Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mfatilie, huyu jamaa yupo poa sana, ni moja ya shortlist ya arsenal summer, halafu ana red card 1 tu kwenye career yake yote ya soka
 
Kacheza mechi ngapi ana magoli mangapi?
msimu huu alianza vzr tu, akaumia ,
1645573479295.png
 
NINAJARIBIWA KUWACHEZESHA WOTE KWA PAMOJA(SMITH,MARTINEL,SAKA,ODEGAARD)

Mikel Arteta anajaribiwa na wazo la kuwapanga nyota wote wanne washambuliaji wa Arsenal - Bukayo Saka, Emile Smith Rowe, Gabriel Martinelli na Martin Odegaard - kama sehemu ya safu mpya ya Ushambuliaji.

Kufikia sasa msimu huu, Arteta amekuwa akimuacha mmoja kati ya hao vijana wa nne na badala yake Alexandre Lacazette ameongoza safu hiyo.

Lakini sasa Arteta ana umiza kichwa kwenye kuchagua kwani Martinelli amerejea kutokana na kusimamishwa dhidi ya Wolves na, kabla ya kadi yake nyekundu, fomu ya Mbrazil huyo ilihitaji nafasi ya kuanza.

Martinelli, Odegaard, Saka na Smith Rowe kwa pamoja wana wastani wa umri wa miaka 21, lakini Mhispania huyo amekiri kwamba hili ni jaribu.

"Wamecheza pamoja - Emile alicheza kama kiungo mshambuliaji wa kushoto, ambayo ni nafasi nyingine ambayo anaweza kucheza," alisema

"Nimejaribiwa, ndio, kwa sababu wanataka kucheza na unapoona wachezaji wakifanya mazoezi na kucheza jinsi wanavyofanya, unataka kuwatupa wote uwanjani. Kwa bahati mbaya, wanatakiwa wachezaji 11 tu.

Ili kuwaweka wote wanne, mmoja wao angehitaji kuongoza safu ya ushambuliaji na Arteta anaamini Martinelli au Smith Rowe wanaweza kufanya hivyo.

"Inategemea na jukumu unalotaka wacheze na jukumu unalotaka kutoka kwa wale tisa," alieleza.

"Wana sifa tofauti sana, wangebadilisha mfumo wetu na nafasi(HALF SPACE ) ambazo tungeshambulia,..........

"Ingetegemea aina ya mpinzani pia, kuelewa ni muktadha gani ungewanufaisha wote wanne.

"Wamebadilishwa nafasi nyingi pia na lazima tuwe waangalifu wakati mwingine na jinsi tunavyowabadilisha. Lakini wanapokuwa tayari, ni fursa nyingine ya kuwatumia pia katika siku zijazo.”


1645583886177.png
 
NINAJARIBIWA KUWACHEZESHA WOTE KWA PAMOJA(SMITH,MARTINEL,SAKA,ODEGAARD)

Mikel Arteta anajaribiwa na wazo la kuwapanga nyota wote wanne washambuliaji wa Arsenal - Bukayo Saka, Emile Smith Rowe, Gabriel Martinelli na Martin Odegaard - kama sehemu ya safu mpya ya Ushambuliaji.

Kufikia sasa msimu huu, Arteta amekuwa akimuacha mmoja kati ya hao vijana wa nne na badala yake Alexandre Lacazette ameongoza safu hiyo.

Lakini sasa Arteta ana umiza kichwa kwenye kuchagua kwani Martinelli amerejea kutokana na kusimamishwa dhidi ya Wolves na, kabla ya kadi yake nyekundu, fomu ya Mbrazil huyo ilihitaji nafasi ya kuanza.

Martinelli, Odegaard, Saka na Smith Rowe kwa pamoja wana wastani wa umri wa miaka 21, lakini Mhispania huyo amekiri kwamba hili ni jaribu.

