 
Nilisikia tunahusishwa na frank de jong

Na kuna habari nilizioana frank de jong anaweza kutua viunga vya gunners

That day, ntachinja mbuzi

Pia inabid tuongeze beki pale nyumba, saliba au aingie mwingine


Namba Tisa, yes inabidi aweze kucheza kitimu na sio kusubili mpira kama lukaku


For this to be done, we must secure top4 by peace or violence

#COYG
 
Back
Top Bottom