computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
FACTLet's be optimistic mkuu! EPL haitabiriki manake hata Watford usipoangalia anakuchezesha kwata Ila let's keep our balls tight and see how things unfold.
FACTLet's be optimistic mkuu! EPL haitabiriki manake hata Watford usipoangalia anakuchezesha kwata Ila let's keep our balls tight and see how things unfold.
Babu yenu abramovich kauza timu mkamateni GSM awadhaminiArsenyeto mpoooo?
Siku nyingi sana sijaja kuwasalimia ndugu zangu.
Wewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa mudaNaona kama mbinu zake bado ziko nyuma upande wa ushambulizi. Tumefunga magoli machache sana ukilinganisha na walio juu yetu.
Pia mpira wake bado haunogi kuangalia ingawa umeboreka kuliko awali. Naona kama hata tukishinda tunafurahia ushindi ila mpira tuliotizama haujatufurahisha.
Naona kama alishindwa kumtumia Aubameyang vizuri. Mtu aliyezoea kuwa kinara wa magoli tangu aje, ila magoli yake yakapungua kwa Arteta.
Hivi si ndio nyinyi mashabik mlipiga kelele sana Arteta amdrop Auba?Naona kama alishindwa kumtumia Aubameyang vizuri. Mtu aliyezoea kuwa kinara wa magoli tangu aje, ila magoli yake yakapungua kwa Arteta.
Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?Kuhusu mpira kutokunoga kwa sababu ya tactics, sijasema nataka mpira mzuri na tufungwe. Hapana. Kama shabiki, nataka mpira mzuri na ushindi pia maana hii ni burudani kwangu na nawekeza muda wangu kuangalia mechi. Hivyo nategema kocha awe na mbinu na timu ichezee mpira ambao nitaangalia na kuufurahia. Sasa kama hajafanya hivyo, kwangu hajakidhi vigezo vya kunifanya nimuone kocha bora. Sipendi kuangalia aliye chini yangu na kusema angalau huyu nimemzidi, napenda zaidi kuangalia juu kwa aliyenizidi maana huko ndiko nataka niwepo.
WAKATI WATU WANASEMA ARTETA AMELETA MPIRA ARSENAL USIOFURAHISHA ,Mkuu una striker force ya watu Sawa na hizo team zilizo juu yako ili ulingane nao magoli? Ni team 3 tu za juu ndio zimeizidi Arsenal Kila kitu Kwakuwa ukweli ni kwamba wao ni Bora kuliko Arsenal ila Arsenal kawazidi wengine wote waliobakiwa je Wana ubora huo?
kama team Ina goal difference kubwa kuliko team yenye Ronaldo, Bruno,Sancho,Vardy,Madison,Kane,son unataka nani aje akukumbushe kuwa kocha anatumia vizuri resources alizonazo pamoja na low qualities alizonazo
Kuhusu mpira kutokunoga hizo ni tactics tu ndugu yangu maana arsenal ina falsafa ya kucheza mpira mzuri, ila kucheza mpira mzuri na hampati matokeo ni ujinga, kucheza vizuri inategemea na quality ya wachezaji pia, kaangalie hali ya Leeds huko, Arteta anacheza mpira wa kutafuta matokeo ili kumit target ya kumaliza top four
Kuhusu Auba ni yeye tu mwenyewe alikuwa hayupo sawa psychological Tangu apandishiwe Salary, akawa mvivu na kiburi, always anaenda against na matakwa ya kocha katika kambi ila Arteta akaendelea kumvumilia tu na akawa anafanya Siri, Auba akipewa ruhusa anavuta siku na harudi Kwa wakati
Ikafkia hatua ata mashabiki hawataki Auba apate namba maana kavumiliwa sana ila anakosa tu magoli ya wazi ata akiwa yeye na goli sa hapo utasemaje Kuwa kocha kashindwa kumtumia? ilifkia hatua jamaa ata kutuliza mpira hawezi ni wazi alikuwa na mambo mengi kichwani kwake