"Wamecheza pamoja - Emile alicheza kama kiungo mshambuliaji wa kushoto, ambayo ni nafasi nyingine ambayo anaweza kucheza," alisema

"Nimejaribiwa, ndio, kwa sababu wanataka kucheza na unapoona wachezaji wakifanya mazoezi na kucheza jinsi wanavyofanya, unataka kuwatupa wote uwanjani. Kwa bahati mbaya, wanatakiwa wachezaji 11 tu.

Ili kuwaweka wote wanne, mmoja wao angehitaji kuongoza safu ya ushambuliaji na Arteta anaamini Martinelli au Smith Rowe wanaweza kufanya hivyo.

"Inategemea na jukumu unalotaka wacheze na jukumu unalotaka kutoka kwa wale tisa," alieleza.

"Wana sifa tofauti sana, wangebadilisha mfumo wetu na nafasi(HALF SPACE ) ambazo tungeshambulia,..........

"Ingetegemea aina ya mpinzani pia, kuelewa ni muktadha gani ungewanufaisha wote wanne.

"Wamebadilishwa nafasi nyingi pia na lazima tuwe waangalifu wakati mwingine na jinsi tunavyowabadilisha. Lakini wanapokuwa tayari, ni fursa nyingine ya kuwatumia pia katika siku zijazo.”


View attachment 2129135
Uwepo wa michuano kama FA na Carabao ni kwaajili ya kujaribu combinations pia.

Sasa hivi kwenye ligi hauwezi test kwakua waweza kuta mpaka dakika ya 70 matokeo hayaeleweki hivyo inabidi majaribio yasubiri.

Kichwani kwangu naona kama vile hii combination hata siyo mbaya, tuanze kama kawaida na Laca, dakika za 60 toa Laca, Martinelli awe CF aingie Emile akae namba ya Martinelli kisha observe.

Martinelli alishakua CF na alizitendea sana haki krosi za Tierney.
 
Uwepo wa michuano kama FA na Carabao ni kwaajili ya kujaribu combinations pia.

Sasa hivi kwenye ligi hauwezi test kwakua waweza kuta mpaka dakika ya 70 matokeo hayaeleweki hivyo inabidi majaribio yasubiri.

Kichwani kwangu naona kama vile hii combination hata siyo mbaya, tuanze kama kawaida na Laca, dakika za 60 toa Laca, Martinelli awe CF aingie Emile akae namba ya Martinelli kisha observe.

Martinelli alishakua CF na alizitendea sana haki krosi za Tierney.
nadhan ndicho anachowaza arteta, amemuongelea na laca, hiyo comb ni next season labda
 
Mijadala inayoendelea humu, ni wazi jinsi gani utimamu wa hili jukwaa na umakini wa watu wa humu

Nafarijika sana kuona sasa tunawachambua wachezaji wetu kiufundi na jinsi gani squad ya ushindi. Big up kwa mike arteta

The gunner forever, wadau msichoke kutupa nondo kama hizi na madini mengine mengi mengi
Much respect all the gunners

By any means tuingie top 4, tofauti na hapo vitu vingi vitafeli on the process

Nafasi 3 or 4,

Chelsea akijichanganya tunakaa sisi pale

spurs na hummers wameshajifia

Nyumbu hizi game za mwisho atatumia sana VAR na marefa kuliko wachezaji na genggeng pressing

Njia pekee hapo arsenal kila game inabid aondoke na 3
Haijalishi tumecheza mpira wa aina gani (eg arsenal vs Wolverhampton 2-1)


#COYG
 
Mijadala inayoendelea humu, ni wazi jinsi gani utimamu wa hili jukwaa na umakini wa watu wa humu

Nafarijika sana kuona sasa tunawachambua wachezaji wetu kiufundi na jinsi gani squad ya ushindi. Big up kwa mike arteta

The gunner forever, wadau msichoke kutupa nondo kama hizi na madini mengine mengi mengi
Much respect all the gunners

By any means tuingie top 4, tofauti na hapo vitu vingi vitafeli on the process

Nafasi 3 or 4,

Chelsea akijichanganya tunakaa sisi pale

spurs na hummers wameshajifia

Nyumbu hizi game za mwisho atatumia sana VAR na marefa kuliko wachezaji na genggeng pressing

Njia pekee hapo arsenal kila game inabid aondoke na 3
Haijalishi tumecheza mpira wa aina gani (eg arsenal vs Wolverhampton 2-1)


#COYG
Sina wasiwasi kabisa.

