Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1645492497856.png
 
Maximum amount of money each club can spend on transfers next season as per UEFA FFP : [ Deloitte ] [UEFA.com]

1. Manchester United FC :
Revenue in 2021 - $820 million
Transfer capital - $328 million

2. Real Madrid CF :
Revenue in 2021 - $690 million
Transfer capital - $276 million

3. Chelsea FC :
Revenue in 2021 - $650 million
Transfer capital - $260 million

4. Manchester City FC :
Revenue in 2021 - $602 million
Transfer capital - $240 million

5. Paris Saint Germain :
Revenue in 2021 - $560 million
Transfer capital - $224 million

6. FC Barcelona :
Revenue in 2021 - $524 million
Transfer capital - $209 million

7. Bayern Munich :
Revenue in 2021 - $520 million
Transfer capital - $208 million

8. Liverpool FC :
Revenue in 2021 - $490 million
Transfer capital - $196 million

9. Arsenal FC :
Revenue in 2021 - $465 million
Transfer capital - $186 million


10. Juventus CF :
Revenue in 2021 - $460 million
Transfer capital - $184 million
 
Kwa mktadha wa uefa tunawaomba muungane na wenzenu mje kwa wingi pale wanda metropolitano mashetani tuna jambo letu.
 
Kwa mktadha wa uefa tunawaomba muungane na wenzenu mje kwa wingi pale wanda metropolitano mashetani tuna jambo letu.
Hahaha Atletico ni miongoni mwa timu zinazotumia mabavu na upakiji basi katika mechi ila hivi karibuni kama amepunguza hivi.

Imekua kawaida Atletico kushinda 1 au kwenda half time anaongozwa au ubao kua nunge ila sasa hapo ni akicheza na timu hazina Maguire.

Kwenu mi naona 50/50 bado hamna ukali huo wa kutamba, wao ukali wanao ila wamekua na bahati mbaya siku za hivi karibuni. Wanaangushwa na bahati zaidi kuliko kikosi na mbinu.
 
Hahaha Atletico ni miongoni mwa timu zinazotumia mabavu na upakiji basi katika mechi ila hivi karibuni kama amepunguza hivi.

Imekua kawaida Atletico kushinda 1 au kwenda half time anaongozwa au ubao kua nunge ila sasa hapo ni akicheza na timu hazina Maguire.

Kwenu mi naona 50/50 bado hamna ukali huo wa kutamba, wao ukali wanao ila wamekua na bahati mbaya siku za hivi karibuni. Wanaangushwa na bahati zaidi kuliko kikosi na mbinu.
Hii match haihitaji maelezo mengi kama hayo we kachukue siti kibanda umiza ugengesike na fotbol
 
Locatelli ndiye alikua anakuja kucover hiyo lone #6 au ochestrator. Hapo Arsenal Thom anacheza kama ochestrator wakati Atletico alikua mkabaji.

So ni kweli hatuna ochestrator, sasa tungekua naye Partey angekua juu kidogo ambapo through balls zake zingekua zina matunda zaidi na zingesababisha apoteze kungekua na #6 nyuma.

Now ama akatazwe kupanda juu abaki chini au aendelee tu.

Fabinho na Rodri kupoteza mipira ni ngumu kiasi kwakua Rodri ni sumaku na Fabinho ni natural sumaku na wenzake wawili wamekua transformed kua sumaku. Naamini hivyo.

Anyway, nilisema tunahitaji mid hili dirisha dogo bahati mbaya haijawa so tuendeleze dua.
1645603271494.png

hatutafuti tena mchezaji kama huyu ?
conductor Santi.
aisee tulimmiss sana huyu mtu. angekuwa fit matatizo mengi yetu yangeyeyuka
 
View attachment 2128296
hatutafuti tena mchezaji kama huyu ?
conductor Santi.
aisee tulimmiss sana huyu mtu. angekuwa fit matatizo mengi yetu yangeyeyuka
Anaitwa mtakatifu cazorla, huyu jamaa alikuwa ni fundi mnoo, angecheza zile timu kubwa za kubeba makombe basi angeimbwa saana... Moja kati ya vipaji ambavyo haviimbwi saana sababu ya nyota.
 
Anaitwa mtakatifu cazorla, huyu jamaa alikuwa ni fundi mnoo, angecheza zile timu kubwa za kubeba makombe basi angeimbwa saana... Moja kati ya vipaji ambavyo haviimbwi saana sababu ya nyota.
Upande wa kushoto kona inahitaji mguu wa kulia anatumia mguu wa kulia.

Upande wa kulia kona inahitaji mguu wa kushoto anatumia mguu wa kushoto.

Dembele anaulizwa na mwandishi wa habari:

Mwandishi: We unatumia mguu gani?

Dembele: Kushoto

Mwandishi: Mbona penati unapiga na mguu wa kulia.

Dembele: Kwa sababu napiga mashuti vizuri na mguu wa kulia.

Mwandishi: Kwahiyo we ni mguu gani?

Dembele: Kimya.
 
Upande wa kushoto kona inahitaji mguu wa kulia anatumia mguu wa kulia.

Upande wa kulia kona inahitaji mguu wa kushoto anatumia mguu wa kushoto.

Dembele anaulizwa na mwandishi wa habari:

Mwandishi: We unatumia mguu gani?

Dembele: Kushoto

Mwandishi: Mbona penati unapiga na mguu wa kulia.

Dembele: Kwa sababu napiga mashuti vizuri na mguu wa kulia.

Mwandishi: Kwahiyo we ni mguu gani?

Dembele: Kimya.
Huwa nawapenda saana wachezaji wa namna hii, sijui kwa kuwa mimi sikubarikiwa kutumia miguu yote, cazorla anapokea mali na kulia, anafinya, kisha anakokota na kushoto, anareceive mali na mguu wa kushoto anaachia na mguu wa kulia, nimemkumbuka na Alexander hleb. Ni burudani aisee kutizama.. Yaani mpaka kudrible wanadrible na miguu gote miwili na hakuna tofauti.
 
Huwa nawapenda saana wachezaji wa namna hii, sijui kwa kuwa mimi sikubarikiwa kutumia miguu yote, cazorla anapokea mali na kulia, anafinya, kisha anakokota na kushoto, anareceive mali na mguu wa kushoto anaachia na mguu wa kulia, nimemkumbuka na Alexander hleb. Ni burudani aisee kutizama.. Yaani mpaka kudrible wanadrible na miguu gote miwili na hakuna tofauti.
hleb aliboa sana alipoenda barca
 
Back
Top Bottom