Me sidhani kama kuna Arsenal fan ambae analalamika kuondoka Kwa Auba kisa tu Kwakuwa huko Barca anascore, Auba alikuwa kirusi katika team na hasa katika ustawi wa wale watoto kina Saka and the like angewaharibu na hatimae Arteta angepoteza dressing room
Kwahiyo nachelea kusema baada ya kusoma SABABU zako za kutomkubali Arteta nimeona hazina mantiki labda kama ulichokiandika sicho unachokifikilia kichwani mwako, sio lazima umkubali Arteta maana Kuna watu hawamkubali ata pep, ila at least Mtu uwe na sababu zenye mashiko
Mikel Arteta is a good tactician, Mambo ya mpira yanabadilika haraka sana, watu wasichoelewa ni kuwa Mikel Arteta anakosa baadhi ya complete profile, kuna replacement mbili zikifanikiwa basi Arsenal tunakuwa a tittle challenger, ndio maana target kuu ya Arsenal ni kupata a top CF & CM, anachohitaji Mikel Arteta ni upgrades kwa Granit Xhaka pamoja na Alex Lacezette, we gonna be untouchable Under Mikel Arteta.Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?
Unajua ili uupate huo mpira unahitaji wachezaji wenye profile husika?
Arsenal aliyoikuta Arteta chini ya emery kamwe isingewezekana kucheza mpira wa kuufurahia ,sisi ni mashahidi hapa , labda kwasababu tuna kawaida ya kusahau,
Mashabik pale UK walimwambia kwa mabango emery , NO TACTICS,NO STRUCTURE,
Emery kakaa arsenal miez 18 hakuwahi kuwa na 1st 11, hakuwa kuwa na structure ya uchezaji,
Arteta kapokea timu ya namna hiyo, hivo alihitaji Overhaul kubwa, akianza na backline yote kuanzia kipa had namba 6 , ndipo unapokuta sura mpya , had Leno anaondolewa maana mpira wa kufurahisha unaanzia kwa kipa ,
Na Tunaona Process , Arsenal ya emery mech za Away ilikuwa kiama, za Emirates tunabahatisha,
Mfano mech ya wolves kwa emery ile hatoki, lkn kwa Arteta limepigwa ball , had wanataka wakimbie mech ,
Unaposema Arsenal haichez mpira wa kufurahisha inabid utueleze Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa inachezaje je ni ile ile ambayo hata kufanya buildup ilikuwa haiwez, mm nitakupa hata magoli 20 chin ya Arteta yanayoanzia kwa kipa had Goli,
Hapo Epl ni swala la muda mfupi utaelewa Arteta ni masterclass kwenye mbinu,
Kwasasa amempeleka xhaka kwenye new role ,
Makocha wengi hapo Epl wanapokutana na low block imekuwa ngumu kuzifungua , Arteta nimemshuhudia akizifungua vzr tu,
Timu inapokuwa pungufu amweza kuicheza low block ya hali ya juu , sio kwa kubahatisha ni tactics
Narudia ule moto aliowashiwa city pale Emirates ,refa akaingilia kati ,mimi nauchukulia Kama Onyo kwa wengine wanaokalili ,
Na nimeuona tena Dhidi ya Wolves ,hadi Bruno lage akataman aikimbie mechi
Ule moto Nauchukulia ni Onyo kwa siku za mbelen kwa wanaokalili Arsenal kwa timu kubwa atapigwa kirahisi tu,
Hii ni process na ni project inayopiga hatua vzr
Sina chuki bro. Nimesema bado sijamkubali kikamilifu. Kazi yake yeye ni kuendelea kuperform mpaka hapo nitakapoona amefikia kiwango ambacho kitanifanya nimkubali kikamilifu. Ni hayo tu.Wewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa muda
Hivi unaposema inacheza vibaya una refer kwa Wenger au mm ndio sielewi?