Nimerelax nikijua kabisa failure yetu msimu huu tutakuwa namba 4. Mafanikio yetu ambayo soon inaenda kuwa dhamira ni kuwa namba 3
 
Kuangalia mpira vibanda umiza kuna raha yake.

Jamaa kabadilisha game kwenye TV mbili tofauti coz of sauti. Game ya Liverpool vs Leeds kapeleka kwenye TV yenye sauti kubwa na Atletico vs United akabadilisha akaweka kwenye TV yenye sauti ndogo.

Mshabiki anataka arudishiwe jero lake maana kuna TV haina magoli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kuwekwa tu kwenye TV yenye magoli Joao Felix karudi na bonge la goli.


Hahaahahahahahaahahahahah
Mechi za Arsenal sipendi na uwa siangalizii kwenye vibanda umiza. Nataka niwe sehemu ambapo nitasikia kila kitu kinachoongelewa, that is home.
 
Mechi ya leo inaweza kuwa ngumu sana kutoka na sababu kadhaa

1. Moja ni vita ya top 4 maana wolves nao wanaona kuwa kuingia top 4 inawezekana

2. Kwa yeyote atakaeshinda mechi ya leo anakuwa juu na anakuwa na mzingira mazuri

3. Mmoja(arsenal) atataka kuonyesha ukubwa wake na mwingine(wolves) kuonyesha kwamba mechi iliyopita ilikuwa bahati na wala sio uwezo.

Japo mechi inaweza kuwa ngumu lkn bado mimi naona Arsenal anayo nafasi kubwa ya kushinda hii mechi lbd km wolve watakuja na mbinu ya kulinda zaidi huku wakitegemea mashambulizi ya kushitukiza na bado sioni km inawaeza kuwabeba sana hasa ukitegemea defence ya arsenal imekuwa bora sana hivi karibuni na pia uwepo wa Xhaka na Partey kumeifanya timu kuwa imara zaidi
 
Mechi ya leo inaweza kuwa ngumu sana kutoka na sababu kadhaa

1. Moja ni vita ya top 4 maana wolves nao wanaona kuwa kuingia top 4 inawezekana

2. Kwa yeyote atakaeshinda mechi ya leo anakuwa juu na anakuwa na mzingira mazuri

3. Mmoja(arsenal) atataka kuonyesha ukubwa wake na mwingine(wolves) kuonyesha kwamba mechi iliyopita ilikuwa bahati na wala sio uwezo.

Japo mechi inaweza kuwa ngumu lkn bado mimi naona Arsenal anayo nafasi kubwa ya kushinda hii mechi lbd km wolve watakuja na mbinu ya kulinda zaidi huku wakitegemea mashambulizi ya kushitukiza na bado sioni km inawaeza kuwabeba sana hasa ukitegemea defence ya arsenal imekuwa bora sana hivi karibuni na pia uwepo wa Xhaka na Partey kumeifanya timu kuwa imara zaidi
moja ya mbinu watakayokuja nayo Wolves I believe, is to provoke our players because they know some of them are temperamental. If they manage to control themselves then winning is imminent/
 
Huyu Wolves ana kazi ya kutusimamishia Westham pia.

So tukishinda leo tutawapa hasira za kuwafumua Hammers, same na baada ya kuwachapa wakaenda washona Spurs.
 
Afe kipa afe beki. Tunaondoka na point 3

Uzuri wake hadi dakika hii arsenal yenyewe inajua inataka nini

Tena tupo nyumbani (geto) tutampelekea moto dakika 90+

#COYG
 
Back
Top Bottom