UNDERRATED LAKINI KAPROVE HIS PRICE TAG
Niseme tu ni moja kati ya sajili ambayo ilizua maneno Lukuki sio kwa mashabiki tu hata media ziliongea mengi juu ya price tag yake kwanini £50m arsenal kafanya overpaying wastage of resources maneno ya media haya, eti kwanini anamtoa mkopo saliba na kutumia hela yote hiyo..
Hapa nazungumza ben white leo nataka tuzungumze kiufundi zaidi ben white kwanini kaonesha walau 85% ya thamani yake?
nianze na hili tactical set up ya mtu ndio inampa picha kocha anahitaji wachezaji wa aina gani note it first kabla ya yote
Arteta anapenda posession football ila ni start from back kwa misingi hii anahitaji beki anae weza kuchezea mpira kupiga pass za uhakika au mwenye offensive ability
arsenal alikuwepo luiz ukiacha individual errors alikuwa nazo ila kwenye ball progression luiz alikuwa mtu muhimu mno ndio maana kacheza game nyingi tu kwa arteta sababu tacticallly ( kimbinu) alifit
baada kuondoka Luiz team ilihitaji mchezaji kariba ya Luiz kama ni mafatiliaji mzuri nadhani uliwahi muona white akiwa leeds pia brighton hove albion kwa wale scout wananielewa
white ni moja beki wazuri mno in posession football pass za uhakika kwa lugha nyingine niwaite playmaker from back nitaeleza kwanini
fatilia namna anavyotumika kuna muda anapiga pass ndefu kwenda mbele lengo ni kubeat press ya wapinzani
mbili anachukua mpira na kwenda nao mbele akidrible anafanya hivi ili kuwalazimisha washambuliaji wa team pinzani kulazimika kurudi kufata mipira chini
na wakirudi tu arsenal anafanya mid block au highpress kufanikiwa kupata mipira hii ni tactical set up kwenye uchezaji
mipira mingi wanayopokea saka, odegaard mingi inatoka kwa white kwanini kwasababu uchezaji wake unaruhusu
mpaka tulipo kajenga partineship nzuri na gabriel kugawana wajukumu mmoja anakaba mmoja anachezesha
japo kuna weekness ambazo anaweza kuendelea kuimprove mfano 1vs 1 inampa tabu kidogo ila naamini ataimprove angle hii
kiufupi white ni span player kwenye ball progression yetu white partey wakiwa form niamini mimi arsenal inakuwa moto ni sababu ya ball progression yao