Hivi umesahau Arteta kaikuta arsenal kwenye hali ipi?
dully jr atanisaidia ,kipind cha emery ilifikia hii timu hata pass 10 Haiwez kupiga, ilifikia Arsenal mech Emirates tunazidiwa umiliki wa mpira , tunashinda kwa bahati , away games hata Watford tunapaki bas, Hivi unayakumbuka haya?
Tunabaki na mech 4 tunahitaji point 3-4 twende top 4 emery anashindwa na Europa fainal anadhalilishwa na mvuta sigara Sarri,
Arteta anaikuta timu haiwez tena kufanya buildup kuanzia kwa kipa, haiwez kuposses mpira ,anaisuka had anafikia hapa mech za Emirates ukija wapinzan wanaogopa ,
Uliona wolves hawa wagumu pale Emirates wanaomba po, huku had kocha wao anafanya uhuni wakupoteza muda kwa sub? Mpe credit huyu Arteta ,
Leo Arsenal anatoka nyuma kuanzia kwa kipa had anafunga goli , unasema haifurahishi ? Ulikuwepo kipind cha Unai emery kweli? Enzi Lucas toreira anacheza had no 10., Midfield ya xhaka guendouz?
Arteta ameanza ujenzi wa hii timu kwenye eneo la backline ambalo had Wenger anaondoka aliliacha ni bovu ,now amekuja kwenye midfield na attacking,
Nadhani Uliona shughul aliyooneshwa mancity pale Emirates bila refa kuingilia kati,
Hiyo ni advertise ya tuendako, now pale Emirates hiyo ndio itakuwa atmosphere,
Kama unataka ujue Alipoitoa hii timu Arteta , rejea arsenal ya emery ndan ya miez 18 aliyokaa , hata buildup ilikuwa mtihani ....
Asante bro. Nitafurahi sana tukifika huko.Mkuu unataka mpira gan chini ya Arteta ?
Unajua ili uupate huo mpira unahitaji wachezaji wenye profile husika?
Arsenal aliyoikuta Arteta chini ya emery kamwe isingewezekana kucheza mpira wa kuufurahia ,sisi ni mashahidi hapa , labda kwasababu tuna kawaida ya kusahau,
Mashabik pale UK walimwambia kwa mabango emery , NO TACTICS,NO STRUCTURE,
Emery kakaa arsenal miez 18 hakuwahi kuwa na 1st 11, hakuwa kuwa na structure ya uchezaji,
Arteta kapokea timu ya namna hiyo, hivo alihitaji Overhaul kubwa, akianza na backline yote kuanzia kipa had namba 6 , ndipo unapokuta sura mpya , had Leno anaondolewa maana mpira wa kufurahisha unaanzia kwa kipa ,
Na Tunaona Process , Arsenal ya emery mech za Away ilikuwa kiama, za Emirates tunabahatisha,
Mfano mech ya wolves kwa emery ile hatoki, lkn kwa Arteta limepigwa ball , had wanataka wakimbie mech ,
Unaposema Arsenal haichez mpira wa kufurahisha inabid utueleze Arsenal aliyoikuta Arteta ilikuwa inachezaje je ni ile ile ambayo hata kufanya buildup ilikuwa haiwez, mm nitakupa hata magoli 20 chin ya Arteta yanayoanzia kwa kipa had Goli,
Hapo Epl ni swala la muda mfupi utaelewa Arteta ni masterclass kwenye mbinu,
Kwasasa amempeleka xhaka kwenye new role ,
Makocha wengi hapo Epl wanapokutana na low block imekuwa ngumu kuzifungua , Arteta nimemshuhudia akizifungua vzr tu,
Timu inapokuwa pungufu amweza kuicheza low block ya hali ya juu , sio kwa kubahatisha ni tactics
Narudia ule moto aliowashiwa city pale Emirates ,refa akaingilia kati ,mimi nauchukulia Kama Onyo kwa wengine wanaokalili ,
Na nimeuona tena Dhidi ya Wolves ,hadi Bruno lage akataman aikimbie mechi
Ule moto Nauchukulia ni Onyo kwa siku za mbelen kwa wanaokalili Arsenal kwa timu kubwa atapigwa kirahisi tu,
Hii ni process na ni project inayopiga hatua vzr
Itakuwa anarefer arsenal ya wengerWewe una chuki binafsi na arteta au labda uliacha kuifatilia arsenal kwa muda
Hivi unaposema inacheza vibaya una refer kwa Wenger au mm ndio sielewi?
Hivi umesahau Arteta kaikuta arsenal kwenye hali ipi?
dully jr atanisaidia ,kipind cha emery ilifikia hii timu hata pass 10 Haiwez kupiga, ilifikia Arsenal mech Emirates tunazidiwa umiliki wa mpira , tunashinda kwa bahati , away games hata Watford tunapaki bas, Hivi unayakumbuka haya?
Tunabaki na mech 4 tunahitaji point 3-4 twende top 4 emery anashindwa na Europa fainal anadhalilishwa na mvuta sigara Sarri,
Arteta anaikuta timu haiwez tena kufanya buildup kuanzia kwa kipa, haiwez kuposses mpira ,anaisuka had anafikia hapa mech za Emirates ukija wapinzan wanaogopa ,
Uliona wolves hawa wagumu pale Emirates wanaomba po, huku had kocha wao anafanya uhuni wakupoteza muda kwa sub? Mpe credit huyu Arteta ,
Leo Arsenal anatoka nyuma kuanzia kwa kipa had anafunga goli , unasema haifurahishi ? Ulikuwepo kipind cha Unai emery kweli? Enzi Lucas toreira anacheza had no 10., Midfield ya xhaka guendouz?
Arteta ameanza ujenzi wa hii timu kwenye eneo la backline ambalo had Wenger anaondoka aliliacha ni bovu ,now amekuja kwenye midfield na attacking,
Nadhani Uliona shughul aliyooneshwa mancity pale Emirates bila refa kuingilia kati,
Hiyo ni advertise ya tuendako, now pale Emirates hiyo ndio itakuwa atmosphere,
Kama unataka ujue Alipoitoa hii timu Arteta , rejea arsenal ya emery ndan ya miez 18 aliyokaa , hata buildup ilikuwa mtihani ....
odegard vip hapo cjaelewaDah Hizi picha Zina zaidi ya Maneno Milioni moja Ya Kuelezea Jinsi Gan Martin Odergaard Anajituma na Kupambania Hii Team
Kupata kitu kama Hiki kwa Wachezaji Lazma Kocha Uwe na Uthubutu na Uwe na Mipango na Mbinu Zinazoeleweka..Kila Wakati Huwa Nataman Sana huyu Odergaard na Partey Wapokee Mpira nione Jinsi wanavyotoa pasi kwa usahihi na Kwa Kujiamini..
Smith Rowe ni Kiungo mshambuliaji na Huyu ni Playmaker/anachezesha team Halafu ana Work Rate kubwa mnoo..Tofauti Yao ni Kwamba Huyu dogo ni mtu wa mipango Sana ila Rowe ni mtu wa Kushambulia sana..Rowe anapenda Kushambulia ila Odergaard anapenda Kutengeneza sana.
.Bado ana Nafasi Kubwa mno ya Kufika Mbali zaidi ya Alipo..Huyu Mtoto ni Bonge la Mchezaji Aiseee. Yan Huyu Akikolea Pengo la Ozil linafutika Kabisa Huyu anakupa Assist Magoli na Anazunguka Kila mahali bila Kuchoka na anajua Sana Soka la Kuvutia..
View attachment 2134489
View attachment 2134490
amechokaodegard vip hapo cjaelewa
ha haaaa haaaaaaaaaaaaaaaaamechoka